Alfred Daud Pigangoma
JF-Expert Member
- Mar 30, 2009
- 1,826
- 966
Katika hali isiyo ya kawaida katika kesi ya kupinga matokeo katika jimbo la Igunga ambapo Mbunge P. Kafumu alipita kwa njia za panya huku mpiga debe wake akiwa ni Mwigulu Nchemba amepelekea wanachama wa CHADEMA kufungua kesi ya kupinga ushindi huo wakiongozwa na Mwl. J. Kasindye ambaye alikuwa mgombea kwa tiketi ya CHADEMA.
Katika mahakama ya mjini Nzega ambapo kesi hiyo inasikilizwa, jana kuliibuka kizaa zaa baada ya Sugar-Dady kuitwa kutoa ushahidi wake na kuanza kujibizana na wakili wa mlalamikaji ambaye ni Prof. Safari na hatimae Mwigulu akaanza kuongea chake ndipo Prof. Safari akamwambia "Kama huwezi kuongea kiingereza chagua moja kati ya kukaa kimya au kuongea kiswahili kwani mimi nikiongea kiingereza hapa huwezi kuendelea kwani wewe si mwanasheria hivyo kiingereza cha kisheria hukijui"
Kesi hii inaendelea kwa mfululizo katika mahakama ya mjini Nzega....
Katika mahakama ya mjini Nzega ambapo kesi hiyo inasikilizwa, jana kuliibuka kizaa zaa baada ya Sugar-Dady kuitwa kutoa ushahidi wake na kuanza kujibizana na wakili wa mlalamikaji ambaye ni Prof. Safari na hatimae Mwigulu akaanza kuongea chake ndipo Prof. Safari akamwambia "Kama huwezi kuongea kiingereza chagua moja kati ya kukaa kimya au kuongea kiswahili kwani mimi nikiongea kiingereza hapa huwezi kuendelea kwani wewe si mwanasheria hivyo kiingereza cha kisheria hukijui"
Kesi hii inaendelea kwa mfululizo katika mahakama ya mjini Nzega....