Tuliambiwa hadi paster hakuruhusiwa kuona mwili wa marehemu! Ballali anajulikana kuwa alikuwa ni US ASSET! aliifanyia nchi hiyo kazi nzuri sana ktk kipindi cha uhai wake! Ballali alifanikisha sera yetu ya MADINI 1998, Fedha na Uwekezaji ya 1996! Ballali alifanya economic restructuring katika nchi nyingi zilizokuwana maslahi mapana na USA zikiwemo Ghana, Nigeia et al! Ballali alikuwa one of economic Hit Men aliekubuhu! Ballali alimpokea na kumbadilisha mtazamo Benjamin William Mkapa alipokwenda Washington kuwa balozi wa Tanzania enzi zile!.. Ballali asingeweza kuuawa ama kufa kizembe kwa level na cheo chake ndani ya USA!...Tambueni kuwa USA huwa haiwapokei viongozi mafisadi!!!! Ballali kwao alikuwa na umuhimu wa kipekee! ... No hard feelings LAKINI naamini ile ilikuwa zuga tu kama ambavyo wale faya mens waliohusika na ile tukio la 9/11 walivyohamishwa na kuhifadhiwa maeneo ya Austria hadi leo! Same kwa wale wataalam wa Semiconductor waliokuwa na uwezo wa kutengeneza drones ndogo zisizoonekana ndege yao (Malasia ) ilivyotekwa na kupelekwa Kisiwa cha Diego Garcia .... Huyo Mwandishi aligharamiwa na NANI? Kwanini familia haikujua kaburi ilipo? Kweli Waandishi wetu ni makanjanja wa kutupwa!! Grrrr