Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,932
- 985
Mwambieni Mengi ataje wale wengine watano alafu tutamuunga mkono kweli kwa sababu watamtesa sana.
Kasome kwenye list of shame ya Dr Slaa. Ni msaada tu.
Sidhani kama wewe ni muungaji mkono mzuri. Kama umeshindwa kwenye hatua moja kwenye hatua tano utaweza wapi?
Kumbuka safari zote huanza na hatua moja.