Mwigulu Nchemba, umelidanganya taifa?

Mwigulu Nchemba, umelidanganya taifa?

Huyu jamaa ana asili ya kusema uongo ili kujipigia debe katika kutaka kujiongezea umaarufu. Kumbukeni ile kauli yake baada ya kumbambikia kesi Lwakatare kwamba, "nina ushahidi utakaokubalika mpaka mbinguni" lakini kesi ile ilipigwa chini mahakamani kutokana na kutokuwepo kwa ushahidi wa kina.

Miezi michache iliyopita alidai ameokoa bilioni 40 kwa mwezi za mishahara hewa Serikalini. Akatakiwa hapa jamvini aweke mchanganuo wa majina hayo hewa kwa wizara na kila mkoa ili kuonyesha hayo malipo hewa ya bilioni 40 kwa mwezi, mpaka hii leo ameshindwa kutoa huo mchanganuo. Kwa jinsi alivyo na historia ya kutokuwa mkweli inawezekana kabisa hata hili la kubeba zege au mama ntilie yote hayana ukweli wowote. Hakuna hata picha ya kuthibitisha haya au wabeba zege na mama ntilie ambao wanaweza kuthibitisha kwamba haya yote ni ya ukweli!?
 
hakuna mtu anayesomeshwa kwa udhamini wa BoT pale UDSM akabeba zege. punde tu unapomaliza mitihani, ajira inakusubiri eidha chuo au BoT (hata kabla hujamaliza dissertation, hata kabla ya graduation). aje hapa aeleze mazingira yalomfanya abebe zege!


Kumtafuta mgombea bora ndani ya CCM ni sawa na kutafuta bikira kwenye wodi ya wazazi.
 
Mwigulu ni populist tu.

Atasema lolote lile ili mradi apate kura.

Hilo zege alilolibeba, alilibeba wapi huyo?
 
Kwani kubeba zege ndio sifa ya Kuwait rais? Au kubeba kwake zege kuna manufaa gani kwa Watanzania?
 
Mwigulu ni populist tu.

Atasema lolote lile ili mradi apate kura.

Hilo zege alilolibeba, alilibeba wapi huyo?


kwi kwi kwi kwi kwi....kanikumbusha lile changa la macho la Bi H. Clinton kwamba alikwepa mashambulizi sehemu fulani.....

kwanza huyu Mwigulu alifumaniwa kule Igunga....mzinzi tu huyu....anataka kwenda Ikulu kupeleka uzinzi?....au mmesahahu wandugu?
 
Of course nyinyi mliokulia ktk familia za kifisadi hamuwezi kumwelewa Mwigulu uzoefu aliouzungumzia,ila wale waliokulia ktk familia za kikabwela ndiyo waliomwelewa zaidi.Mwigulu was talking to ordinary Tanzanians, his world view about Tanzanian economic development resonates well with ordinary/middle class tanzanians views.

Watu wengine bwana! Unajua maana ya middle class? Kwa hito ordinary tanzanians qako middle class? Kwanza tanzania kuna kundi la middle class?Jielimize kabla kurumia maneno usiyojua maana yake?
 
kwi kwi kwi kwi kwi....kanikumbusha lile changa la macho la Bi H. Clinton kwamba alikwepa mashambulizi sehemu fulani.....

kwanza huyu Mwigulu alifumaniwa kule Igunga....mzinzi tu huyu....anataka kwenda Ikulu kupeleka uzinzi?....au mmesahahu wandugu?

Bibi anakuambia eti alikwepa sniper fire alipoenda sijui Bosnia kule....

Hahahaaa watu si wakafukua footage bana...hakukuwa na sniper fire wala nini.

Alipokelewa na kupewa shada la maua huku akiwa kazingirwa na secret service.

Hawa wanasiasa wanapenda sana kupata 'street cred'.
 
Watu wengine bwana! Unajua maana ya middle class? Kwa hito ordinary tanzanians qako middle class? Kwanza tanzania kuna kundi la middle class?Jielimize kabla kurumia maneno usiyojua maana yake?

Middle class ni wakulima na wafanyakazi mpuuzi wewe, ndiyo ordinary Tanzanians hao.Usifananishe middle class ya America that is predominantly working class,America is an industrial nation. Tanzania is predominantly agricultural society and partly a working class nation. Got me?
 
Cha msingi Ni kuwa jamaa anajua shida Ya watanzania wasasa na inamkera anania yakutatua shida zao ...!
Sipotezi muda wakufikiri Majizi sugu..!
 
Mkuu. Kumbuka mtu muongo huwa hana kumbukumbu ya kile alichodanganya hata kama ingekuwa ndani ya dakika 10 lazima asahau alichokisema maana ni uongo. Hiyo ni sifa mojawapo ya mtu muongo.

Mwigulu ni tapeli la kisiasa. Amesahau kuwa tunajua alifeli darasa la saba na badala yake akanunua jina la mtu aliyekuwa amefaulu aitwaye Mwigulu.

Duuuh sasa mbona tunaambiwa katokea familia duni, alipata wapi hiyo hela ya kununulia jina, kumbe ukinunua jina la mtu na wewe unakuwa na akili kama yeye?nielekeze wapi wanauza majina na mimi nikanunue la bill gates nianze kuifanya tanzania nchi ya asali na maziwa!
 
Mwiguru ni gaidi kama akina Osama na nimuongo tu kwa kawaida na mwaka aliomaliza masters yake kiukwel watz walivyo mabishoo hasa yy hawez beba zege labda kwa miaka hii lkn Mwiguru aliwadanganya Watanzania ili wamuurumie wampe kura lkn Mwiguru ni gaidi
 
Japokuwa nilimwelewa katika hotuba yake lakini kwenye hili kuna chembe ya uongo ndani yake labda alikuwa katika hali ya kukoleza ili aonekane alipitia msoto kiasi fulani, lakini hata katika hali ya kawaida alama za nyakati zinakataa kwa miaka hiyo kupata kazi hata ya kujishikiza tofauti na vibarua vya zege ilikuwa rahisi, Labda kama alibeba hiyo zege kwenye ujenzi wa nyumba yake lakini siyo kwingineko kwa lengo la kujipatia kipato.
 
Mwiguru ni gaidi kama akina Osama na nimuongo tu kwa kawaida na mwaka aliomaliza masters yake kiukwel watz walivyo mabishoo hasa yy hawez beba zege labda kwa miaka hii lkn Mwiguru aliwadanganya Watanzania ili wamuurumie wampe kura lkn Mwiguru ni gaidi

Badala ya kukaa na kumshambulia Mwigulu,naomba UKAWA wakae watengeneze ilani yao kwa makini sana.Nionavyo hapa,Mwigulu ndiyo mtu wa kumwangalia kwa umakini mkubwa. Ni aidha yeye au Makongoro.Akipita Mwigulu,UKAWA itabidi wajiandae hasa,jamaa yuko vizuri sana kichwani.Na jambo zuri zaidi ni kwamba anaiongea lugha ya makabwela vizuri sana.
 
Back
Top Bottom