Mwili wa commando Lt. Mlima kuwasili leo

Mwili wa commando Lt. Mlima kuwasili leo

Alafu ningependekeza wanaopelekwa Ngerengere sijui sengerema kupata red baret na bawa, wawe wanachukuliwa wenye sura ngumu za kazi. Huyu jamaa kumwita komando ngumu kidogo.
Sio red beret, red beret is for military police, commando huvaa beret ya damu ya mzee
 
Kwan umeandika na ukapendekeza nn Mkuu?
Sasa si nimeshapendekeza, mbona unaniuliza shida yangu tena hapo juu?? Sina shida, na nafahamu kuwa dont judge a book by its cover, jamaa kimuonekano anaonekana tozi ila nina uhakika kuwa ukomando hakupewa mezani!! Lengo langu lilikuwa ni kuweka humour kidogo kwenye majonzi, RIP Commando Lt. Mlima.
 
Sasa si nimeshapendekeza, mbona unaniuliza shida yangu tena hapo juu?? Sina shida, na nafahamu kuwa dont judge a book by its cover, jamaa kimuonekano anaonekana tozi ila nina uhakika kuwa ukomando hakupewa mezani!! Lengo langu lilikuwa ni kuweka humour kidogo kwenye majonzi, RIP Commando Lt. Mlima.
Shida ilikua comment yako kujudge muonekano wa mtu na utendaji kazi wake , mpaka nilikua nshaanza kuchukia kwa kasi bado kidogo ....
Anyway Shake hands with me bro Au kama uko na Gun Rusha Hata bullet moja juu Sote tumkumbuke jamaa yetu L.t . Mlima, Ahhaha Went soon while he was still young and productive.
 
Komando kufa vitani ni kitu cha kawaida ni kwa sababu highly trained soldiers ndo wanaolengwa sana na adui mfano wenye nyota(maafisa)Kama commando Mlima kumbuka ana nyota mbili plus kofia yake(maroon berret) ilimtambulisha yeye ni commando ndo mana yy alipigwa na wenzake wakaachwa
Ni vizuri ukajifunza ku appreciate effort za mtu kama huyu na sio kurukia kwnye mashaka yako ambyo pia siyo ya kweli kwa sababu ni mashaka
RIP LT COMMANDO MLIMA,....your country is proud of you..

Kwa nini alivaa hiyo kofia?je ni silaha?kwa nini asiwe undercover?
 
Back
Top Bottom