Mwisho wa Daudi Ballali

Na haya yote siku moja yatakuwa wazi tu,watu hawa watakufa kweli.Mungu kaa nasi wananchi wa Tanzania.
 
Akitokea dodoma, Balali alipewa lifti kwenye ndege ya mkulu, akawekewa sumu!

Alipotoka hapo hakutaka maneno na bongo tena! Maana walikuwa wanamchekea chekea kumbe ndo wana mkili!

Akatimkia Marekani kutibiwa!

Watu walitumwa na serikali akawa hataki kuonana nao.Wengine wakidhani walitumwa kummalizia!

Ndo maana kuna wanao amini alifake kifo kwa usalama!
 
unacheza na siasa - aliemuua Tom Mboya alihukumiwa kifo lakini alionekana mitaa ya Cairo hadi kifo kilipomkuta kokote alikofia. Teknolojia ya sasa ina uwezo wa kupiga picha maiti iliyomo kaburini bila kuifukua - kwa nini mwandishi asije ingalao na kitu hicho cha kudanganyia
 
Yani mtu anasafiri all the way from Tz kwenda kuona kaburi, then anaamini baada ya kuona jina, mbona asingeanzia kwa funeral homes coz am sure kama kweli jamaa is dead there must be a funeral home which handled all the process from death mpaka anazikwa, and I am sure lazima wana picha pia. Weka hizo picha hapa from reliable sources otherwise I will always believe this dude is still well and kicking. Governor wa benki kuu anazikwa kinyemela hivyo, watu wa kawaida tu, they manage to transport bodies of their loved ones back home. Someone want me to believe familia ya governor wa benki kuu never had no resources to do so! Never in a million years
 
Mwamba wa kaskazini aliwaambia kuwa wakiendelea kumfuata fuata atamleta Balali akiwa hai
 

Uongo huu waambie watoto wako..technolojia gani inapiga mtu picha akiwa kaburini?acha mahekaya ya abunuwasi hayo
 
Hawa waandishi vilaza wana dharau sana, sijui katuonaje watanzania mwanaharamu wahed huyu mwandishi.
 
Wandishi wa TZ walivyokuwa wajinga na division four zao, usirudie kuandika ujinga kiasai hiki kama MCT haikukemei jamii itakukemea
 

Hata hivyo sehemu ambapo picha imechukuliwa hapaonyeshi kuzungukwa na makaburi mengine,zaidi ya kibao tu hicho chenye maandishi ya kubandikwa
 

Marekani hamna shortcut my azz.
 


mbona kwenye picha kwenye kaburi moja tu, au ballali ndio mtu wa mwisho kuzikwa hapo.
nmepata mashaka sana na uhandishi wako unaobase upande mmoja ,halafu unauita wa kichunguzi.


Ndugu NYANYADO ni kweli kabisa, mimi pia nimecheki hii picha kwa umakini kidogo nikastuka mbona kaburi moja tu? Hapo ndiyo tunamwomba mwandishi toleo linalokuja atueleze kinagaubaga.
 
Kwa ukubwa wa Gazeti la Mwanainchi sidhani kama picha ya kaburi ilipaswa kuonwa na wahusika kuwa inakidhi kiu ya Watanzania kwa ishu ilivyo na ukubwa wake.

Na kama sikosei mmeandika kuwa siku kwanza kufika makaburini, kaburi halikukutwa.....Marekani ninavyoamini ni kuwa wapo makini kwa kuratibu shughuli zao, so sielewi unawezaje kutembelea sehemu maarufu/ya kihistoria bila kuona ulichokusudia ?

Unaweza kumpeleka Mtalii Serengeti, aliyetoka mbali kote kwa hamu ya kumuona Chui, mkazunguka siku nzima na kwa bahati mbaya mkashindwa kumuona Chui....je na kaburi ni vivyo hivyo ?

Ewe "Mtalii" uliridhika vipi kutokuona kaburi siku ya kwanza ? Je ulipata mashaka yoyote kwa kulipata kaburi baadae ? nakushauri baada ya mwezi mmoja rudi tena kwa kushtukiza kama utaliona...then wape muda kama ulivyofanya awali....ukirudi utaliona.
 
We ulitakaje?? Achukue mifupa afanya DNA?? Yeye ni muandishi kaishia hapo

Huyu kama kweli alifanya kilichoandikwa, basi alikuwa mpuuzi. Alifanya kazi isiyokuwa yake. Mwandishi wa habari hatoi uthibitisho wa kifo cha mtu. Ndo maana aliishia kupiga picha.
 

Nadhani hayo ungelenga kwa mwandishi husika, hii stori yake ndio inatuambia Marekani kuna shortcuts...hebu mkemee aache hizo.

Alafu kabla ya kupanic, ungefanya kwanza utafiti ni kwa nini Watanzania wanahitaji uthibitisho wa kifo cha Balali, badala ya kuja na stori mreeeeeeeeefu.
 
huyu mwandishi kasafiri kwenda Amerika kwa gharama za nani?ili amletee nani uthibitisho?kwa lengo gani?.Ebu acheni umburura kutuona watz wote ni wa shule za kata!!
 

kazi kweli kweli ... naelewa sana jinsi hiki kifo kilivyoleta kutokueleweka katika jamii kwa sababu kila jambo au ufisadi uliotokea alisingiziwa yeye as if mfumo wote wa pesa ulikua unafanywa na mtu mmoja na hakuna jinsi ya kutrace wengine ... haya ni maajabu ya dunia .... mwandishi kakwambia kaburi liko wapi ... wewe kama una maslahi marefu na kifo chake unaruhusiwa kwenda pale kujiridhisha, unaweza ukaomba kibali cha mahakama ili ufukue na kufanya hizo DNA tests kama unataka!

kwa kifupi watanzania wafanye juhudi za kuweka utawala tofauti utakao fanya uchunguzi na kuchukulia hatua wote waliohusika na ufisadi mbali mbali nchini maana hata mimi naamini kuna wengi tu bado wanadunda mitaani waliofanya huu ufisadi!
 
Tutajuaje hilo kaburi kwenye picha lipo Marekani? Haiwezekani wakachonga kaburi fake ili watuzuge?

kazi kweli kweli ... naelewa sana jinsi hiki kifo kilivyoleta kutokueleweka katika jamii kwa sababu kila jambo au ufisadi uliotokea alisingiziwa yeye as if mfumo wote wa pesa ulikua unafanywa na mtu mmoja na hakuna jinsi ya kutrace wengine ... haya ni maajabu ya dunia .... mwandishi kakwambia kaburi liko wapi ... wewe kama una maslahi marefu na kifo chake unaruhusiwa kwenda pale kujiridhisha, unaweza ukaomba kibali cha mahakama ili ufukue na kufanya hizo DNA tests kama unataka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…