majaar
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 1,356
- 257
Hata Mawalla wa Arusha alizikwa Nairobi wakati kwao Marangu na nduguzake hawakushirikishwa kikamilifu.
Kumbe walishirikishwa ila sio kikamilifu,kwa Balali hawakushirikishwa hata kidogo ndugu zake.
Hata Mawalla wa Arusha alizikwa Nairobi wakati kwao Marangu na nduguzake hawakushirikishwa kikamilifu.
Kumbe walishirikishwa ila sio kikamilifu,kwa Balali hawakushirikishwa hata kidogo ndugu zake.
Kwa umafia huu yawezekana ni kweliMaccm hawakawii kuzika mbwa halafu wakaandika Daudi Balali
Yawezekana maana nyumban kwao hapo Luganga pamechoka sana na hakuna hata dalili ya kua panakaliwa na watu wenye kauwezo kadogo...yaan dah siasa hizi?Balali alipiga Pesa nyingi sana ila azifikii zilizopigwa baada yake
Nimepita juz sijui why hata hawapaendelezi hata kule mtwango kumedodaaaaaYawezekana maana nyumban kwao hapo Luganga pamechoka sana na hakuna hata dalili ya kua panakaliwa na watu wenye kauwezo kadogo...yaan dah siasa hizi?
Kwanza amesafiri kwa gharama za nanihuu sio uthibitisho. huwezi kusafiri amerika kutuletea picha ya kaburi tu tukuamini. tumia akili za mwanahabari anayeijua kazi yake.