Mchawii wewe mm naogopa sana maiti zaid hata kuaga nilikuwa siagi maiti ila nilipofiwa na mama na kaka zangu ndipo nilipopata ujasiri wa kuaga maitiMimi nimeshalala nazo sana. Nyingine kitanda kimoja tena wuchi
Aiseee!Mimi nimeshalala nazo sana. Nyingine kitanda kimoja tena wuchi
Mimi nimeshalala nazo sana. Nyingine kitanda kimoja tena wuchi
Mchawii wewe mm naogopa sana maiti zaid hata kuaga nilikuwa siagi maiti ila nilipofiwa na mama na kaka zangu ndipo nilipopata ujasiri wa kuaga maiti
Aiseee!
Njia ya wote, la kujiuliza ni utaenda wapi wakati wa hukumu ya mwisho. Mungu atusaidie tuwe na maisha mema hapa duniani kabla ya kutwaliwa.
Ni ya nani kwani... Na kwanini alaaniwe?
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1016907/.... Najitahidi kuwafundisha what is called forbidden education.... Kuna mambo inapaswa tuwaambie kwa uwazi ni vema wakafahamu kuliko wakasimuliwasijasema alaaniwe..nimesema alaumiwe..kwa kucreate disturbing image kwa waombolozaji(mimi na wewe)..this was not necessary..kwa sababu ina lasting effect..as chochote kilichopo kwenye internet kipo milele..je ungependa wale twins waje kuona jinsi baba yao alivyorudi kwenye case?
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1016907/.... Najitahidi kuwafundisha what is called forbidden education.... Kuna mambo inapaswa tuwaambie kwa uwazi ni vema wakafahamu kuliko wakasimuliwa