Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,022
Report ya CAG iliyojaa maugoro ni kipindi cha Magufuli.kuna kipindi mnavyolalamika na haya malalamiko yenu ndio maana wengine tunasema yule Mwamba JPM alikuwa anafaa sana...
nchi hii ili mambo yaende yanahitaji, ubabe, ukatili na unyama wa hali ya juu...kifupi kuna watu wanapaswa kufa na makaburi yao yasionekane kabisa, wengine wanapaswa kukaa kwenye jela zenye mateso makali...
Mwisho kabisa, HAKUNA DEMOKRASIA KWA MPUMBAVU, vinginevyo mtalalamika sana..
Wajane mtupishe nendeni mkalie huko kaburini.