Alipomtupia simu aliokota au aliacha ichukuliwe na mwizi mwingine? Ni story nzuri ya kuchekesha. Jamaa alitoa wapi wazo la kusema ni ndugu yake ila kichwa chake kipo mbele dakika chache?
ATM ya bank gan ambayo inaruhusu kutoa 1.5M kwa mara moja?Najua hii ni story ila ngoja niwape kisa cha kweli.
Mzee mmoja alistaafu ualimu mwaka 2013 pale Dodoma, badala ya kwenda kwao Tabora akaanza kutumbua pesa pale town.
Wahuni wakamlia timing wakamteka wakampangia chumba kila siku usiku mkali wanaenda nae ATM wanavuta 1.5M wanamrudisha rum chini ya ulinzi mkali alikuwa anaingia mwenyewe wanamaubiri kwa nje hadi zikakata wakamuachia..
Alikuwa fala maana angekosea namba mara3 kadi ingemezwa. Nahisi walitishia kumuua
We jamaa upo wapi au.hujui.limit ya withdraw?ATM ya bank gan ambayo inaruhusu kutoa 1.5M kwa mara moja?
Huna adabu kabisa.Wasalaam! Nipo Mkoa fulani hapa Nchini Tanzania. Hiki kisa kimenifanya nitamani kuwajulisha wananchi wa Tanzania mikasa mbalimbali Duniani hasa nchini kwetu Tanza- Nia.
Nikiwa kituo cha Polisi nikipata huduma fulani amekuja mwizi kasi sana na kukimbilia kaunta akitaka apewe ulinzi.
Nyuma yake amefuata jamaa mmoja naye kitweta na jasho kumtoka. Na ndipo mwizi akaanza elezea.
Anasema alikwapua simu ya huyo jamaa aliyekuwa anamkimbiza jamaa akaanza mkimbiza. Kila akikata kona akigeuka anamwona jamaa, kila akikata nyingine anageuka anamwona jamaa anamkaribia na yeye pumzi imeanza kukata.
Kilichokuwa kinampa shida ni kuwa jamaa hapigi kelele ya kuita mwizi anamkimbiza kimya kimya bila neno lolote. Ila haonekani kuacha kumkimbiza.
Hapa mwizi akajiongeza kuwa jamaa si mtu mzuri.lazima atakuwa na lengo baya naye zaidi ya kumkimbiza kama mwizi. Akaitupa simu. Anadai jamaa akaokota simu ila akaendelea kumkimbiza. Hapo ndo akaona balaa ni kubwa kuliko alivyodhania.
Akaona ni bora ajisalimishe kwenye vyombo vya dola.jamaa akaulizwa habari hiyo. Akakataa kabisa akasema yeye hajaibiwa kitu na huyu wala si mwizi ni ndugu yake anamkimbiza ampeleke hosp ni kama amepatwa na kichaa hivi
Yule mwizi aligoma alisema wala hamfahamu jamaa. Akasema yeye ni mwizi na kuna watu alishawahi waibia hata kituo flani maaskari wanamfahamu. Akasema hata sehemu ambazo huwa akiiba simu anapeleka. Mwizi alisisitiza hana undugu na jamaa na yeye ni mwizi sugu kabisa.
Jamaa alikataa akasema anamfahamu huyu ni ndugu yake kabisa ila dish tu limecheza channels zina scratch.na anaomba apewe aondoke naye.
Yule mwizi amelia sana akishika miguu ya askari mmoja kuwa haendi popote na yule jamaa. Anaomba awekwe ndani. Ila haondoki na ile njemba.bora wamuue pale pale.haendi popote. Piga ua galagaza haondoki pale.Na akaomba awekwe ndani.
Ikabidi polisi wamwambie basi aandikishe maelezo akijielezea kuwa yeye ni mwizi aliyeamua kuja jisalimisha. Akaandikisha na kutoa maelezo sehemu na kwa akina nani wanauza vitu vya wizi.
Polisi ilibidi wambembeleze njema aondoke tu. Jamaa ameonekana kutoridhishwa kabisa na uamuzi huo. Ameondoka kinyonge sana akilaani kitendo alichofanyiwa na askari kumkatalia ndugu yake aliyejifanya mwizi. Ila akiwa nje alisikika akisema yule mwizi ana bahati sana....leo ndo angemfahamu vizuri na angesimulia maisha yake yote.
Hatukujua alidhamiria kumfanya nini yule mwizi. Ila nmeshtuka sana kuwa kumbe ni kweli kuna mambo kama haya katika jamii. Polisi walimweka mwizi korokoroni. Nami nikaondoka kwendelea na shughuli zangu.ila nikawaza huyu jamaa ana madawa ya kitamaduni au ni nini?
Makumazan
Da walimu wastaafu banaNajua hii ni story ila ngoja niwape kisa cha kweli.
Mzee mmoja alistaafu ualimu mwaka 2013 pale Dodoma, badala ya kwenda kwao Tabora akaanza kutumbua pesa pale town.
Wahuni wakamlia timing wakamteka wakampangia chumba kila siku usiku mkali wanaenda nae ATM wanavuta 1.5M wanamrudisha rum chini ya ulinzi mkali alikuwa anaingia mwenyewe wanamaubiri kwa nje hadi zikakata wakamuachia..
Alikuwa fala maana angekosea namba mara3 kadi ingemezwa. Nahisi walitishia kumuua
Da huyo hatareKaka polisi wanakutana na watu wa kila namnaa.
Kwa macho yangu mawili nimeshuhudia dogo katoka kupewa dhamana karudi ppale ubaoni kuchukua vitu vyake kaiba na radio cll ya polisi tena kituo kikubwa, yaan ppale pale ndo kaachiwa kapita na radio call ...alipofika huko kwao akawa naye anapokea ovar over nyingi. Sasa walioenda kumkamata huko kwa mara ya pili, aliondoka akitembea kwa miguu, alirudi anatambaa
KuwalajeNimeikumbuka ile story ya jamaa nchi za mbele alivamiwa na majambazi wawili,akawateka kisha kuwala kwa miezi 3 .
Kuwaingizia.Kuwalaje
Kw nn alitokaHaya mambo yapo mbona, mwaka jana jamaa(mwizi) alimkodi bodaboda kutoka maeneo ya Africana kumpeleka goba akamwambia anaenda kupima madirisha ya nyumba kwenye site, Hivyo akamuomba wapite dukani wanunue tape. Safari ikaenda mpaka kwenye hyo site wakafika jamaa akashuka akazunguka nyuma Mara akamuita yule bodaboda aje kumsaidia kuishika futi, aisee kilichotokea tulikuja kumsaidia bodaboda pumzi ishakata jamaa kamkaba anadai ni ndg yake kaugua ukichaa, huku tayali pkpk ishasogezwa na wezi wenzie tuliweza kumuokoa na kuokoa boda yake ,kilichofata mwizi rumande siku 2 Kisha mtaani daaaa!!!
Nathan zile tatu kwa laki tanotanoATM ya bank gan ambayo inaruhusu kutoa 1.5M kwa mara moja?
Da jamaa alienjoy hahahahaKuwaingizia.
Da walimu wastaafu bana
Huu ndo uongo uliokithiri. Hapo benk hakuna polisi?Najua hii ni story ila ngoja niwape kisa cha kweli.
Mzee mmoja alistaafu ualimu mwaka 2013 pale Dodoma, badala ya kwenda kwao Tabora akaanza kutumbua pesa pale town.
Wahuni wakamlia timing wakamteka wakampangia chumba kila siku usiku mkali wanaenda nae ATM wanavuta 1.5M wanamrudisha rum chini ya ulinzi mkali alikuwa anaingia mwenyewe wanamaubiri kwa nje hadi zikakata wakamuachia..
Alikuwa fala maana angekosea namba mara3 kadi ingemezwa. Nahisi walitishia kumuua
We jamaa ni chizi polisi anahusika nini na watu wakitoa hela zao?Huu ndo uongo uliokithiri. Hapo benk hakuna polisi?
Sukari imokolea na hiliki ila naomba na andazi au bajia nitafunieWasalaam! Nipo Mkoa fulani hapa Nchini Tanzania. Hiki kisa kimenifanya nitamani kuwajulisha wananchi wa Tanzania mikasa mbalimbali Duniani hasa nchini kwetu Tanza- Nia.
Nikiwa kituo cha Polisi nikipata huduma fulani amekuja mwizi kasi sana na kukimbilia kaunta akitaka apewe ulinzi.
Nyuma yake amefuata jamaa mmoja naye kitweta na jasho kumtoka. Na ndipo mwizi akaanza elezea.
Anasema alikwapua simu ya huyo jamaa aliyekuwa anamkimbiza jamaa akaanza mkimbiza. Kila akikata kona akigeuka anamwona jamaa, kila akikata nyingine anageuka anamwona jamaa anamkaribia na yeye pumzi imeanza kukata.
Kilichokuwa kinampa shida ni kuwa jamaa hapigi kelele ya kuita mwizi anamkimbiza kimya kimya bila neno lolote. Ila haonekani kuacha kumkimbiza.
Hapa mwizi akajiongeza kuwa jamaa si mtu mzuri.lazima atakuwa na lengo baya naye zaidi ya kumkimbiza kama mwizi. Akaitupa simu. Anadai jamaa akaokota simu ila akaendelea kumkimbiza. Hapo ndo akaona balaa ni kubwa kuliko alivyodhania.
Akaona ni bora ajisalimishe kwenye vyombo vya dola.jamaa akaulizwa habari hiyo. Akakataa kabisa akasema yeye hajaibiwa kitu na huyu wala si mwizi ni ndugu yake anamkimbiza ampeleke hosp ni kama amepatwa na kichaa hivi
Yule mwizi aligoma alisema wala hamfahamu jamaa. Akasema yeye ni mwizi na kuna watu alishawahi waibia hata kituo flani maaskari wanamfahamu. Akasema hata sehemu ambazo huwa akiiba simu anapeleka. Mwizi alisisitiza hana undugu na jamaa na yeye ni mwizi sugu kabisa.
Jamaa alikataa akasema anamfahamu huyu ni ndugu yake kabisa ila dish tu limecheza channels zina scratch.na anaomba apewe aondoke naye.
Yule mwizi amelia sana akishika miguu ya askari mmoja kuwa haendi popote na yule jamaa. Anaomba awekwe ndani. Ila haondoki na ile njemba.bora wamuue pale pale.haendi popote. Piga ua galagaza haondoki pale.Na akaomba awekwe ndani.
Ikabidi polisi wamwambie basi aandikishe maelezo akijielezea kuwa yeye ni mwizi aliyeamua kuja jisalimisha. Akaandikisha na kutoa maelezo sehemu na kwa akina nani wanauza vitu vya wizi.
Polisi ilibidi wambembeleze njema aondoke tu. Jamaa ameonekana kutoridhishwa kabisa na uamuzi huo. Ameondoka kinyonge sana akilaani kitendo alichofanyiwa na askari kumkatalia ndugu yake aliyejifanya mwizi. Ila akiwa nje alisikika akisema yule mwizi ana bahati sana....leo ndo angemfahamu vizuri na angesimulia maisha yake yote.
Hatukujua alidhamiria kumfanya nini yule mwizi. Ila nmeshtuka sana kuwa kumbe ni kweli kuna mambo kama haya katika jamii. Polisi walimweka mwizi korokoroni. Nami nikaondoka kwendelea na shughuli zangu.ila nikawaza huyu jamaa ana madawa ya kitamaduni au ni nini?