Mwigulu Nchemba: CHADEMA itakufa 2015

Mwigulu Nchemba: CHADEMA itakufa 2015

kwa kweli hawa jamaa ni malaghai tumewastukia.sasa mwisho wao umefika
huku nilipo ukitaja slaa au mbowe unaweza kupigwa.

Labda nikusahihishe tu, kwamba kamati kuu ya Chadema@cc ndio yenye dhamana ya kuchagua viongozi wakuu katika chama.
 
Yanayoendelea CHADEMA na CCM ni yale yale , huku Zitto na Lema, kule Kingwangallah na Anna Makinda na Deo Filikunjombe pia inamhusisha Kangi Lugola. Kwa mtu anayeijua siasa vizuri haya mambo ni ya kawaida sana, yanatokea ni kwa sababu ya wakati muafaka kuelekea 2014 na 2015

Sio busara kuhukumu kwa haya yanayotokea bali kwa muelevu ni kukaa na kutulia kufuatilia kwa makini kiongozi sahihi ni yupi kati ya hao watu

Sikubaliani na suala la kuitana na kuyamaliza mambo kisirisiri, ni vyema mambo yakawa wazi kama hivi tunavyo yaona , kutatua mambo kisirisiri huo nao ni unafiki mkubwa
Wazazi kugombana mbele ya watoto sio vyema
 
Hivi jamani mpango wa kumpeleka CHRIS LUKOSI pale MILEMBE HOSPITAL kwenye mtibabu haujakamilika tu maana hali yake ya ugonjwa wa kichaa inazidi kuwa Mbaya zaidi...
Fanyeni mpango haraka akatibiwe jamani..
 
Nikweli chenye mwanzo ,huwa na mwisho lakini mwisho wa ccm uko karibu kuliko cdm, ccm ndo itakufa kabla ya cdm.
 
Chrislukoz. Mbona unapiga kelele saana ukimwandama Dr Slaa?? Bila shaka una hisa ndani ya CCM au Unalipwa ili ukwamishe Ukombozi wa Mtanzania! Huna hata aibu??
 
Last edited by a moderator:
This man Lukosi is feasting on CCM funds abroad, the moment CCM falls, its finished!!
 
Kuna ishara za wazi kabisa kuwa hukitambui vema unachokizungumza. Katiba ya chama iko wazi kabisa juu ya lini uchaguzi unapaswa kufanyika. Chama hakiwezi kufuata maoni ya misukule mnaokesha kukibomoa, chama kinaendeshwa kwa katiba. Katiba hii anayo pia msajili wa vyama vya siasa, na anatarajia chama kifuate taratibu zake ili kutembea ndani ya legal terms. Wanachama wana imani tele na viongozi wao na hawategemei kubadilishwa kifikra na misukule.

Juu ya Auditing, hilo si jipya kama unavyotaka kutuaminisha. Chama kinafahamu umuhimu wa auditing kwa ustawi wake na zaidi sana kwa ustawi wa taifa. Hesabu zote daima ziko wazi na ndio maana hata katika chaguzi, CHADEMA kimeendea kuwa wazi juu ya mapato na matumizi yake. Hili limekuja wakati muafaka kabisa, na baada ya ukaguzi, nadhani utakuwa wa kwanza kutuletea report safi, not because of cooking like what Chama Cha Mapinduzi always does, but because we are worthy it...
Haya huu ubishi wako bado unao tu au umeishabadilika?
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo ndani ya chadema kuna mgawanyiko wa kutosha na tayari tuna team tatu ambazo zimejigawa kikanda., Hii ni moja ya dalili kuwa Chadema itasambaratika mapema kuliko wengi tulivyofikiri

Sababu kuu ya kusema haya ni hili suala la mahesabu na uchaguzi ndani ya Chadema

Tayari tunajua kuwa Chadema wameingia kambini kuchakachua mahesabu ili wayawakilishe kwenye kamati ya bunge ya mahesabu huku yule aliyewaitisha mahesabu haya akiwa tayari ana data zote za haya mahesabu hivyo hata wakichakachua vipi wataishia kuumbuka tu.

Suala la uchaguzi litaibuka upya soon kwani vijana tayari wameishaanza kuwashitukia viongozi waliopo kuwa ni matapeli.

Nawashauri makamanda wasikubali kufanywa misukule na kudanganywa kitoto bali wasimame na kudai uchaguzi ili wachague viongozi wanaowataka.

TUSUBIRI MHESHIMIWA JEMBE ARUDI KUTOKA SAFARI ......

JITAMBUE

Hapo ulipoanza tu, "Ndugu zanguni"
Ndugu zako ni akina nani???
"Tayari tuna timu tatu"
Wewe na nani mna timu tatu??
 
Hivi nyinyi maCCM ndiyo mmechukua mikoba ya Sheikh Yahya?

Wenzako akina Wasira,Nape na Mwigulu walishatoa utabiri huo kuwa Chadema itakufa very soon,na badala yake CDM ndiyo inazidi kupaa na badala yake Chama cha Magamba,kutokana na kuweweseka kwake ndiyo imekaribia sana kuRIP!
Aisee punguza viroba..,maana hii akili sio yako ni viroba tu.,achaa.
 
Leo nimekumbuka kauli ya Jk kuwa vyama vya upinzani ni vyama vya msimu.

Wale tuliokuwa tunategemea ukombozi kupitia CHADEMA tujue "imekula kwetu".

Tumesema na kuonya kuhusu viongozi kulumbana hadharani lakini ni wazi hakuna lililofanyika.

Viongozi wa chama wanaona ila kwa maslahi yao wamekaa kimya!

Alafu hii fukuza fukuza mbona imeshika kasi sana na hutokea pale mwenyekiti wa chama anapokuwepo??!!

Ina maana viongozi hawaoni hatari iliyo mbele kwa chama chetu?

Kama wanaona mbona hawachukui hatua na kwa kuwa hawachukui hatua ni kwa faifa ya nani??!!

Hivi kweli tatizo ni posho tu au kuna agenda ya siri??!!

Joshua Nassari nae kajiunga kwenye hii issuen ili kuleta picha gani na kwa faida ya nani?

Hakika nawaambia CHADEMA imeshakufa "kiroho" ila "kimwili" tuko nayo hivyo tusubiri mazishi siku si nyingi.

Nawatuhumu hawa kwa kuua chama nao ni

1.Mbowe

2.Dr.Slaa

3.Zitto.

Hao wengine wanatumka tu!
 
Leo nimekumbuka kauli ya Jk kuwa vyama vya upinzani ni vyama vya msimu.

Wale tuliokuwa tunategemea ukombozi kupitia CHADEMA tujue "imekula kwetu".

Tumesema na kuonya kuhusu viongozi kulumbana hadharani lakini ni wazi hakuna lililofanyika.

Viongozi wa chama wanaona ila kwa maslahi yao wamekaa kimya?

Alafu hii fukuza fukuza mbona imeshika kasi sana na hutokea pale mwenyekiti wa chama anapokuwepo??!!

Ina maana viongozi hawaoni hatari iliyo mbele kwa chama chetu?

Kama wanaona mbona hawachukui hatua na kwa kuwa hawachukui hatua ni kwa faifa ya nani??!!

Hivi kweli tatizo ni posho tu au kuna agenda ya siri??!!

Joshua Nassari nae katumwa na nani?!

Hakika nawaambia CHADEMA imeshakufa kiroho ila kimwili tuko nayo hivyo tusubiri mazishi siku si nyingi.

Nawatuhumu hawa kwa kuua chama nao ni

1.Mbowe

2.Dr.Slaa

3.Zitto.

Hao wengine wanatumka tu!

Hiyo namba 3 imesemwa sana na hasa mahusiano yake ya siri na mahasimu wa Chadema pia kutokufanya kazi za pamoja na wenzie. Lakini mmm! Kama vile ni kiziwi. Nadhani ana jambo sio bure
 
Mambo mengine pasua kichwa ila Lema na nasari wao ni wajumbe tu wa kufikisha ujumbe wa wazee kwa zitto lakini kila mtu anadhambi hakuna aliyemsafi.

Wameandaa mpango wa kumtosa zitto ila nasema tena hawataweza kumwathiri zito bila kuithiri chadema mungu tupe uzima.
 
Wewe sio chadema. .utakuwa n magamba. Thread yako imekaa kimipasho zaidi..haya wahi lumumba asubuhi ukavute buku saba zako.
 
Keep on dreaming! Ukienda vijijini na mijini na ukawauliza watu wa kipato cha chini - na ndio wengi na wala hajui kuwa kuna JF - wanajua umaskini walio nao. Na hadi hapa tulipofika wanajua na watakumbuka nani aliewafikisha hapo walipo na nani kawafumbua macho!
 
Usihofu mkuu chama bado ni imara,hatavikombe vilivyo kabatini hugongana lakini kabati haivunjiki, watakuwa wamesha jifunza kutokana na makosa. Hata karl max alisema maendeleo huletwa na migogoro.
 
Mambo mengine pasua kichwa ila Lema na nasari wao ni wajumbe tu wa kufikisha ujumbe wa wazee kwa zitto lakini kila mtu anadhambi hakuna aliyemsafi.

Wameandaa mpango wa kumtosa zitto ila nasema tena hawataweza kumwathiri zito bila kuithiri chadema mungu tupe uzima.

Wewe si magamba. ..mbona ishu ya upinzani inakuuma sana.povu jiingi na machozi juu...chadema haitakufa..mtangoja sanaaa.
 
Bangi 2pu!!!!... Akiguswa Zitto Ma-CCM ooh CDM inakufa!!! Unafiki M2pu!
 
Hivi jeneza la chama kama cdm linakuwa na ukubwa kiasi gani. Usinishangae mkuu ni katika udadisi tu. Vilevile kukusaidia mawazo wakati mnajiandaa na mazishi uliyo ya tabiri ndg SL
 
Back
Top Bottom