babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,113
- 16,024
Huyo mtu janja janja nyingi tu,hata ukiangalia hotuba zake tu ni mtu ambaye anaongea uwongo uwongo tu na mishavu yake km vile anatusanifu tu.
Hakuna kosa kubwa kumpa mtu km huyu wizara nyeti hiyo.
Na kuna yule mwingine kule nishati,kuna mwingine na helkopta yaani ni kupigwa bakora tu.
Hakuna kosa kubwa kumpa mtu km huyu wizara nyeti hiyo.
Na kuna yule mwingine kule nishati,kuna mwingine na helkopta yaani ni kupigwa bakora tu.