Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
mwizi wa majina ya watuuuuuuuuu
injinia wa kukariri madarasa!!"'''''''''
injinia wa kukariri madarasa!!"'''''''''
Mmmmmmmmh!!!!!!! Mna mzungumzia Yule mzinzi aliyekamatwa Igunga?
Vaa uzalendo!
Huoni anafanya nini?
Naomba kuwauliza wadau wa Jf, kwa anayemfahamu vizuri mbunge wa Iramba Magharibi na mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM na aliyekuwa Meneja wa kampeni za mgombea ubunge jimbo la Arumerumeru mashariki (Ndg Sioi Sumari) kupitia CCM Mh: Mwigulu Nchemba,.
Kuanzia nimemfahamu mbunge huyu kila nimuonapo huwa anapenda kujifunga kitambaa chenye nembo ya taifa shingoni mwake, huwa hakitoi kile kitambaa chenye nembo ya taifa shingoni mwake,'.
Swali ni je' huo ni uzalendo na nchi yake?? au anapenda tu kutoka kihivyo?? au ndivyo alivyoagizwa afanye na wataalamu wake ili asiterereke kisiasa?? au kuna kitu anaficha kwenye shingo yake???
Naomba majibu kwenu maana nimetafakari nikakosa jibu sahihi.
Mkuu do you have a problem with that?...............au ndio wale watu wanachikia tu kila kitu kinachofanywa na mpinzani wakoNaomba kuwauliza wadau wa Jf, kwa anayemfahamu vizuri mbunge wa Iramba Magharibi na mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM na aliyekuwa Meneja wa kampeni za mgombea ubunge jimbo la Arumerumeru mashariki (Ndg Sioi Sumari) kupitia CCM Mh: Mwigulu Nchemba,.
Kuanzia nimemfahamu mbunge huyu kila nimuonapo huwa anapenda kujifunga kitambaa chenye nembo ya taifa shingoni mwake, huwa hakitoi kile kitambaa chenye nembo ya taifa shingoni mwake,'.
Swali ni je' huo ni uzalendo na nchi yake?? au anapenda tu kutoka kihivyo?? au ndivyo alivyoagizwa afanye na wataalamu wake ili asiterereke kisiasa?? au kuna kitu anaficha kwenye shingo yake???
Naomba majibu kwenu maana nimetafakari nikakosa jibu sahihi.
Mkuu do you have a problem with that?...............au ndio wale watu wanachikia tu kila kitu kinachofanywa na mpinzani wako
bendera ni nyara ya serikali. Anakosea na adhabu yake ni kifungo kisichozidi miaka 20
Nchemba kama walivyo wana-CCM wengi wanajiona wakuu juu ya sheria. Matumizi ya alama/nembo za taifa including bendera ya Taifa yameelezwa. Na hata bungeni lilishaulizwa swali kuhusu tabia ya Nchemba kuvaa kitambaa chenye rangi za bendera ya Taifa, na Mh Lissu alisimama na kueleza kufungu cha sheria na hivyo Naibu Spika alimtaka Nchemba kuvua.
Lakini kwa sababu anazojua yeye mwenyewe Nchema ameona he is above the law, pengine hii tabia ya kulamba miguu akifikiri kuwa kuvaa bendera kunamfanya yeye aonekane mzalendo zaidi! Amekuwa BOT kipindi taasisi hiyo inabiwa mchana kweupe, uzalendo wake ulikuwa wapi? Bungeni ametoa hoja gani ya maana inayoonesha kuwa kweli ni mzalendo beyond mavazi?
Nikiwa bado kwenye bendera, ningependa kujua ni kwanini bunge/wabunge (wote) wameona ni sahihi kutumia rangi za bendera ya Taifa kwenye zulia (carpet)? Wabunge wanakanyaga bendera ya taifa kila siku na miguu yao iliyojaa rushwa! Wabunge wapo juu ya sheria? Sijamsikia mbunge yoyote akilisemea hili bungeni na naona kama tumepoteza mwelekeo maana sasa bendera inageuzwa kuwa zulia!
Kwa kuwa ni mwenzetu humu jamvini, naamini atatinga kutoa maelezo kwa kina.
hapo mwenyekiti wangu anasema, peoples!
bendera ni nyara ya serikali. Anakosea na adhabu yake ni kifungo kisichozidi miaka 20
Nchi yenye sheria legelege utaijua tu!Nchemba kama walivyo wana-CCM wengi wanajiona wakuu juu ya sheria. Matumizi ya alama/nembo za taifa including bendera ya Taifa yameelezwa. Na hata bungeni lilishaulizwa swali kuhusu tabia ya Nchemba kuvaa kitambaa chenye rangi za bendera ya Taifa, na Mh Lissu alisimama na kueleza kufungu cha sheria na hivyo Naibu Spika alimtaka Nchemba kuvua.