Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 789
- 3,230
Inajieleza hapo wakuu, naomba Mawazo ya busara, Mana hili sijui kama limekaa kisheria.
Ni mtu wa karibu Sana, lakini pia suala la kuibiwa simu ni uhakika analijua maana na vitu vingne pia vimeenda kwa kuvunja.
Mwizi Katumia namba ya mhusika kuomba pesa, na jamaa naye akatuma mkwanja mnono tuu kwa Namba ya Mwizi.
Taarifa ikatolewa kwenye ma groups kua wawe makini, jamaa kuona ndio akajua alituma kwa mwizi,
Sasa anadai pesa yake kwa aliyeibiwa,
Ushauri hapo wakuu,
Je ana Anapaswa kulipwa? Kama ndio ni katika muktadha gani? Yaani kwa kuzingantia nini inalazimika kufanya hivyo?
Au asubiri mwizi adakwe(mpaka sasa 95% anakamwatwa),
Au mazingira yoyote hana ulazima wa kulipwa...?
JIBU LOLOTE napokea maana kuna dilema.
Ukizingatia alituma akilenga kukusaidia,
Lakini pia kuna uzembe kiasi wa kutoongea na mhusika,
Achilia mbali hasara nyingne kwa mhanga.
Ni mtu wa karibu Sana, lakini pia suala la kuibiwa simu ni uhakika analijua maana na vitu vingne pia vimeenda kwa kuvunja.
Mwizi Katumia namba ya mhusika kuomba pesa, na jamaa naye akatuma mkwanja mnono tuu kwa Namba ya Mwizi.
Taarifa ikatolewa kwenye ma groups kua wawe makini, jamaa kuona ndio akajua alituma kwa mwizi,
Sasa anadai pesa yake kwa aliyeibiwa,
Ushauri hapo wakuu,
Je ana Anapaswa kulipwa? Kama ndio ni katika muktadha gani? Yaani kwa kuzingantia nini inalazimika kufanya hivyo?
Au asubiri mwizi adakwe(mpaka sasa 95% anakamwatwa),
Au mazingira yoyote hana ulazima wa kulipwa...?
JIBU LOLOTE napokea maana kuna dilema.
Ukizingatia alituma akilenga kukusaidia,
Lakini pia kuna uzembe kiasi wa kutoongea na mhusika,
Achilia mbali hasara nyingne kwa mhanga.