Mwisho wa Chenge umefika rasmi

asante kwa picha mkuu .

Ronaldo, unafuatilia hadi siasa za bongo.

Kweli ufisadi wa Tanzania umefikia viwango vya Kimataifa.

Kwa taarifa tu,usifikirie huyu chenge ndio mwizi maarufu,yupo mwingine,azungumziwi sana sababu alikuws anaumwa,ndo amerudi juma mosi jioni.

Huyo ni mwizi wa kutupwa,anaiba kama hana akili nzuri,ni mwizi haujapata kuona.

Anaitwa,Jakaya Mrisho Kikwete.

We unakuja lini bongo sasa?
 

Ha! Ha! Haaaa !!!!
 

we bwana weeee,unamaanisha Profesa??????
 
Hizi hadithi zenu za kusoma Havard, sijui msomi wa hali ya juu zinakera sana...Chenge ni mwizi,fisadi wa kiwango cha juu,asiye na huruma hata kwa familia yake mwenyewe na ndiyo maana amefanya mambo mengi ambayo yameliingiza taifa na nchi kwenye korongo la milele! Kuna watu wenye vyeti kutoka 'Data Star College' Cha wapi sijui ila wakipewa nafasi wanaweza kusimama kwenye ethics kuliko hii mijizi ya Havard!
 

Kama unanufaika na huu mfumo nakupa big up.ila Kama huna unalopata wewe Ni kenge maji.
 
huyo ni fisadi hangoki
Alivyo jeuri si mlisikia alipokwa anazomewa bungeni wakati akimsaidia madame speaker kumpatia ''formulation'' nzuri ya maneno ya kuandika azimio kwa mkulu ,alisema wala hizo kelele hazimsumbui na alisikika waziwazi kwenye TV,jama ana ngozi ngumu kama ya kiboko mzee
 
Chenge ashawapiga chenga tangu awali walileta mizengwe kupindisha ufisadi wa pinda wakaishia kupinda pinda kumlinda pinda asisulubiwe keeblnye ncha ya upinde.
 
Chenge ni hatari,ngoja nikamtoe huko Bariadi,simwogopi wala nini pamoja na uchawi wake
 
lancanshire kenge maji humtambua kenge maji mwenzake..bila shaka wewe ni kenge maji ndio maana umenitambua hivyo.. Sinufaiki sihitaji big up yako isipokuwa nakuona una gundu la maamuma tu...
Kama unanufaika na huu mfumo nakupa big up.ila Kama huna unalopata wewe Ni kenge maji.
 

Sasa pesa za kupigia kampeni za mwakani akatoe wapi? Polisi? Mnafikiri T-shirts na vikofia vinatoka wapi?
 
Kubwa la maadui, fisadi papaa aka A.Chenge...mie nilijua huyu atakaa kwenye system mpaka kuuzeeka kumbe Mwenyezi Mungu ni mkuu katoa maonyoo mchana kweupe...

Bado wale wengine waliochukua zile cash za stanbic unaweza kuta yupo mkuu wa kaya hapo chachaaa
 
Kubwa la maadui, fisadi papaa aka A.Chenge...mie nilijua huyu atakaa kwenye system mpaka kuuzeeka kumbe Mwenyezi Mungu ni mkuu katoa maonyoo mchana kweupe...

Bado wale wengine waliochukua zile cash za stanbic unaweza kuta yupo mkuu wa kaya kwenye list hapo chachaaa
 
Mtafutie ushahidi wenye mashiko umburute kortini na usimamie kesi hiyo ili hukumu itoke kwa haki

we jamaa ni kiboko ! Humuamini pdg rugemalira ? PAC je ? Mkombozi bank nayo ? Au ndio ile mahaba niue ? Ushahidi wa kumfunga jela chenge umejaa tele , subiri muda ufike atapelekwa hata kwa wheel chair !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…