Mambo mengine pasua kichwa ila Lema na nasari wao ni wajumbe tu wa kufikisha ujumbe wa wazee kwa zitto lakini kila mtu anadhambi hakuna aliyemsafi.
Wameandaa mpango wa kumtosa zitto ila nasema tena hawataweza kumwathiri zito bila kuithiri chadema mungu tupe uzima.
Kweli simiyuyetu chadema imekwisha
Last edited by a moderator: