Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 2,150
- 1,415
Asalam wakuu,
Napenda ku share nanyi tukio lilonikuta leo. Nikiwa katika harakati za matibu katika moja ya hospitali kubwa hapa nchini kwa bahati mbaya, lakini pia uzembe wangu uliosababishwa na taharuki ya kuhakikisha mgonjwa wangu anapata matibabu niliisahau pochi/wallet yangu katika moja ya eneo hapo hospitali iliyokuwa kiasi cha fedha 205,000, pamoja na vitambulisho vyangu zikiwemo kadi za ATM.
Mwenye bahati mmoja alifanikiwa kuinasa wallet hiyo na kuchukua fedha zote. Nachoshukuru hakuthubutu kuondoka na wallet pamoja na hizo IDs.
hiyo ndiyo aibu pekee aliyokuwa nayo.
Lakini alishindwa kuwa na huruma kwa maana sehemu tuliyokuwepo ilikuwa nikupigania uhai, sijui yeye alikuja kwa lengo gani. Namuona ni kama msaidizi wa israeli mtoa roho.
Hakudhani pengine hiyo ndiyo ilikuwa fedha pekee ya matibu kwangu, nauli n.k. Apate anacho staili kwa wizi wake huo. Hata kama hali ni ngumu, upendo na uadilifu udumu baina yetu kama binadamu na zaidi tukiwa Watanzania.
Napenda ku share nanyi tukio lilonikuta leo. Nikiwa katika harakati za matibu katika moja ya hospitali kubwa hapa nchini kwa bahati mbaya, lakini pia uzembe wangu uliosababishwa na taharuki ya kuhakikisha mgonjwa wangu anapata matibabu niliisahau pochi/wallet yangu katika moja ya eneo hapo hospitali iliyokuwa kiasi cha fedha 205,000, pamoja na vitambulisho vyangu zikiwemo kadi za ATM.
Mwenye bahati mmoja alifanikiwa kuinasa wallet hiyo na kuchukua fedha zote. Nachoshukuru hakuthubutu kuondoka na wallet pamoja na hizo IDs.
hiyo ndiyo aibu pekee aliyokuwa nayo.
Lakini alishindwa kuwa na huruma kwa maana sehemu tuliyokuwepo ilikuwa nikupigania uhai, sijui yeye alikuja kwa lengo gani. Namuona ni kama msaidizi wa israeli mtoa roho.
Hakudhani pengine hiyo ndiyo ilikuwa fedha pekee ya matibu kwangu, nauli n.k. Apate anacho staili kwa wizi wake huo. Hata kama hali ni ngumu, upendo na uadilifu udumu baina yetu kama binadamu na zaidi tukiwa Watanzania.