hapana, hapana, hapana. alisema baada ya kumaliza degree ya pili!Hukumuelewa kwasababu ww ulikuwa bize kutafuta kasoro. Na inaelekea hoja zake zilikukuna na hiyo ndio kasoro pekee uliyoiona kutokana na utashi wako. Hebu rudi uisikilize hotuba yake. Kipindi alichobeba zege ni baada ya kumaliza degree, yaani kabla hajaanza masters na kuwa sponsored na BoT.
Mkuu. Kumbuka mtu muongo huwa hana kumbukumbu ya kile alichodanganya hata kama ingekuwa ndani ya dakika 10 lazima asahau alichokisema maana ni uongo. Hiyo ni sifa mojawapo ya mtu muongo.
Mwigulu ni tapeli la kisiasa. Amesahau kuwa tunajua alifeli darasa la saba na badala yake akanunua jina la mtu aliyekuwa amefaulu aitwaye Mwigulu.
Hakuchaguliwa kuendelea na masomo ya sekondari mkuu, those days wale tuliochaguliwa kuendelea na masomo ya sekondari kwenye shule za serikali tuliaminishwa kwamba tumefaulu kumbe kuna vichwa vingi vilikuwa vimeachwa kutokana na uchache wa shule na hasa wa vijijin ili uchaguliwe ulihitaji maksi za juu sana kwa kuwa suruhisho pekee lilikuwa ni shule za boarding lakini wazee wa day ilikuwa kiaina tu unafaulu unachaguliwa.Mkuu. Kumbuka mtu muongo huwa hana kumbukumbu ya kile alichodanganya hata kama ingekuwa ndani ya dakika 10 lazima asahau alichokisema maana ni uongo. Hiyo ni sifa mojawapo ya mtu muongo.
Mwigulu ni tapeli la kisiasa. Amesahau kuwa tunajua alifeli darasa la saba na badala yake akanunua jina la mtu aliyekuwa amefaulu aitwaye Mwigulu.
wacha abebe hilo zege ila swala la urais asahau. maana hatumchaguai rais et kwa sababu aliishi maisha ya kubeba zege.
duh! neno jipya, "tapeli la siasa!"
Eti amekulia mazingira ambayo Dozi Moja ya Dawa wanapewa watoto zaidi ya mmoja!! Hivi ingekuwa ni kweli huyu Bwana angeishi mpaka leo? Malaria Nusu dozi?? Tapeli mkubwamaswali ni je alibeba zege?.... Na mkewe akawa Mama ntilie.. Na ni Mtaa upi huo huyu binti alikuwa ntilie?
Eti amekulia mazingira ambayo Dozi Moja ya Dawa wanapewa watoto zaidi ya mmoja!! Hivi ingekuwa ni kweli huyu Bwana angeishi mpaka leo? Malaria Nusu dozi?? Tapeli mkubwa
Mkuu, ni rahisi sana kuwasoma jamaa hawa - unajua tatizo ni nini? Lameck kawashtua baada ya kuonekana kube aliwahi kutipia suruba za kimasikini za kila sampuri mfano: Mwambie Mwingulu kwamba uliwahi kutembea peku peku mpaka ulipo ingia form one - Lameck atakuelewa, unakula mara moja kwa siku, ulikosa karo, kuishi nyumba za TEMBE, beba zege na matofali, mama ntilie nk yote hayo kapitia - hata ukiangalia wazazi wake ndugu zake mke wake watoto -wote wanaonekana ni watu wa kawaida kabisa - kuna baadhi ya members waliojipanga kumzulia vitu visivyo na kichwa wala miguu.
Mkuu nikwambie kitu, Mwenyezi Mungu alituhumba na instinct za aina fulani za kuweza kutambua mtu ambaye ni mkweli au mwigizaji - mtu mkweli ambaye anajali binadamu wenzake anapozungumza unahisi msisimuko wa aina fulani down your spine - ni binadamu wachache Duniani wenye uwezo wa kuwafanya binadamu wenzake wajione wapo karibu nao kiroho- mfano:
Nyimbo za Michael Jackson, Kambarage, John Fitzgerald Kennedy, Martin Luther King Jr, Chinese leader Ti Xing Ping, JK nk. Jana nimejaribu kuzungumza na wenzangu kuhusu hotuba ya Lameck - wengi wamehisi feelings kama za kwangu - why? Ana kitu cha ziada yule si bure, si rahisi mtu kuteuliwa kwenye uongozi tangu hupo shule ya msingi mpaka Chuo Kikuu na baadae ndani ya Chama na Serikalini - hata hasipo teuliwa katika hawamu ijayo basi kama tuko serious na mstakabali wa Taifa letu basi apewe uwaziri Mkuu na mamlaka kamili ya kuwasimamia MAWAZILI.
maswali ni je alibeba zege?.... Na mkewe akawa Mama ntilie.. Na ni Mtaa upi huo huyu binti alikuwa ntilie?
Usihame kwenye agenda, elewa hoja kabla ya kuchangia. Hoja iliyokuwa inajadiliwa ni: lini alibeba zege wakati CV yake inaonesha alitoka chuo kikuu na kuajiriwa BOT.
Hoja ya kusema alivaa uhusika tu na wala siyo maisha yake halisi aliyoishi ndiyo inayopingwa hapa, kuwa siyo kweli ama ni maisha yake halisi ama ni usanii tu kunogesha mjadala, tujue hilo. Mambo ya maisha yake binafsi baada ya kuajiriwa hakuna aliyegusia.
Hata kama yapo hiyo siyo hoja inayojadiliwa sasa. Kama uliweke utetezi wako kwenye eneo hilo subiri au anzisha uzi, tutachangia kulingana na hoja itakayokuwa mbele yetu.
Suala sio kuweka 'kubeba zege' kwenye CV, suala ni kwamba mtu anapopata udhamini wa BoT anaajiriwa hata kabla haja-graduate. nenda pale BoT kuna watu wanafanya kazi huku wanaandika dissertation! na hata kama hatoajiriwa BoT moja-kwa-moja basi UDSM wanamuajiri katika idara husika! hakuna jinsi yoyote Mwigulu Nchemba akose ajira baada ya udhamini wa BoT kwenye 'masters'! labda aje aeleze sababu za msingi za yeye kubeba zege!Duh hii Kali,hivi ulitarajia Mwigulu aweke pia kazi za kubeba zege ktk CV yake?are you serious?