Mwili wa commando Lt. Mlima kuwasili leo

Mwili wa commando Lt. Mlima kuwasili leo

just like everybody else, na kwa taarifa yako mtu kama yeye ndo anakua priority target, commando ambaye ni officer, ni high value target in battlefield

Kweli kabisa. Inanikumbusha issue ya israel kule Uganda
 
Thanks Lt Mlima for your sacrifice to the nation and african course. Unlike the m23 soldiers who fight for ethnic hegmony Tanzanian soldiers fight for peace and true liberation of mankind. R.I.P comrade.
 
R.I.P Soldier , You are a true Hero, the country salutes you for your great sacrifice...
 
Mwili wa marehemu LT.RA MLIMA utawasili Uwanja wa ndege wa kimataifa wa DAR leo jioni 1925hrs kwa ndege ya KQ 486.Mwili wa kijana wetu shujaa utapokewa kwa heshima zote kijeshi.Ikumbukwe marehemu alifariki akiwa mission ya UN alias MONUSCO tarehe 27 oct.Shujaa Mlima alikua commando aliyesomeshwa u-commando nje ya nchi na vile vile alikua mkufunzi wa makomandoo pale 92KJ.

Nchi imepoteza rasilimali muhimu na ya gharama sana katika masuala ya Ulinzi na Usalama.Marehemu alifariki papo hapo baada ya kupigwa risasi na sniper.

Vijana aliokua nao walijibu shambulizi hilo kwa nguvu kubwa na kufanikiwa kuondoka na marehemu (evacuation) na kuelekea kwenye ngome kwa usalama zaidi.mapambano yalikua makali lakini vijana walipigana kishujaa kwa covering fire huku wakihakikisha hakuna majeruhi mwingine.
Marehemu ataagwa kesho Lugalo saa nne asubuhi, sala ya kumuombea marehemu itafanyika msikiti wa Mamulu Upanga, baada ya hapo, marehemu atazikwa makaburi ya Kisutu.
RIP, SHUJAA.UMEKUFA UKISAIDIA JIRANI YAKO AISHI KWA AMANI. U DIED WAVING TANZANIAN FLAG UP HIGH, SACRIFICING YOUR LIFE FOR OTHERS! THATS OUR JOB.RIP COMMANDO MLIMA.

Alikua rafiki, kaka, na ndugu

Nilimjua personally and professionally, na hapa kijiweni kwetu tulipokua tunakaa pamoja hasa mida ya jioni na siku za weekend bado hatuamini kama Mlima is never coming back.

R.I.P Brother!
 
Alikua rafiki, kaka, na ndugu

Nilimjua personally and professionally, na hapa kijiweni kwetu tulipokua tunakaa pamoja hasa mida ya jioni na siku za weekend bado hatuamini kama Mlima is never coming back.

R.I.P Brother!

Embu tupe historia yake kwa ufupi,exprience pamoja na mafanikio yake mpaka mauti yanamkuta,
 
Kwani hawa m23 na m18 ni mgambo au ??
Maana wanawachachafya kweli kweli au ndio yale ya magaidi.??
Watu wa4 wanajeshi na wanausalama wa kenya kibao?? Siku 4
 
walimuua meja wakatandikwa goma, memuua huyu comando wamekung,utwa maeneo yote. Niko kigali yani wanyaru wameogopa kwamba sasa kagame utawala wake waweza kuwa shakani.wametoa mfano kwamba itakuwaje tz ikisaidia na waasi,kayumba nyamwasa and his co,? Wengi wamependa kuzimwa kwa m23
 
Thanks Lt Mlima for your sacrifice to the nation and african course. Unlike the m23 soldiers who fight for ethnic hegmony Tanzanian soldiers fight for peace and true liberation of mankind. R.I.P comrade.

Mkuu "comrade" unakusudia nini au ndio hii hii ninayoijua mimi
 
RIP Commando Lt Mlima!! we are proud of you!!
 
unajua sniper ni nani? au unabwabwaja tu,,, unajua sniper shot? hii nchi haina commando feki toa mawazo yako mgando, na huyu kijana alisomea u-commando nje ya nchi.sniper aliyebobea hakosi target, uwe commando hata uwe nani, its one shot one kill

nakupa 100, hakuna comando fake labda tz. Kuna comando wa kigoma anaitwa kimondo- muha? Alitoka jeshini bila taarifa. Jesh lilitumia nguvu nyingi kumtrace?alivopatikana walisema asiguswe hovyo kwani dogo alikuwa amemaliza mafunzo cuba.wanasema angeweza kupambana na zaidi ya watu 00. Nakubaliana nawe kuwa hatuna commando yebo labda wanyarwanda
 
Back
Top Bottom