Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,098
- 631
- Thread starter
- #181
Watanzania wengi tunahitaji kuamka.. CCM ilipotufikisha imetosha...
Tutakuja kuulizwa na watoto wetu na wajukuu zetu..tulikuwa tunafanya nini..?
Mtu ameiba billions..na yeye Balali ni mhusika mkuu..akisaidiana na viongozi wakubwa sana ndani ya serikali..eti ameenda Marekani na kufia huko..na kuzikwa kimya kimya.. Hivi hii inaingia akilini..?
CCM walipotufikisha basi..deni la taifa kila siku linaongezeka.. sasa hivi tuna Escrow..
Na bado movies
CCM ni chaguo la Mungu.