Mwigulu Nchemba, umelidanganya taifa?

Mwigulu Nchemba, umelidanganya taifa?

kwahiyo wewe unavyokataa kwani wewe ndiyo mzazi wake kwamba unamjua vizuri au ndiyo umbea wa kupinga kila kitu.

Ndugu tumeumba kusikiliza kutafakari na kuhoji tatizo letu tunasikiliza tu na ndio maana tunaburuzwa na akitokea wa kuhoji wengine kama wewe mnatoka mapovu shauri yutu 2015oct.25
 
Kwanza nikupongeze kwa hotuba nzuri uloitoa kizalendo kabisa pale Dodoma, makao makuu ya serikali na chama (kama ulivyojipambanua). Ukasema pia utakapokuwa rais serikali itakuwa tayari imehamia Dodoma, wimbo ulioimbwa miaka zaidi ya 40. Mabadiliko ni Vitendo, Wakati ni Sasa!

Tuyaache hayo, turudi kwenye wasifu wako ulokuwa unasomwa kabla ya wewe kufika kwenye ukumbi wa Mwl. Nyerere. Katika moja ya sifa zako ni utashi na kipaji ulivyokuwa navyo tangu utotoni; kati ya watoto sita kwenye familia yenu, wewe ulikuwa mdogo lakini uliweza kuongoza ndugu zako kwa ustadi kabisa (kwa mujibu wa wazazi wako). Ni kipaji cha kujivunia sana, Masha'Allah! Kiongozi wa hivyo ni hazina kubwa katika taifa.

Kisha, katika wasifu huo, ikaelezwa ulipokuwa sekondari (kidato cha tatu) ulikuwa kiongozi mkuu (tuseme kaka mkuu, au rais wa serikali ya wanafunzi). Bila shaka shule inayosemwa hapa ni Iliboru (kwa mujibu wa wasifu-kazi wako). Ulipata nafasi hiyo baada ya aliyekuwa kaka mkuu kuachia ngazi miezi miwili tu baada ya kuchaguliwa na kupelekea waalimu kukuchagua wewe kuongoza shule. Uliongoza kwa ustadi wa juu sana, ukapendwa pia na wakubwa zako hasa wa kidato cha tano na sita, na baadaye ukatunukiwa cheti cha uongozi bora. Hongera sana!

Ikaelezwa pia ulipohitimu shahada ya kwanza ya Uchumi (BA Economics) ya chuo kikuu cha Dar es Salaam uliongoza kwa kupata alama ya juu kabisa (highest GPA) na kupelekea kupata udhamini wa masomo ya shahada ya uzamili (masters) kutoka BoT. Inafaamika kwamba unapofaulu kwa kiwango cha juu kabisa pale UDSM utapatiwa udhamini wa kuendelea na masomo kutoka BoT, Chuo, au mashirika mengine (nina uzoefu na Idara ya Uchumi). Na ukimaliza 'masters' uhakika wa kazi ni 300%; eidha BoT wakuchukue, kwa kuwa wamekusomesha (hawawezi wakapoteza pesa kukudhamini, halafu umalize ukose ajira), au Wizara ya Fedha, au Chuo (kupitia idara husika) kikuajiri kuwa mkufunzi na baadaye mhadhiri kabisa.

Sasa ndugu yangu Mwigulu Nchemba, kwenye hotuba yako ukasema unajua tatizo la ajira kwa kuwa una uzoefu nalo, eti ulipomaliza 'degree' ya pili ulienda kubeba zege! kheeee, were you serious? au ndiyo kufanya mzaha na vijana wasio na ajira? Eti mkeo akawa mama lishe na wewe ukawa mbeba zege! BoT walikusomesha ya nini? Kwenye wasifu-kazi wako inaonesha mwaka 2006 ulipomaliza 'masters' ulienda BoT na kuwa Mchumi I mpaka 2010 ulipoamua kugombea ubunge. Sasa, hilo suala la kubeba zege limetoka wapi? umewadanganya watazania? Kama ndivyo, uombe radhi basi! Au ufafanue!


Kuna sifa moja ndogo haijatajwa ya huyu jamaa Mwigulu, alipofika kidato cha tano pale Mazengo sekondari wakati kidato cha sita wanafanya mock exams yeye aliomba afanye nao mtihani wa Advanced Maths,alipofanya ule mtihani it was wonderful kijana wa form five E.G.M, MWIGULU NCHEMBA aliongoza kanda ya kati yote katika ule mtihani wa Advanced Maths.Kijana yuko vizuri kichwani
 
maswali ni je alibeba zege?.... Na mkewe akawa mama ntilie.. Na ni mtaa upi huo huyu binti alikuwa ntilie?
alisema dawasco na mwaka husika aliofanya huo upagazi/mama nitilie
 
KWANI KATIMIZA KWELI MIAKA 40 YA KUGOMBEA URAISI???MANAKE AMEZALIWA MWAKA 1978?????:A S-rap:
 
All in all, so far so good he is the best candidate kati ya waliotangaza nia.
 
Sio ukimaliza masomo unaajiriwa papo hapo utakaa kidogo mtaani aidha kusubiri matokeo au taratibu zingine na wakati huo mfadhili hatakuwa anakupa chochote maana tayari umemaliza masomo mfano vyuo vingi humaliza mihula mwezi wa 6 matokeo hutoka mwezi 9 na graduation hufanyika mwezi wa 11 ili angalau mtu apate cheti aweze kuajiriwa hivyo tangu kumaliza mitihani mpaka graduation ni miezi 4 mpaka 5 kwa mtu mwenye familia lazima uchakarike ili mambo yaende sawa.
He exaggerated like all the politicians do!
 
Abebe zege huyu? Angekunya mavi yake! Zege c mchezo kwanza hali lali! Na pia anadhalilisha elimu ya bongo! Hafai kua rais arudi akabebe zege tena!
 
Mwigulu nchemba kwakwel umedhihirisha ya kuwa wewe ni muongo kwa kutoa mifano isuyo hasilia, pili kuongoza familia, shule na kufaulu siyo dalili ya kuwa kiongoz bora huko n sawa na kujitapa kwamba una uwezo wa akili... hatutaki rais anayejitapa
Tatu bhado we n mchanga sana katika siasa miaka mi5 kama mbunge haitosh wewe kujua nch yetu had kufikia lengo la kutangaza nia
Kaa tulia soma ramani ongeza maarifa pinga rushwa kemea itikad mbovu za ccm hapo tutkufikiria kwa mbali lasivyo #Ukawa
 
Kwanza nikupongeze kwa hotuba nzuri uloitoa kizalendo kabisa pale Dodoma, makao makuu ya serikali na chama (kama ulivyojipambanua). Ukasema pia utakapokuwa rais serikali itakuwa tayari imehamia Dodoma, wimbo ulioimbwa miaka zaidi ya 40. Mabadiliko ni Vitendo, Wakati ni Sasa!

Tuyaache hayo, turudi kwenye wasifu wako ulokuwa unasomwa kabla ya wewe kufika kwenye ukumbi wa Mwl. Nyerere. Katika moja ya sifa zako ni utashi na kipaji ulivyokuwa navyo tangu utotoni; kati ya watoto sita kwenye familia yenu, wewe ulikuwa mdogo lakini uliweza kuongoza ndugu zako kwa ustadi kabisa (kwa mujibu wa wazazi wako). Ni kipaji cha kujivunia sana, Masha'Allah! Kiongozi wa hivyo ni hazina kubwa katika taifa.

Kisha, katika wasifu huo, ikaelezwa ulipokuwa sekondari (kidato cha tatu) ulikuwa kiongozi mkuu (tuseme kaka mkuu, au rais wa serikali ya wanafunzi). Bila shaka shule inayosemwa hapa ni Iliboru (kwa mujibu wa wasifu-kazi wako). Ulipata nafasi hiyo baada ya aliyekuwa kaka mkuu kuachia ngazi miezi miwili tu baada ya kuchaguliwa na kupelekea waalimu kukuchagua wewe kuongoza shule. Uliongoza kwa ustadi wa juu sana, ukapendwa pia na wakubwa zako hasa wa kidato cha tano na sita, na baadaye ukatunukiwa cheti cha uongozi bora. Hongera sana!

Ikaelezwa pia ulipohitimu shahada ya kwanza ya Uchumi (BA Economics) ya chuo kikuu cha Dar es Salaam uliongoza kwa kupata alama ya juu kabisa (highest GPA) na kupelekea kupata udhamini wa masomo ya shahada ya uzamili (masters) kutoka BoT. Inafaamika kwamba unapofaulu kwa kiwango cha juu kabisa pale UDSM utapatiwa udhamini wa kuendelea na masomo kutoka BoT, Chuo, au mashirika mengine (nina uzoefu na Idara ya Uchumi). Na ukimaliza 'masters' uhakika wa kazi ni 300%; eidha BoT wakuchukue, kwa kuwa wamekusomesha (hawawezi wakapoteza pesa kukudhamini, halafu umalize ukose ajira), au Wizara ya Fedha, au Chuo (kupitia idara husika) kikuajiri kuwa mkufunzi na baadaye mhadhiri kabisa.

Sasa ndugu yangu Mwigulu Nchemba, kwenye hotuba yako ukasema unajua tatizo la ajira kwa kuwa una uzoefu nalo, eti ulipomaliza 'degree' ya pili ulienda kubeba zege! kheeee, were you serious? au ndiyo kufanya mzaha na vijana wasio na ajira? Eti mkeo akawa mama lishe na wewe ukawa mbeba zege! BoT walikusomesha ya nini? Kwenye wasifu-kazi wako inaonesha mwaka 2006 ulipomaliza 'masters' ulienda BoT na kuwa Mchumi I mpaka 2010 ulipoamua kugombea ubunge. Sasa, hilo suala la kubeba zege limetoka wapi? umewadanganya watazania? Kama ndivyo, uombe radhi basi! Au ufafanue!

Duuuu jamaa unafuatilia Kula neno,huna dogo mkuu?
 
Mkuu. Kumbuka mtu muongo huwa hana kumbukumbu ya kile alichodanganya hata kama ingekuwa ndani ya dakika 10 lazima asahau alichokisema maana ni uongo. Hiyo ni sifa mojawapo ya mtu muongo.

Mwigulu ni tapeli la kisiasa. Amesahau kuwa tunajua alifeli darasa la saba na badala yake akanunua jina la mtu aliyekuwa amefaulu aitwaye Mwigulu.

Ni vizuri mwigulu akaingia na kulitolea ufafanuzi hili jambo,
 
Kawaida unapolipiwa ada iwe Bodi Ya Mikopo au mashirika Ya umma haiwi ni lazima watakuajiri mara tu baada ya masomo yako. Lazima uonje msoto.

Labda kama ulikuwa kazini ukaomba ruhusa ya kwenda masomoni hapo ndio utaenda kuripoti tu.

Kwa tunaomfshamu MWIGULU ni kwamba alipo maliza masomo Ridhwani ndiye alimtoa. Alimkuta anateseka akamwahidi kumtafutia chansi ya kuonana na Baba Ridhwani JK alipomkubalia akamweka kwanza katika chama akisubiri nafasi BOT

Kumbe mwigulu ni mtoto wa ikulu? Inawezekana basi anachokifanya kuna baraka za wakuu wa nchi na inawezekana akatoboa
 
kwahiyo wewe unavyokataa kwani wewe ndiyo mzazi wake kwamba unamjua vizuri au ndiyo umbea wa kupinga kila kitu.

Kama alisoma naye? Mbona kuna watu wamejitokeza na kusema kuwa alifeli darasa la Saba na akanunua cheti? Hadi leo hajakanusha?
 
Kwanza nikupongeze kwa hotuba nzuri uloitoa kizalendo kabisa pale Dodoma, makao makuu ya serikali na chama (kama ulivyojipambanua). Ukasema pia utakapokuwa rais serikali itakuwa tayari imehamia Dodoma, wimbo ulioimbwa miaka zaidi ya 40. Mabadiliko ni Vitendo, Wakati ni Sasa!

Tuyaache hayo, turudi kwenye wasifu wako ulokuwa unasomwa kabla ya wewe kufika kwenye ukumbi wa Mwl. Nyerere. Katika moja ya sifa zako ni utashi na kipaji ulivyokuwa navyo tangu utotoni; kati ya watoto sita kwenye familia yenu, wewe ulikuwa mdogo lakini uliweza kuongoza ndugu zako kwa ustadi kabisa (kwa mujibu wa wazazi wako). Ni kipaji cha kujivunia sana, Masha'Allah! Kiongozi wa hivyo ni hazina kubwa katika taifa.

Kisha, katika wasifu huo, ikaelezwa ulipokuwa sekondari (kidato cha tatu) ulikuwa kiongozi mkuu (tuseme kaka mkuu, au rais wa serikali ya wanafunzi). Bila shaka shule inayosemwa hapa ni Iliboru (kwa mujibu wa wasifu-kazi wako). Ulipata nafasi hiyo baada ya aliyekuwa kaka mkuu kuachia ngazi miezi miwili tu baada ya kuchaguliwa na kupelekea waalimu kukuchagua wewe kuongoza shule. Uliongoza kwa ustadi wa juu sana, ukapendwa pia na wakubwa zako hasa wa kidato cha tano na sita, na baadaye ukatunukiwa cheti cha uongozi bora. Hongera sana!

Ikaelezwa pia ulipohitimu shahada ya kwanza ya Uchumi (BA Economics) ya chuo kikuu cha Dar es Salaam uliongoza kwa kupata alama ya juu kabisa (highest GPA) na kupelekea kupata udhamini wa masomo ya shahada ya uzamili (masters) kutoka BoT. Inafaamika kwamba unapofaulu kwa kiwango cha juu kabisa pale UDSM utapatiwa udhamini wa kuendelea na masomo kutoka BoT, Chuo, au mashirika mengine (nina uzoefu na Idara ya Uchumi). Na ukimaliza 'masters' uhakika wa kazi ni 300%; eidha BoT wakuchukue, kwa kuwa wamekusomesha (hawawezi wakapoteza pesa kukudhamini, halafu umalize ukose ajira), au Wizara ya Fedha, au Chuo (kupitia idara husika) kikuajiri kuwa mkufunzi na baadaye mhadhiri kabisa.

Sasa ndugu yangu Mwigulu Nchemba, kwenye hotuba yako ukasema unajua tatizo la ajira kwa kuwa una uzoefu nalo, eti ulipomaliza 'degree' ya pili ulienda kubeba zege! kheeee, were you serious? au ndiyo kufanya mzaha na vijana wasio na ajira? Eti mkeo akawa mama lishe na wewe ukawa mbeba zege! BoT walikusomesha ya nini? Kwenye wasifu-kazi wako inaonesha mwaka 2006 ulipomaliza 'masters' ulienda BoT na kuwa Mchumi I mpaka 2010 ulipoamua kugombea ubunge. Sasa, hilo suala la kubeba zege limetoka wapi? umewadanganya watazania? Kama ndivyo, uombe radhi basi! Au ufafanue!

Nyie watoto wa mboga saba hamuwezi kuelewa nini maana ya msoto,mtu kusema kabeba zege ndio iwe Nongwa? ingawa mi sio fan wa Nchemba but sioni kitu cha ajabu kwa mtoto wa masikini kupitia jua kali katika maisha!
 
Nyie watoto wa mboga saba hamuwezi kuelewa nini maana ya msoto,mtu kusema kabeba zege ndio iwe Nongwa? ingawa mi sio fan wa Nchemba but sioni kitu cha ajabu kwa mtoto wa masikini kupitia jua kali katika maisha!
hata mimi sioni kitu cha ajabu kwa mtoto wa maskini kupitia msoto. ila kwa kubebe zege baada ya kumaliza masters aliyosomeshwa na BoT, haiingii akilini. hujui kisemwacho ndiyo maana!
 
Nauliza huyo jamaa amefanya mabadiliko gani kwenye lile jimbo lake la majangil?
 
Na cv yake ya kupandikiza chuki kwa upinzani kuteka na kuua nayo ni sifa yake namchukia hyu mtu namchukia ibilisi
 
Na cv yake ya kupandikiza chuki kwa upinzani kuteka na kuua nayo ni sifa yake namchukia hyu mtu namchukia ibilisi

Kwa ufupi mwigulu hakujiandaa kabisa kuingia ktk kinyang' anyiro cha urais,vinginevyo hasinge ingia kwenye mtego wa kutunga ngonjera dhaifu dhidi ya wapinzani.
 
Nauliza huyo jamaa amefanya mabadiliko gani kwenye lile jimbo lake la majangil?

Alichobadili ni kunyoa ndevu tu,mwigulu alitufanyia mambo mabaya sana sisi watu wa upinzani na kwa ajili hiyo hasitegemee kuambulia kura au support kutoka upande wetu.
 
Back
Top Bottom