Mwigulu Nchemba: CHADEMA itakufa 2015

Mwigulu Nchemba: CHADEMA itakufa 2015

Ili kuona Chama kinakua ama kina kufa ni kukua kwake CDM INA undergo GRADUALLY CHANGES ..halafu unakitabilia kifo kirahisi hivyo ...halafu kiongozi wa Chama
 
Siasa za tanzania ni za kijinga sana,na kuna watu wata shabikia maneno ya huyu jua,ukiwa na mwenyekiti kama jk unategemea waliochini yake wataongea nn?mipasho sasa basi,
 
Halafu hilo jamaa linakiri kabisa linatekeleza maagizo ya M/kiti Bali sio kanuni na taratibu za Chama...ndo mana MACCM wadogo hawataisha upunguani kama Viongozi wao ndo chenga hivi
 
tatizo sio CHADEMA kufa jambo la msingi ni kwamba watanzania wanayataka mabadiliko nje ya CCM sasa.
 
Ili kuona Chama kinakua ama kina kufa ni kukua kwake CDM INA undergo GRADUALLY CHANGES ..halafu unakitabilia kifo kirahisi hivyo ...halafu kiongozi wa Chama

Chadema inabadilika na kuwa CCM B
 
Ili kuona Chama kinakua ama kina kufa ni kukua kwake CDM INA undergo GRADUALLY CHANGES ..halafu unakitabilia kifo kirahisi hivyo ...halafu kiongozi wa Chama

​Tukiweka ushabiki wa vyama pembeni, maamuzi ya Mbowe, kumpa Lowassa kupeperusha bendera ya CHADEMA ngazi ya urais, YANAASHIRIA KABISA KUTIMIA KWA UTABIRI WA COMRED MWIGULU MCHEMBA!
 
Hivi chadema ina wanachama wangapi wenye kadi kabla ya 2015? je chadema ina philosophia ipi juu ya kuongoza nchi zaidi ya shutuma zidi ya ccm? kwa nini wamechukuwa majimbo mengi kuwania ubunge/udiwani kuliko wengine katika UKAWA?, kwa kifupi wapiga deal wamejaa huko! wajipange kujaribu 2020!
 
Kama kuna MTU anaweza lowasa kuwa rais apimwe akili,ikulu fisadi kamwe akanyagi,
 
tatizo sio CHADEMA kufa jambo la msingi ni kwamba watanzania wanayataka mabadiliko nje ya CCM sasa.
Dalili zote zinaonyesha kuwa mabadiliko mwaka huu hayazuiliki na hivyo kutimia ubabii wa Mwalimu Nyerere kuwa wananchi wasipoyapata mabadiliko ndani ya CCM watalazimika kuyatafuta nje ya CCM
 
​Tukiweka ushabiki wa vyama pembeni, maamuzi ya Mbowe, kumpa Lowassa kupeperusha bendera ya CHADEMA ngazi ya urais, YANAASHIRIA KABISA KUTIMIA KWA UTABIRI WA COMRED MWIGULU MCHEMBA!

Aliju kuwa ule mkakati wa MM 1 2 3 watakiuwa chama na BILLION 150 Naona zimempitia padri.


Swissme
 
Nionavyo mimi hata kama Upinzani hatashinda uraisi Chadema kitaimarika sana kutoka na ruzuku kubwa watakayokuwa wanapata kutokana na kura nyingi za atakazopata Lowassa.Aidha zitawasaidia kupata nafasi myingi za ubunge viti maalumu.Sioni sababu ya kufa wakati kitakuwa na pesa nyingi ya kujiendesha. Labda kinachoweza kufa ni Ukawa.
 
Back
Top Bottom