Uchaguzi 2020 Mwita Waitara ahoji kwanini Naibu Spika Dr. Tulia hajaitwa kwenye kamati ya maadili?

nokwenumuya

JF-Expert Member
Jun 29, 2019
810
2,851
Kheri ya Pasaka kwa Watanzania wenzangu.

Kama tunavyojua mwaka huu kuna harakati za Uchaguzi Mkuu na tayari wanasiasa wameanza kuzunguka hapa na pale katika kutafuta kuungwa mkono.

Na kila chama kina taratibu, miiko, makatazo na kanuni katika kuelekea katika uchaguzi huo.

Chama Cha Mapinduzi kilitoa katazo kwa makada wake kujizungusha majimboni kabla ya Wakati na mara kadhaa kupitia Katibu Mkuu na Makamu Mwenyekiti wamekuwa wakisisitiza hatua kali zitachukuliwa dhidi ya wanaokiuka makatazo hayo.

Lakini kama kawaida sio watoto wote huwa na utii. Wengine hukiuka na kutumia njia za ujanja ujanja.

Moja ya watu waliokumbana na pitapita hiyo ni Mh. Mwita Mwikwabe Waitara, Mbunge wa Ukonga na Naibu Waziri wa TAMISEMI.

Baada ya kujitangaza hadharani kuwa atagombea Ubunge jimbo la Tarime Vijijini hapo January Mosi, 2020, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mara, Ndugu Samwel Keboye alimkemea kwa kufanya hivyo kabla ya wakati na akasema kuwa ataitwa kwenye Kamati ya Maadili ya Mkoa kujibu tuhuma za kuanza kampeni kabla ya wakati, na mwezi March aliitwa na kuhojiwa.

Sasa katika kundi la WhatsApp la CCM Tarime, Kuna mwanachama alitupia picha ikionyesha taasisi ya Tulia inayomilikiwa na Naibu Spika, Dr. Tulia Ackson ikionyesha matangazo ya mikopo ya Bajaj.

Ndipo Naibu Waziri, Mh. Waitara akahoji ni kwanini Dr. Tulia hajaitwa kamati ya Maadili ili kujibu tuhuma za kuanza kampeni kabla ya wakati? Na akaendelea kuuliza je na Dr. Tulia ataitwa kama na yeye alivyoitwa??

Nimeweka screen shot ya comment ya Naibu Waziri hapa.
Screenshot_20200413-132654_WhatsApp.jpg
 
Yeye mwita ni CCM makinikia, ni mtoto wa kambo, ni wakuja, hivyo basi atulize mshono asilete ujuaji. Matumizi yake yana expire hii 2020 baada ya hapo anatupwa chooni kama kondom iliyotumika kuibaka demokrasia. Awe mvumilivu mwisho unakalibia.
 
Yeye mwita ni CCM makinikia, ni mtoto wa kambo, ni wakuja, hivyo basi atulize mshono asilete ujuaji. Matumizi yake yana expire hii 2020 baada ya hapo anatupwa chooni kama kondom iliyotimika kuibaka demokrasia. Awe mvumilivu mwisho unakalibia.
Usijali hiyo ilikuwa Pombe ya pasaka na uchungu wa kujijua kuwa harudi tena kwenye Mjengo
 
Kheri ya Pasaka kwa Watanzania wenzangu.

Kama tunavyojua mwaka huu kuna harakati za Uchaguzi Mkuu na tayari wanasiasa wameanza kuzunguka hapa na pale katika kutafuta kuungwa mkono.

Na kila chama kina taratibu, miiko, makatazo na kanuni katika kuelekea katika uchaguzi huo.

Chama Cha Mapinduzi kilitoa katazo kwa makada wake kujizungusha majimboni kabla ya Wakati na mara kadhaa kupitia Katibu Mkuu na Makamu Mwenyekiti wamekuwa wakisisitiza hatua kali zitachukuliwa dhidi ya wanaokiuka makatazo hayo.

Lakini kama kawaida sio watoto wote huwa na utii. Wengine hukiuka na kutumia njia za ujanja ujanja.

Moja ya watu waliokumbana na pitapita hiyo ni Mh. Mwita Mwikwabe Waitara, Mbunge wa Ukonga na Naibu Waziri wa TAMISEMI.

Baada ya kujitangaza hadharani kuwa atagombea Ubunge jimbo la Tarime Vijijini hapo January Mosi, 2020, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mara, Ndugu Samwel Keboye alimkemea kwa kufanya hivyo kabla ya wakati na akasema kuwa ataitwa kwenye Kamati ya Maadili ya Mkoa kujibu tuhuma za kuanza kampeni kabla ya wakati, na mwezi March aliitwa na kuhojiwa.

Sasa katika kundi la WhatsApp la CCM Tarime, Kuna mwanachama alitupia picha ikionyesha taasisi ya Tulia inayomilikiwa na Naibu Spika, Dr. Tulia Ackson ikionyesha matangazo ya mikopo ya Bajaj.

Ndipo Naibu Waziri, Mh. Waitara akahoji ni kwanini Dr. Tulia hajaitwa kamati ya Maadili ili kujibu tuhuma za kuanza kampeni kabla ya wakati? Na akaendelea kuuliza je na Dr. Tulia ataitwa kama na yeye alivyoitwa??

Nimeweka screen shot ya comment ya Naibu Waziri hapa.
Hadi DC nae yupo CCM?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeye mwita ni CCM makinikia, ni mtoto wa kambo, ni wakuja, hivyo basi atulize mshono asilete ujuaji. Matumizi yake yana expire hii 2020 baada ya hapo anatupwa chooni kama kondom iliyotimika kuibaka demokrasia. Awe mvumilivu mwisho unakalibia.
Na amekatwa mkia,kwa hiyo ana alama,ili kwenye kundi la ng'ombe wamjue huyo si mwenzao.
 
Tulia anawaza uspika tu, atafanya kila faulo na hakuna wa kumbabaisha!Yule mzee wa kongwa aage kabisa hiki kibibi kimetumwa na Jiwe kuchukua kiti chake pale mjengoni! Kina Waitara na wote walionunuliwa ndio wasiwaze kabisa kupata ubunge/ udiwani! Habari yao imeisha...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakwanza kuhojiwa alitakiwa ahojiwe kwanza mwenyekiti taifa wa CCM ambaye tangu alipochaguliwa aliwafunga wapinzani pingu, wakati yeye akiendelea kujipitisha kwenye jimbo la Tanzania kupiga kampeni za kiaina.
 
Kheri ya Pasaka kwa Watanzania wenzangu.

Kama tunavyojua mwaka huu kuna harakati za Uchaguzi Mkuu na tayari wanasiasa wameanza kuzunguka hapa na pale katika kutafuta kuungwa mkono.

Na kila chama kina taratibu, miiko, makatazo na kanuni katika kuelekea katika uchaguzi huo.

Chama Cha Mapinduzi kilitoa katazo kwa makada wake kujizungusha majimboni kabla ya Wakati na mara kadhaa kupitia Katibu Mkuu na Makamu Mwenyekiti wamekuwa wakisisitiza hatua kali zitachukuliwa dhidi ya wanaokiuka makatazo hayo.

Lakini kama kawaida sio watoto wote huwa na utii. Wengine hukiuka na kutumia njia za ujanja ujanja.

Moja ya watu waliokumbana na pitapita hiyo ni Mh. Mwita Mwikwabe Waitara, Mbunge wa Ukonga na Naibu Waziri wa TAMISEMI.

Baada ya kujitangaza hadharani kuwa atagombea Ubunge jimbo la Tarime Vijijini hapo January Mosi, 2020, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mara, Ndugu Samwel Keboye alimkemea kwa kufanya hivyo kabla ya wakati na akasema kuwa ataitwa kwenye Kamati ya Maadili ya Mkoa kujibu tuhuma za kuanza kampeni kabla ya wakati, na mwezi March aliitwa na kuhojiwa.

Sasa katika kundi la WhatsApp la CCM Tarime, Kuna mwanachama alitupia picha ikionyesha taasisi ya Tulia inayomilikiwa na Naibu Spika, Dr. Tulia Ackson ikionyesha matangazo ya mikopo ya Bajaj.

Ndipo Naibu Waziri, Mh. Waitara akahoji ni kwanini Dr. Tulia hajaitwa kamati ya Maadili ili kujibu tuhuma za kuanza kampeni kabla ya wakati? Na akaendelea kuuliza je na Dr. Tulia ataitwa kama na yeye alivyoitwa??

Nimeweka screen shot ya comment ya Naibu Waziri hapa.
Acha Wafu Wazike Wafu wenzao...
 
Back
Top Bottom