Mwigulu Nchemba: CHADEMA itakufa 2015

Mwigulu Nchemba: CHADEMA itakufa 2015

Huyu lukosi nadhani ni shoge. Anawaza kishoge shoge, anaishi kwa ushoge huko aliko ukija tz huna soko maana wazungu walishaharibu kila kitu kuanzia miguuni mpaka kichwani.
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo ndani ya chadema kuna mgawanyiko wa kutosha na tayari tuna team tatu ambazo zimejigawa kikanda., Hii ni moja ya dalili kuwa Chadema itasambaratika mapema kuliko wengi tulivyofikiri

Sababu kuu ya kusema haya ni hili suala la mahesabu na uchaguzi ndani ya Chadema

Tayari tunajua kuwa Chadema wameingia kambini kuchakachua mahesabu ili wayawakilishe kwenye kamati ya bunge ya mahesabu huku yule aliyewaitisha mahesabu haya akiwa tayari ana data zote za haya mahesabu hivyo hata wakichakachua vipi wataishia kuumbuka tu.

Suala la uchaguzi litaibuka upya soon kwani vijana tayari wameishaanza kuwashitukia viongozi waliopo kuwa ni matapeli.

Nawashauri makamanda wasikubali kufanywa misukule na kudanganywa kitoto bali wasimame na kudai uchaguzi ili wachague viongozi wanaowataka.

TUSUBIRI MHESHIMIWA JEMBE ARUDI KUTOKA SAFARI ......

JITAMBUE

kwa kweli hawa jamaa ni malaghai tumewastukia.sasa mwisho wao umefika
huku nilipo ukitaja slaa au mbowe unaweza kupigwa.
 
"Ukiona mwanasiasa Wa upinzani anasifiwa na Ccm ujue anaelekea kufa kisiasa" Dr KITILA MKUMBO refer ngoja Jembe arudi safari
 
Natoa tahadhari tena, kichaa akikupiga jiwe kisha wewe (kama una akili timamu) ukamrudishia anayewatazama atashindwa kutofautisha kichaa/mwendawazimu ni nani na mwenye akili timamu ni nani. Lukosi ni mgonjwa sasa akileta upuuzi wenye akili zenu mnahangaika nao kujibu wa nini? Ndiyo maana kuna viewers zaidi ya 650 uzi huu lakini wenye busara zao wanaangalia na kuupotezea. Kuna signature ya mtu mmoja humu ndani nayo inasema "Kuwa na bahati haifanyi mwendawazimu kuwa na busara", wengine wako Ulaya tu kama bahati lakini si kwa busara zao, chungeni sana mnaohangaika na Lukosi. Uharo huo anaozungumza walishasema kina Mwigulu/Wasira wenye chama waliokuwa na mikakati ya maana lakini wameshindwa sembuse huyo mfia tumbo
 
Chris Lukozi, una maslahi gani na hili chama la wezi CCM??? Washauri warudishe fedha zetu za Uswiss basi ili tukuelewe!!
 
Last edited by a moderator:
Kama tungekuwa na mashine za kupima kiwango cha ubongo...basi kiwango chaki kipo karibu sana na kiwango cha ubongo wa panya. Na usijeshangaa kuwa panya wamekushinda uelewa.
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo ndani ya chadema kuna mgawanyiko wa kutosha na tayari tuna team tatu ambazo zimejigawa kikanda., Hii ni moja ya dalili kuwa Chadema itasambaratika mapema kuliko wengi tulivyofikiri

Sababu kuu ya kusema haya ni hili suala la mahesabu na uchaguzi ndani ya Chadema

Tayari tunajua kuwa Chadema wameingia kambini kuchakachua mahesabu ili wayawakilishe kwenye kamati ya bunge ya mahesabu huku yule aliyewaitisha mahesabu haya akiwa tayari ana data zote za haya mahesabu hivyo hata wakichakachua vipi wataishia kuumbuka tu.

Suala la uchaguzi litaibuka upya soon kwani vijana tayari wameishaanza kuwashitukia viongozi waliopo kuwa ni matapeli.

Nawashauri makamanda wasikubali kufanywa misukule na kudanganywa kitoto bali wasimame na kudai uchaguzi ili wachague viongozi wanaowataka.

TUSUBIRI MHESHIMIWA JEMBE ARUDI KUTOKA SAFARI ......

JITAMBUE

Unanikumbusha ile hadithi ya sungura na ndizi mbivu. Baada ya kuzikosa alisema...."Sizitaki, mbichi hizi"
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo ndani ya chadema kuna mgawanyiko wa kutosha na tayari tuna team tatu ambazo zimejigawa kikanda., Hii ni moja ya dalili kuwa Chadema itasambaratika mapema kuliko wengi tulivyofikiri

Sababu kuu ya kusema haya ni hili suala la mahesabu na uchaguzi ndani ya Chadema

Tayari tunajua kuwa Chadema wameingia kambini kuchakachua mahesabu ili wayawakilishe kwenye kamati ya bunge ya mahesabu huku yule aliyewaitisha mahesabu haya akiwa tayari ana data zote za haya mahesabu hivyo hata wakichakachua vipi wataishia kuumbuka tu.

Suala la uchaguzi litaibuka upya soon kwani vijana tayari wameishaanza kuwashitukia viongozi waliopo kuwa ni matapeli.

Nawashauri makamanda wasikubali kufanywa misukule na kudanganywa kitoto bali wasimame na kudai uchaguzi ili wachague viongozi wanaowataka.

TUSUBIRI MHESHIMIWA JEMBE ARUDI KUTOKA SAFARI ......

JITAMBUE

CHADEMA ni Fupa lililomshinda SABODO, nani ataliweza? Sabodo kama mdhamini mkuu mzalendo wa CHADEMA amesitisha kuchangia chama hicho baada ya kuona hela zinatafunwa tu na hakuna chochote cha maana, wala dalili ya CHADEMA kushinda uchaguzi.
 
Tatizo ni huyo mnayemuona mtakatifu Slaa wa karatu

Hivi wewe kweli na akili zako unakenda kuchangia mafuta ya chopa wakati hata baiskeli huna?

Hawa jamaa wanawachuna bila huruma lakini kwa sababu mko kwenye msukule mode inakuwa ni vigumu sana kushtuka, lakini naamini iko siku mtajitambua tu

Mbona unaweweseka sana? au mwezi umeandama? tunaochanga ni sisi sasa wewe unawashwa nini? kachukue buk 7 zako tu maana maisha hayo ya kitumwa ndio uliochagua.
 
CHADEMA ni Fupa lililomshinda SABODO, nani ataliweza? Sabodo kama mdhamini mkuu mzalendo wa CHADEMA amesitisha kuchangia chama hicho baada ya kuona hela zinatafunwa tu na hakuna chochote cha maana, wala dalili ya CHADEMA kushinda uchaguzi.

Unapoteza muda tu na siasa zenu uchwara hapa jf,cdm tupo field juzi tulikuwa magu na nyanguge tukitoa elimu ya uraia tukiwa na makamanda PAMBA na GWAKISA wakati nyie mmejificha nyuma ya key board
 
CCM ni genge la wahuni,watu kama nyie wakina lukosi amna tofauti na FROLA LYIMO na Mange NDIO WABUNGE WATARAJIWA WA ccm ,sasa kama mtu mzima kama wewe unaongea pumba bila kuwa na hoja ni kuulize hivi magamba yaliishia wapi?mliwapa siku 90 vipi azijafika tu?mtasubili sana kuona CHADEMA inasambaratika kauzenu madawa ya kulevya kama kiongozi wenu RITZ1 na baba yake Jakaya
 
kama kweli nyie wana ccm mnaujua ukweli tuambieni pesa za uchaguzi huwa zinatoka wapi?za kugharamia kampeni kama si wahindi wakina patel wale wanaohusika na EPA na kuuza madawa ya kulevya nchini?semeni ukweli vijana wa BAVICHA
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo ndani ya chadema kuna mgawanyiko wa kutosha na tayari tuna team tatu ambazo zimejigawa kikanda., Hii ni moja ya dalili kuwa Chadema itasambaratika mapema kuliko wengi tulivyofikiri

Sababu kuu ya kusema haya ni hili suala la mahesabu na uchaguzi ndani ya Chadema

Tayari tunajua kuwa Chadema wameingia kambini kuchakachua mahesabu ili wayawakilishe kwenye kamati ya bunge ya mahesabu huku yule aliyewaitisha mahesabu haya akiwa tayari ana data zote za haya mahesabu hivyo hata wakichakachua vipi wataishia kuumbuka tu.

Suala la uchaguzi litaibuka upya soon kwani vijana tayari wameishaanza kuwashitukia viongozi waliopo kuwa ni matapeli.

Nawashauri makamanda wasikubali kufanywa misukule na kudanganywa kitoto bali wasimame na kudai uchaguzi ili wachague viongozi wanaowataka.

TUSUBIRI MHESHIMIWA JEMBE ARUDI KUTOKA SAFARI ......

JITAMBUE

Kumbe na wewe upo chadema? huyo jembe ni nani yako?
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo ndani ya chadema kuna mgawanyiko wa kutosha na tayari tuna team tatu ambazo zimejigawa kikanda., Hii ni moja ya dalili kuwa Chadema itasambaratika mapema kuliko wengi tulivyofikiri

JITAMBUE

Chris,

Nina maswali matatu, tafadhali.

1. Ungependa kuona CHADEMA inasambaratika?

2. Unaamini Tanzania au Watanzania watafadika kama CHADEMA itasambaratika?

3. Ungependa kuona vyama vya upinzani Tanzania vinakufa na kukiacha ccm?

Majibu yako yanaweza kusaidia sana mijadala hapa.
 
Lukosi huna jipya.
Umedandia treni kwa mbele.
Kwenye red sbb zako ni dhaifu sana.
Huo uchaguzi wa ccm nao utaitwa uchaguzi?
Mtu na kivulu?
Kama hujajua ccm ndio inayotafutwa kwann haipeleki mahesabu yake huku ndio waliotunga sheria ya matumizi ya vyama kwa mbwembwe.
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo ndani ya chadema kuna mgawanyiko wa kutosha na tayari tuna team tatu ambazo zimejigawa kikanda., Hii ni moja ya dalili kuwa Chadema itasambaratika mapema kuliko wengi tulivyofikiri

Sababu kuu ya kusema haya ni hili suala la mahesabu na uchaguzi ndani ya Chadema

Tayari tunajua kuwa Chadema wameingia kambini kuchakachua mahesabu ili wayawakilishe kwenye kamati ya bunge ya mahesabu huku yule aliyewaitisha mahesabu haya akiwa tayari ana data zote za haya mahesabu hivyo hata wakichakachua vipi wataishia kuumbuka tu.

Suala la uchaguzi litaibuka upya soon kwani vijana tayari wameishaanza kuwashitukia viongozi waliopo kuwa ni matapeli.

Nawashauri makamanda wasikubali kufanywa misukule na kudanganywa kitoto bali wasimame na kudai uchaguzi ili wachague viongozi wanaowataka.

TUSUBIRI MHESHIMIWA JEMBE ARUDI KUTOKA SAFARI ......

JITAMBUE
 
Lukosi naona unayasema ya Wasira! Mlikuwa naye kijiweni nini? Wassira alisema CDM itakufa kabla ya 2015 na wewe unaimba wimbo huo huo!
Hivi ndugu, kama uliamua kuondoka CDM nini bado kinakusmbua? Au dhamira ndio inakusumbua? Kama wewe ni mzalendo kamwe huwezi hama CDM ukaenda CMM, bora ungeingia chama kingine au ukabaki bila chama. Vijana walafi mnatukera sana, harufu mbaya iliopo CCM ninyi haiwasumbui kabisa! Ati wewe naye ni kijana wa kitanzania! Haya bwana....
 
Tatizo ni huyo mnayemuona mtakatifu Slaa wa karatu

Hivi wewe kweli na akili zako unakenda kuchangia mafuta ya chopa wakati hata baiskeli huna?

Hawa jamaa wanawachuna bila huruma lakini kwa sababu mko kwenye msukule mode inakuwa ni vigumu sana kushtuka, lakini naamini iko siku mtajitambua tu

wewe unaongelea chopa?,Enzi za uhai wa CCM watu walikuwa wanachangishwa pesa kwa ajili ya mwenge kwa lazima, waliokuwa wakigoma kulipa walikuwa wakiswekwa rumande na kuchukuliwa kuku,mbuzi au ng'ombe wao kuuzwa kwa lazima ili wapate pesa ya kuchangia mwenge.Nje na mwenge pia palikuwepo na kodi ya kichwa, hii imewaacha watu wengine wakiwa na ulemavu wa kudumu. Leo wewe unaongelea mchango wa mafuta ya chopa ambao mtu halazimishwi ila anatoa kwa hiari yake bila shuruti wala kiwango maarumu cha kutoa?.
 
Back
Top Bottom