Mwisho wa Daudi Ballali

Mwisho wa Daudi Ballali

Kumbe walishirikishwa ila sio kikamilifu,kwa Balali hawakushirikishwa hata kidogo ndugu zake.

Hakuna aliyewahoji ndugu zake wa karibu wakaelezea. Sijui waandishi wetu wanaona ugumu gani kuhoji mke, watoto na ndugu wengine wa Karibu. Tunalishana gossip tu!
 
Yawezekana maana nyumban kwao hapo Luganga pamechoka sana na hakuna hata dalili ya kua panakaliwa na watu wenye kauwezo kadogo...yaan dah siasa hizi?
Nimepita juz sijui why hata hawapaendelezi hata kule mtwango kumedodaaaaa
 
Back
Top Bottom