KOSA LA UHARIBIFU WA MALI

KOSA LA UHARIBIFU WA MALI

Karim Mussa

Member
Joined
May 6, 2019
Posts
25
Reaction score
7
kifungu cha 326 (1) cha Kanuni ya Adhabu [Sura ya 16 R.E 2023]. Chini ya kifungu hiki upande wa Mashtaka au tuseme mlalamikaji anatakiwa kuthibitisha yafuatayo;

i. Kwamba mtuhumiwa alikuwa ameharibu au kuharibu mali.
ii. Mali hiyo iliyoharibiwa au kuharibiwa ni mali ya mtu mwingine.
iii. Kwamba uharibifu ulikuwa wa makusudi na kinyume cha sheria

Ili mtuhumiwa awe na hatia, inatakiwa kuthibitisha viungo hivyo vya kosa.

Haya ni Maamuzi katika Kesi ya Tryphone Jeremiah vs Ufoo Rogate Sawe (PC Criminal Appeal 13 of 2020) [2020] TZHC 4697. Tiganga, J.
 
kifungu cha 326 (1) cha Kanuni ya Adhabu [Sura ya 16 R.E 2023]. Chini ya kifungu hiki upande wa Mashtaka au tuseme mlalamikaji anatakiwa kuthibitisha yafuatayo;

i. Kwamba mtuhumiwa alikuwa ameharibu au kuharibu mali.
ii. Mali hiyo iliyoharibiwa au kuharibiwa ni mali ya mtu mwingine.
iii. Kwamba uharibifu ulikuwa wa makusudi na kinyume cha sheria

Ili mtuhumiwa awe na hatia, inatakiwa kuthibitisha viungo hivyo vya kosa.

Haya ni Maamuzi katika Kesi ya Tryphone Jeremiah vs Ufoo Rogate Sawe (PC Criminal Appeal 13 of 2020) [2020] TZHC 4697. Tiganga, J.
Tiganga simuamini maana kuna kesi nadhani za chadema aliziedesha kwa " maagizo"/isivyo. After all hiyo siyo final ipon appeal it might be overturned!
Naomba radhi kumsema jaji, sina namna ya kumkwepa
 
Back
Top Bottom