Leo Bungeni Waitara alikuwa anajenga hoja ya swali la nyongeza lakini kabla hajamaliza hoja yake Naibu Spika akamwamuru na kusema "Kaa Chini".
Kitendo cha Naibu Spika kumtolea lugha ya kaa chini siyo lugha ya kiungwana na hii inaonyesha ubabe wa Naibu Spika.
Unapokuwa Bungeni unatakiwa uonyeshe kuwa wewe ni kiongozi unawaongoza watu kwa weledi. Kwa kitendo hiki anatakiwa amuombe radhi Waitara.
Kitendo cha Naibu Spika kumtolea lugha ya kaa chini siyo lugha ya kiungwana na hii inaonyesha ubabe wa Naibu Spika.
Unapokuwa Bungeni unatakiwa uonyeshe kuwa wewe ni kiongozi unawaongoza watu kwa weledi. Kwa kitendo hiki anatakiwa amuombe radhi Waitara.