The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,138
Mkuu isijekuwa tunajilisha upepo humu kumbe sukuma gang kaleta uzushi..Mbona Lot 6 ipo kwenye manunuzi bado kwa mujibu wa Masanja Kadogosa wewe unavyosema mwigulu kaipa tenda CCEC lini,au umeamua kumchafua tuu waziri? Maana wakati wa uwekaji jiwe la msingi kipande cha Makutupola to Tabora vilizungumziwa vipande vilivyobaki hasa cha Tabora to Isaka.Hautajisikia mahali popote kuwa CCEC imepewa kazi ya kujenga Tabora to Kigoma mkuu.
Huyo mtoa mada ana malengo Gani ikiwa Mkandarasi wa lot 6 hajapatikana ila amekuja kumchafua Mwigulu humu?
Nadhani hapa bila shaka kuna msuguano huko ndani.