Mwisho wa Daudi Ballali

Mwisho wa Daudi Ballali

Yaani uwepo wa kaburi ndiyo uthibitisho wa kifo? Bado mimi siamini. Yawezekana kabisa kaeneo kalinunuliwa na kujengwa kinachoonekana hapo.Na mambo mengine yanaendelea.Kiukweli,suala la Balali lina maswali mengi kuliko majibu.
 
Picha ya kaburi hujaiona?
wacha kujitoa ufahamu,pia acha ushabiki kwani sababu za kumzika kwa usiri mkubwa ni nini? au unajua maana ya kutoa heshima za mwisho? kama hujui maana ndiyo hii ; kila mtu ajiridhishe kuwa muhusika amefariki kweli. upo hapo? wacheni uccm utawapeleka motoni, hivi mmesahau kuna kufa? au mmeumbwa kwa shaba na mna roho ya dhahabu? isitoshe hata hivyo hutoweshwa kalibuni! wacheni kuingiza siasa kwenye kila kitu.
 
Ukitaka kujua huu ni uongo usio na shaka mi pale mwandishi anaposema eti alitumia siku mbili kutafuta bila mafanikio ila siku ya tatu ndo akakumbuka kwenda kwa mamlaka inayohusika wamsaidie..hivi kwa jinsi mwandishi alivodiscribe ukubwa wa ilo eneo sidhani kama mtu alieko katika mission kama hiyo tena kwa safari zaidi ya masaa 30 kutafuta ukweli eti angeanza kuangaika kutafuta ilo kaburi bila kushilikisha wausika.. nadhani mwadishi anajaribu kutengeneza na kuulemba uongo wake uwe mlefu na jua toleo lijalo litanunulika vya kutosh kwa sababu ya huu uongo.
 
Ukitaka kujua huu ni uongo usio na shaka mi pale mwandishi anaposema eti alitumia siku mbili kutafuta bila mafanikio ila siku ya tatu ndo akakumbuka kwenda kwa mamlaka inayohusika wamsaidie..hivi kwa jinsi mwandishi alivodiscribe ukubwa wa ilo eneo sidhani kama mtu alieko katika mission kama hiyo tena kwa safari zaidi ya masaa 30 kutafuta ukweli eti angeanza kuangaika kutafuta ilo kaburi bila kushilikisha wausika.. nadhani mwadishi anajaribu kutengeneza na kuulemba uongo wake uwe mlefu na jua toleo lijalo litanunulika vya kutosh kwa sababu ya huu uongo.

Hakika hawa ndio waandishi tulionao tanzania eti hyo nayo ni habari ya uchunguzi. Inasikitisha kuona mtu anatumia garama kubwa kiasi h4cho then anatuletea habari isiyokua na utafiti hata chembe au hyo safari alilipiwa na serikali ya ccm nini?
 
Hakika hawa ndio waandishi tulionao tanzania eti hyo nayo ni habari ya uchunguzi. Inasikitisha kuona mtu anatumia garama kubwa kiasi h4cho then anatuletea habari isiyokua na utafiti hata chembe au hyo safari alilipiwa na serikali ya ccm nini?

We ulitakaje?? Achukue mifupa afanya DNA?? Yeye ni muandishi kaishia hapo
 
Dunia ina mambo!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
wacha kujitoa ufahamu,pia acha ushabiki kwani sababu za kumzika kwa usiri mkubwa ni nini? au unajua maana ya kutoa heshima za mwisho? kama hujui maana ndiyo hii ; kila mtu ajiridhishe kuwa muhusika amefariki kweli. upo hapo? wacheni uccm utawapeleka motoni, hivi mmesahau kuna kufa? au mmeumbwa kwa shaba na mna roho ya dhahabu? isitoshe hata hivyo hutoweshwa kalibuni! wacheni kuingiza siasa kwenye kila kitu.

Hata Mawalla wa Arusha alizikwa Nairobi wakati kwao Marangu na nduguzake hawakushirikishwa kikamilifu.
 
Balalli mwenyewe akiamka asubuhi huko Marekani lazima akutane na hii Thread halafu anaanza kucheka tu jinsi alivyofanikiwa kutufanya mazuzu.
 
Kaburi pekee siyo uthibitisho...Leteni video ya mazishi na ionekane halisi! mbona mnaficha.?
 
...hii biashara ya kuuza maneno ni raisi sana coz hakuna siku utakosa cha kuuza...
 
Back
Top Bottom