Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,022
Tuchukue hatua gani wakati korona imeshuhulika na juha huyu?Taifa la Tanzania na wewe ukiwemo mmeongozwa na juha kwa miaka 6 na mmeshindwa kuchukua hatua yeyote basi inawezekana wote tukawa majuha plus na tunahitaji kuongozwa na juha zaidi ya marehemu maana ndio level yetu..