Jay Msimamo
Member
- Jul 11, 2013
- 92
- 17
Watasambaratika Wa2 Lakn Sio CHADEMA Bhna!
People is Power (y)
People is Power (y)
CHADEMA ni matapeli wa kisasa.Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai...
Chadema ni matapeli wa kisasa.
Nawasifu kwa kutumia matatizo ya wananchi kama mtaji, na wanavuna mihela kweli!
Tatizo ni huyo mnayemuona mtakatifu Slaa wa karatu
Hivi wewe kweli na akili zako unakenda kuchangia mafuta ya chopa wakati hata baiskeli huna?
Hawa jamaa wanawachuna bila huruma lakini kwa sababu mko kwenye msukule mode inakuwa ni vigumu sana kushtuka, lakini naamini iko siku mtajitambua tu
Tatizo ni huyo mnayemuona mtakatifu Slaa wa karatu
Hivi wewe kweli na akili zako unakenda kuchangia mafuta ya chopa wakati hata baiskeli huna?
Hawa jamaa wanawachuna bila huruma lakini kwa sababu mko kwenye msukule mode inakuwa ni vigumu sana kushtuka, lakini naamini iko siku mtajitambua tu
ccm ni chama cha wachumia tumbo na wauza madawa ya kulevya na wanavuna mahela sana!Chadema ni matapeli wa kisasa.
Nawasifu kwa kutumia matatizo ya wananchi kama mtaji, na wanavuna mihela kweli!
Tatizo ni huyo mnayemuona mtakatifu Slaa wa karatu
Hivi wewe kweli na akili zako unakenda kuchangia mafuta ya chopa wakati hata baiskeli huna?
Hawa jamaa wanawachuna bila huruma lakini kwa sababu mko kwenye msukule mode inakuwa ni vigumu sana kushtuka, lakini naamini iko siku mtajitambua tu
Keep on dreaming, and please remember to take your medication.
Tatizo ni huyo mnayemuona mtakatifu Slaa wa karatu
Hivi wewe kweli na akili zako unakenda kuchangia mafuta ya chopa wakati hata baiskeli huna?
Hawa jamaa wanawachuna bila huruma lakini kwa sababu mko kwenye msukule mode inakuwa ni vigumu sana kushtuka, lakini naamini iko siku mtajitambua tu
mkuu hata ungekuwa wewe saa hizi una kitalu cha bure cha kuvuna mbao, ungeacha kupiga tantarira hapa.usijadiliane sana na wezi.Walioichangia TANU walikuwa matajiri? Waliomchangia Obama walikuwa matajiri? You are more idiotic than I thought of you before!