kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 1,869
- 3,492
Alitamba miaka ya 2006 mpaka 2012 wilaya ya ilemela jijini mwanza. Nimeona nilete hiki kisa baada ya trend ya yule kibaka aliyeuawa jijini Arusha.
Kilichofanya huyu jamaa akumbukwe mpaka Leo ni kufanya matukio hatari ya wizi akitumia Kwa pamoja ujuzi wa kimwili na kiroho.
Matukio ya hatari aliyofanya ni
1. Kuiba mabanda yenye kuku Kwa familia 15 Kwa usiku mmoja akiwa peke yake.
2. Kuwaingilia kimwili wanawake wakiwa wamelala huku akiwaamsha waume zao watazame bila reaction mpaka anamaliza.
3. "Kunya" kwenye vyakula vilivyobakizwa
Usiku ( hii ilikua inatokea Kwa Kila familia iliyobakiza chakula).
4. Kuiba mifugo yote kwao ( kuku, mbuzi, ng'ombe) aliifanya Kwa usiku mmoja akiwa peke yake.
5. Kuvuna mazao yote kwenye mashamba ya watu
6. Kupotea akikamatwa.
7. Kuwaingilia kimwili walimu wa kike shuleni
Matukio ni mengi ila nimeandika machache kutokana na muda
Mwisho alichomwa moto ingawa ilichukua muda mrefu Kwa yeye kufariki mpaka pale wenye ujuzi walipoichomoa hirizi kutoka kwenye mwili wake.
Kilichofanya huyu jamaa akumbukwe mpaka Leo ni kufanya matukio hatari ya wizi akitumia Kwa pamoja ujuzi wa kimwili na kiroho.
Matukio ya hatari aliyofanya ni
1. Kuiba mabanda yenye kuku Kwa familia 15 Kwa usiku mmoja akiwa peke yake.
2. Kuwaingilia kimwili wanawake wakiwa wamelala huku akiwaamsha waume zao watazame bila reaction mpaka anamaliza.
3. "Kunya" kwenye vyakula vilivyobakizwa
Usiku ( hii ilikua inatokea Kwa Kila familia iliyobakiza chakula).
4. Kuiba mifugo yote kwao ( kuku, mbuzi, ng'ombe) aliifanya Kwa usiku mmoja akiwa peke yake.
5. Kuvuna mazao yote kwenye mashamba ya watu
6. Kupotea akikamatwa.
7. Kuwaingilia kimwili walimu wa kike shuleni
Matukio ni mengi ila nimeandika machache kutokana na muda
Mwisho alichomwa moto ingawa ilichukua muda mrefu Kwa yeye kufariki mpaka pale wenye ujuzi walipoichomoa hirizi kutoka kwenye mwili wake.