Mwigulu Nchemba, umelidanganya taifa?

Mwigulu Nchemba, umelidanganya taifa?

Mkuu. Kumbuka mtu muongo huwa hana kumbukumbu ya kile alichodanganya hata kama ingekuwa ndani ya dakika 10 lazima asahau alichokisema maana ni uongo. Hiyo ni sifa mojawapo ya mtu muongo.

Mwigulu ni tapeli la kisiasa. Amesahau kuwa tunajua alifeli darasa la saba na badala yake akanunua jina la mtu aliyekuwa amefaulu aitwaye Mwigulu.
duh! neno jipya, "tapeli la siasa!"
 
Wewe ndo unatakiwa ueleze kama alifanya nini baada ya kumaliza 'Masters'...

Yeye kaeleza anachokiona ni ukweli sasa wewe kama unaona ni uongo ueleze ukweli ukoje....

Sina uhakika kama wewe(kama unafanya kazi) mara tu baada ya kumaliza masomo yako moja kwa moja ulianza kazi pasipo kusubiri mtaani...
Bala!!

Kitambo mkuu wangu kimya sana.
 
Mkuu. Kumbuka mtu muongo huwa hana kumbukumbu ya kile alichodanganya hata kama ingekuwa ndani ya dakika 10 lazima asahau alichokisema maana ni uongo. Hiyo ni sifa mojawapo ya mtu muongo.

Mwigulu ni tapeli la kisiasa. Amesahau kuwa tunajua alifeli darasa la saba na badala yake akanunua jina la mtu aliyekuwa amefaulu aitwaye Mwigulu.

Watanzania (hasa vijana) ni rahisi kudanganyika sana. Uwezo wa kufikiri na uelewa wa vijana wengi wa kitanzania ni mdogo sana ndugu yangu, wala usiangaike. Hakuna taasisi yoyote itakayokufadhili masomo, then unapomaliza ukae mtaani.

(haipo) make mpaka wakupeleke nafasi tayari ipo, na bajeti yake ilishatengwa tayari. (Mimi nina uzoefu huo kwani nimepitia mchakato huo). Hapo alikuwa anawakebehi tu vijana wasio na ajira ili wamuone mwenzao. Lakini kwa akili ndogo tu utajua ni usanii (kama wewe ulivyoliona).
 
Zege mbona unaweza kubeba mda wowote hata ukiwa Rais? Mbona kinana alibeba matofali? Kubeba zege siyo issue unaaamua tu saa yoyote unabeba.
 
Mkuu mbona unatuchanganya? Hasa hasa unachotaka kueleza wana JF ni nini, hapa naona unauma na kupuliza - hivi Lameck as person una bifu nae au?
Mkuu wangu Bukyanagandi.

Inaonekana jamaa ana bifu naye maana kusema alibeba zege ndiyo iwe kosa.
 
Last edited by a moderator:
Watanzania (hasa vijana) ni rahisi kudanganyika sana. Uwezo wa kufikiri na uelewa wa vijana wengi wa kitanzania ni mdogo sana ndugu yangu, wala usiangaike. Hakuna taasisi yoyote itakayokufadhili masomo, then unapomaliza ukae mtaani. (haipo) make mpaka wakupeleke nafasi tayari ipo, na bajeti yake ilishatengwa tayari. (Mimi nina uzoefu huo kwani nimepitia mchakato huo).

Hapo alikuwa anawakebehi tu vijana wasio na ajira ili wamuone mwenzao. Lakini kwa akili ndogo tu utajua ni usanii (kama wewe ulivyoliona).
truth spoken.... I then salute you
 
swali ni je, amebebe zege? na inaonekana alipomaliza 'masters' aliajiriwa BoT moja-kwa-moja!

Kwani alieleze specifically alibeba zege baada ya bachelor au kabla ya kupata bachelor?
 
Zege mbona unaweza kubeba mda wowote hata ukiwa Rais? Mbona kinana alibeba matofali? Kubeba zege siyo issue unaaamua tu saa yoyote unabeba.

Unasimamia nini hapo? What's ua argument
 
Hizo ni mbwembwe tyuu ndo maana wengne wanajiita watoto wa wakulima
 
Wewe ndo unatakiwa ueleze kama alifanya nini baada ya kumaliza 'Masters'...

Yeye kaeleza anachokiona ni ukweli sasa wewe kama unaona ni uongo ueleze ukweli ukoje....

Sina uhakika kama wewe(kama unafanya kazi) mara tu baada ya kumaliza masomo yako moja kwa moja ulianza kazi pasipo kusubiri mtaani...
kwa udhamini alopata kutoka BoT, ajira ni uhakika baada ya kumaliza kusoma.
 
Ukimaliza masomo unaajiriwa papo hapo?
Kwa udhamini wa BoT, unaajiriwa punde baada ya kumaliza. au unabaki idarani kwa ajili ya kufundisha! soma uelewe nilichoandika.
 
Mkuu wangu Bukyanagandi.

Inaonekana jamaa ana bifu naye maana kusema alibeba zege ndiyo iwe kosa.

Vijana wengi wana mihemko ya kisiasa na chuki za kijinga Mwigulu alisema yake ikiwemo kubeba zege hakuna Taasisi ya serikali inayoajiri mtu bila cheti inawezekana alibeba zege akiwa anasubiri matokeo na graduation au kipindi anasubiri mchakato wenyewe wa ajira yote yanawezekana.
 
Last edited by a moderator:
Alidanganya huyo jamaa , hakuwahi kubeba zege baada ya kumaliza masters yake, kama alivyoeleza kwenye hotuba yake, nilimsikiliza kwa makini aliongea mengi mazuri ila hilo la kusema alibeba zege wakati hakubeba limeharibu kwa kiasi fulani hotuba yake nzuri.
 
Labda alibeba zege kwa muda ambao alikuwa akisubiri kuitwa BoT.
Haiko hivyo, nielewe vizuri. ukipata udhamini wa BoT ni kwamba punde unapomaliza unaajiriwa na BoT au UDSM.
 
Kama hiyo ya zege ni uongo basi inawezekana story nzima ni uongo.
 
Binafsi nawaona Mwigulu na Wasira kama "Presidential material" ila kwenye hotuba zao hakuna hata mmoja wao aliyezungumzia ukubwa wa Serikali na wingi wa Taasisi zinazohudumiwa na kodi zetu.

Binafsi ukiacha Elimu na Afya, ningefurahi kusikia Wizara na Taasisi zisizo na huduma ya moja kwa moja aidha zinapunguzwa au kuunganishwa ili sehemue kubwa ya makusanyo ya kodi yaende kwenye miradi ya maendeleo, elimu na afya.
 
Back
Top Bottom