Mwili wa commando Lt. Mlima kuwasili leo

Mwili wa commando Lt. Mlima kuwasili leo

HIMA HIMAAAAA TANZANIAAAAAAA !!!!! SALUTE TO MY SOLDIER:loco::loco::loco::loco:


Mwili wa marehemu LT.RA MLIMA utawasili Uwanja wa ndege wa kimataifa wa DAR leo jioni 1925hrs kwa ndege ya KQ 486.Mwili wa kijana wetu shujaa utapokewa kwa heshima zote kijeshi.Ikumbukwe marehemu alifariki akiwa mission ya UN alias MONUSCO tarehe 27 oct.Shujaa Mlima alikua commando aliyesomeshwa u-commando nje ya nchi na vile vile alikua mkufunzi wa makomandoo pale 92KJ.

Nchi imepoteza rasilimali muhimu na ya gharama sana katika masuala ya Ulinzi na Usalama.Marehemu alifariki papo hapo baada ya kupigwa risasi na sniper.

Vijana aliokua nao walijibu shambulizi hilo kwa nguvu kubwa na kufanikiwa kuondoka na marehemu (evacuation) na kuelekea kwenye ngome kwa usalama zaidi.mapambano yalikua makali lakini vijana walipigana kishujaa kwa covering fire huku wakihakikisha hakuna majeruhi mwingine.

RIP, SHUJAA.UMEKUFA UKISAIDIA JIRANI YAKO AISHI KWA AMANI. U DIED WAVING TANZANIAN FLAG UP HIGH, SACRIFICING YOUR LIFE FOR OTHERS! THATS OUR JOB.RIP COMMANDO MLIMA.
 
Duniani tunapita na makazi yetu ahera, ni wasafiri tupo kwa muda katika kituo cha dunia na hivi punde tutaenda kituo kinachofuata yaani kaburi, Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi kamanda na mema yako yawe mtetezi wako uendako nasi tupo nyuma yako.
 
kwa sasa wamedhoofishwa sana, na central command yao haina nguvu tena, they no longer fight as one strong force, wanachofanya saivi ni guerilla tactics kama walivyofanya kwa kumuua commando mlima, hii tactic hutumika ili ku-incite anti-war or anti-mission debates kwenye nchi husika, baada ya kifo cha mlima nilikua napitia mitandao nikaanza kuona opposing debates zimeanza, lakini generally public bado ipo behind our men and women in combats, haya mambo waasi wanafanya makusudi.they know what they are doing, na wanalenga maofisa ili ku-create fear and panic kwa wafuasi wao, trust me this is text book tactics

asymmetric warfare....that's sun tzu' art of war tactics
 
Komando anakufa?

japo imeniuma kwa yeye kufa lakini komando kuuawa na sniper napata mashaka. ila kwa nchi yetu kama tuna ma Dr. na Prof. feki si ajabu kuwa na Commando wa kuchonga kama komando kipensi wa deadly prey.
 
japo imeniuma kwa yeye kufa lakini komando kuuawa na sniper napata mashaka. ila kwa nchi yetu kama tuna ma Dr. na Prof. feki si ajabu kuwa na Commando wa kuchonga kama komando kipensi wa deadly prey.

unajua sniper ni nani? au unabwabwaja tu,,, unajua sniper shot? hii nchi haina commando feki toa mawazo yako mgando, na huyu kijana alisomea u-commando nje ya nchi.sniper aliyebobea hakosi target, uwe commando hata uwe nani, its one shot one kill
 
Amekufa kwa heshima.
Kila jambo lina cha kujifunza.
Hapa cha kujifunza ni kuwa vyeo na status vinatakuwa kuwa covered wakati wa vita.
Hao ndio target ya snipers.
R.I.P Kamanda !
 
japo imeniuma kwa yeye kufa lakini komando kuuawa na sniper napata mashaka. ila kwa nchi yetu kama tuna ma Dr. na Prof. feki si ajabu kuwa na Commando wa kuchonga kama komando kipensi wa deadly prey.

Komando kufa vitani ni kitu cha kawaida ni kwa sababu highly trained soldiers ndo wanaolengwa sana na adui mfano wenye nyota(maafisa)Kama commando Mlima kumbuka ana nyota mbili plus kofia yake(maroon berret) ilimtambulisha yeye ni commando ndo mana yy alipigwa na wenzake wakaachwa
Ni vizuri ukajifunza ku appreciate effort za mtu kama huyu na sio kurukia kwnye mashaka yako ambyo pia siyo ya kweli kwa sababu ni mashaka
RIP LT COMMANDO MLIMA,....your country is proud of you..
 
eti anaekufa vitani na anaerudi akiwa mzima nani anaestahili kuitwa shujaa?
 
Apumzike kwa amani, kiukweli amekufa kishujaa and He'll surely rest in eternal peace!
 
Gazeti la uhuru la tarehe 29/10/13 liliandika kanali wa jwtz auawa na m23. Wanashindwa kutofautisha cheo cha luteni na cheo cha kanali.
 
eti anaekufa vitani na anaerudi akiwa mzima nani anaestahili kuitwa shujaa?

anaweza huyo aliyerudi salama vitani hakua front line, unit za kina mlima ndizo zinapambanana adui directly, bunduki kwa bunduki, risasi haibagui comrade, ukilengwa haikwepeki
 
MhhhhKobogo Nimesoma comment zako kwengine kumhusu Bisiima ukawa unamkingia kifua, na hapa tena unaonekana hutaki uwepo wa JW kule DRC. Kama vile na wewe Mnyamlenge nini? Unajua mtu utamjua kwa maoni yake
- Dhahabu tunatoa
- Almas Tunatoa
- Tanzanite Tunatoa
- Gesi Tutatoa
Sasa imefikia tunatoa hata Askari wetu Muhimu ambao nchi imetumia ghara kubwa kuwasomesha, imefikia wakati sasa viongozi wetu watumie akili za Gaddaf kwani alipoombwa msaada na Idd Amin wa Askari na Silaha alipewa Silaha pamoja na Mgambo tena wazee.

R.I.P kamanda kwa kuwa ulikuwa mkufunzi ni matarajio yangu umeacha Urithi.
 
Back
Top Bottom