EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,518
Najua hii ni story ila ngoja niwape kisa cha kweli.
Mzee mmoja alistaafu ualimu mwaka 2013 pale Dodoma, badala ya kwenda kwao Tabora akaanza kutumbua pesa pale town.
Wahuni wakamlia timing wakamteka wakampangia chumba kila siku usiku mkali wanaenda nae ATM wanavuta 1.5M wanamrudisha rum chini ya ulinzi mkali alikuwa anaingia mwenyewe wanamaubiri kwa nje hadi zikakata wakamuachia..
Alikuwa fala maana angekosea namba mara3 kadi ingemezwa. Nahisi walitishia kumuua
Mzee mmoja alistaafu ualimu mwaka 2013 pale Dodoma, badala ya kwenda kwao Tabora akaanza kutumbua pesa pale town.
Wahuni wakamlia timing wakamteka wakampangia chumba kila siku usiku mkali wanaenda nae ATM wanavuta 1.5M wanamrudisha rum chini ya ulinzi mkali alikuwa anaingia mwenyewe wanamaubiri kwa nje hadi zikakata wakamuachia..
Alikuwa fala maana angekosea namba mara3 kadi ingemezwa. Nahisi walitishia kumuua