Mwigulu Nchemba: CHADEMA itakufa 2015

Mwigulu Nchemba: CHADEMA itakufa 2015

Tatizo ni huyo mnayemuona mtakatifu Slaa wa karatu

Hivi wewe kweli na akili zako unakenda kuchangia mafuta ya chopa wakati hata baiskeli huna?

Hawa jamaa wanawachuna bila huruma lakini kwa sababu mko kwenye msukule mode inakuwa ni vigumu sana kushtuka, lakini naamini iko siku mtajitambua tu

Mbona hata hao ccm wanatuchuna bila ridhaa yetu.
 
Ni kweli CDM kuna mgawanyiko mkubwa kuna kambi ya SITA,LOWASA,MEMBE na sijui NAPE YUPO KAMBI GANI?
 
Suala la ukaguzi wa mahesabu si la vyama na halina uhusiano na watu Fulani naq kwa sababu hiyo kama unasubiri mgawanyiko hautakuwepo.
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo ndani ya chadema kuna mgawanyiko wa kutosha na tayari tuna team tatu ambazo zimejigawa kikanda., Hii ni moja ya dalili kuwa Chadema itasambaratika mapema kuliko wengi tulivyofikiri

Sababu kuu ya kusema haya ni hili suala la mahesabu na uchaguzi ndani ya Chadema

Tayari tunajua kuwa Chadema wameingia kambini kuchakachua mahesabu ili wayawakilishe kwenye kamati ya bunge ya mahesabu huku yule aliyewaitisha mahesabu haya akiwa tayari ana data zote za haya mahesabu hivyo hata wakichakachua vipi wataishia kuumbuka tu.

Suala la uchaguzi litaibuka upya soon kwani vijana tayari wameishaanza kuwashitukia viongozi waliopo kuwa ni matapeli.

Nawashauri makamanda wasikubali kufanywa misukule na kudanganywa kitoto bali wasimame na kudai uchaguzi ili wachague viongozi wanaowataka.

TUSUBIRI MHESHIMIWA JEMBE ARUDI KUTOKA SAFARI ......

JITAMBUE

Unaweza kutupa mrejesho wa wapi ule utabiri wa Wassira umefikia kabla hatujaamua kichwa kichwa kumeza na huu wa kwako?
 
Sijakuelewa. Wewe siyo Chadema bali Chama cha Magamba CCM sasa kinakuuma nini mpaka utumie muda wako kuandika na kulalama. Tena unataja makosa yao kama kweli yapo au ya kuumbwa. Kwanini likuume si wanasema pilipili husiyokula yakuwasha nini. Sasa wewe inakuwasha nini mpaka unaweweseka? Sema kama una mapenzi na CDM tukuelewe japo hatuhitaji mburura kama wewe kwenye chama. Ohooo!! Kitasambaratika very soon. Si ufurahi kusambaratika kwake sasa wewe unalia nini na kusambaratika kwake. Kweli CDM inakulaza bila usingizi na bado tu itakunyima raha utabakia kuiota

Same as CCM... wakisha toa Majina ya waliolimbikiza MALI USWIS; Utaona jinsi gani watakavyoanza kugombana...
Na Pesa nyingi ni zile walizopewa na Mchina...

Mbona CUF haina Uchaguzi na Bado Inapendwa huko ILIKO? Ukiangalia VYAMA VINGI VYA KISIASA havina VIONGOZI wa kuchaguliwa kila baada ya miaka kadhaa... Ni hapa tu TANZANIA bado tuanafuata ile tabia ya KI-CUMMUNIST kama CHINA kubadilishana VIONGOZI kama MASHATI... kwani Rais KIKWETE alipita kwa kupendwa au kwa Mizengwe? Mkapa alipita kwa kupendwa au MIZENGWE??? all those are COMMUNIST IDEOLOGIES...

Nipe Chama Chochote Duniani kinachochagua Viongozi wake kwa Mihula kama CCM na CCCP ??? HAKUNA>>>

Mnajua ya kuwa CHADEMA wakichagua VIONGOZI hawatakuwa wa kubebwa kama wa CCM na wanaweza wakawa sio wenye NGUVU kama wa sasa hivyo RAHISI kukipindua...
 
Ahaaaaa!! Kugombea Iringa? Mburura kama huyo nani atampa kura nadhani hata mke na watoto hawatampa kura mtu kama huyu. Kwa lipi anaweza kuwakilisha wananchi wa Iringa. kila nikisoma mabandiko yake uwa najiuliza huyu mtu anatumia akili au yupo mtupu kichwani. Sasa kama ili bandiko si basi kama anaona kuna uhalali malalamiko yake ayapeleke kwa Msajili, hapa anaandika ili tumsaidie nini

Anatafuta umaarufu wa kuichafua chadema mtandaoni! Mwache apasuke msamba!

Si unajua anataka kugombea ubunge Iringa mjini 2015?! Sasa naona ndio anatafuta pointi za kujitetea kwenye kura za maoni, manake wao akili haiko kutatua matatizo bali kuichafua chadema!
 
Tatizo ni huyo mnayemuona mtakatifu Slaa wa karatu

Hivi wewe kweli na akili zako unakenda kuchangia mafuta ya chopa wakati hata baiskeli huna?

Hawa jamaa wanawachuna bila huruma lakini kwa sababu mko kwenye msukule mode inakuwa ni vigumu sana kushtuka, lakini naamini iko siku mtajitambua tu

hujajibu hoja ulizoulizwa wewe,toa mifano ya vyama vinavyofanya uchaguzi wake kila baada ya kipindi fulani na sio kubwabwaja bwabwaja hapa na maneno kibao yasiyo na mantiki yoyote.
 
Anyway, Chris unakumbuka kilichomkumba Sheikh Yahya mwaka 2010? Alitabiri mtu kufa, akafa yeye. Nina wasiwasi mkubwa kama siku ya siku tunaweza kuskia ume-commit suicide. Inaonyesha bayana kuwa kutimuliwa uenyekiti wa Chadema UK bado kunakuumiza mno na ndo maana chuki yako dhidi ya chama hicho inaongezeka kila siku. Lakini chuki ni sawa na sumu ambayo inaweza kuunguza hadi container iliyoihifadhi.

Grow up!
 
Ndugu zanguni,

... na tayari tuna team tatu ambazo zimejigawa kikanda.

Wewe mwizi wa rambirambi yaani pamoja na kufukuzwa karibia mwaka mmoja uliopita lakini inaonekana umeathirika akili yako kiasi kwamba bado unajiona kuwa ni mwenzetu.

Hizo timu tatu mlizonazo ni akina nani na zinafanya kazi gani kwa maslahi na manufaa ya nani?
 
Huyu jamaa nngu007siamini kama ndiye huwa analeta post kwa niaba ya Serikali hapa jamvini na hasa post za taarifa za Wizara ya Mambo ya Ndani na hasa za Idara ya Uhamaji. Ni mtumishi wa Serikali lakini ni mamluki amejisahau. Vyombo vya Usalama vimmulike huyu hawa ndiyo wale wakati mwingine huwa wanatoa siri za Serikali nje.



Wewe ndie uliyenipa hiyo AJIRA?? PELEKA ISSUE MAHAKAMANI basi?? Nipate pesa za ushindi wa kunisumbua kuhudhuria VIJIKESI VYA WIVU

Kama HOJA zimekushinda... STAND UP BE A MAN... RE-GROUP and TRY TO GET BETTER lakini sio kuanzisha UZUSHI ambao utakushushia HADHI wewe Mwenyewe...

My Jamii Forums colleague From every wound there is a scar, and every scar tells a story. A story that says, “I survived
 
hujajibu hoja ulizoulizwa
wewe,toa mifano ya vyama vinavyofanya uchaguzi wake kila baada ya
kipindi fulani na sio kubwabwaja bwabwaja hapa na maneno kibao yasiyo na
mantiki yoyote.

Na alijuaje tunaochangia hatuna hata baiskeli, heshim sana chama kilichopo kwenye mioyo ya watu si kwenye card!
 
doctor slaa ni tishio kwa ccm na ndiyo maana kila mara wanamsema mbona msiseme ya lipumba na wengineo , dalili ya ushindi kwa chadema sasa naiona iko wazi , ni chadema tu kuendeleza mshikamano na si vinginevyo , kwani wapo watakaomtumia zitto kuisambaratisha lakini hawatafanikiwa
 
kwani ccm ilivofanya uchaguzi jakaya alipambana na nani kwenye hou uchaguziiiiii? acheni kiini macho tulizeni akili na toeni hoja za msingi
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo ndani ya chadema kuna mgawanyiko wa kutosha na tayari tuna team tatu ambazo zimejigawa kikanda., Hii ni moja ya dalili kuwa Chadema itasambaratika mapema kuliko wengi tulivyofikiri

Sababu kuu ya kusema haya ni hili suala la mahesabu na uchaguzi ndani ya Chadema

Tayari tunajua kuwa Chadema wameingia kambini kuchakachua mahesabu ili wayawakilishe kwenye kamati ya bunge ya mahesabu huku yule aliyewaitisha mahesabu haya akiwa tayari ana data zote za haya mahesabu hivyo hata wakichakachua vipi wataishia kuumbuka tu.

Suala la uchaguzi litaibuka upya soon kwani vijana tayari wameishaanza kuwashitukia viongozi waliopo kuwa ni matapeli.

Nawashauri makamanda wasikubali kufanywa misukule na kudanganywa kitoto bali wasimame na kudai uchaguzi ili wachague viongozi wanaowataka.

TUSUBIRI MHESHIMIWA JEMBE ARUDI KUTOKA SAFARI ......

JITAMBUE

Unaota ndoto za mchana wewe!Wenzako(CHADEMA) wanachanja mbuga.Labla nikupe taarifa ya kuwa"Controller and Auditor General(CAG) kathibitisha kuwa hawakuwa na pesa za kukagua vyama vya siasa.Kwa hiyo Zitto anasimamia sheria inavyosema,lakini pia serikali yako ya CCM haikutoa pesa kwenye ofisi ya CAG kwa ajili ya ukaguzi.Hii kitu inarudi kinyume nyume kwa ma-CCM na serikali yake.
 
Na alijuaje tunaochangia hatuna hata baiskeli, heshim sana chama kilichopo kwenye mioyo ya watu si kwenye card!

huyu jamaa ni mnafiki, mzushi, muongo na mzandiki, kazi yake siku za karibuni haiana tofauti sana naya nnauye....propaganda mfu, yeye tunamuuliza kila siku hapa fedha alizokusanya km rambi rambi ya mjane wa Mwangosi ni shilingi ngapi na atazikabidhi lini kwa mjane wa marehemu?
 
kuna baadhi ya ndoto ni ngumu hata kuziota,yaani kama hii ya kusambaratika kwa chadema soon,nadhani mtoa hoja ni mnywa kahawa tu pale kariakoo,hivyo anacheua makahawa na makashata yake hapo! atasubiri kutimia kwa ndoto hii,na hataona,mwishowe ataomba kadi ya chadema ili aisambaratishe akiwa ndani,ila atashtukiwa na anti virus nzuri za chadema na hatimaye atafanyiwa formating!
 
Duh kweli chadema inanyanyasa watu! Kiukweli hakuna chama chenye makundi kama ccm, kuna makundi ya wagombea urais, kuna makundi ya wauza sembe, kuna makundi ya wauaji wa tembo, kuna kundi la walipuaji mikutano ya wapinzani, kuna kundi la wala rushwa, na pia kuna kundi la watoaji wa rushwa! Ama kweli nyani haoni kundule!
 
Chris,

Nina maswali matatu, tafadhali.

1. Ungependa kuona CHADEMA inasambaratika?

2. Unaamini Tanzania au Watanzania watafadika kama CHADEMA itasambaratika?

3. Ungependa kuona vyama vya upinzani Tanzania vinakufa na kukiacha ccm?

Majibu yako yanaweza kusaidia sana mijadala hapa.
Tanzania itakuwa na amani, hakuna tena mabomu na maandamano yasiyo na maana
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo ndani ya chadema kuna mgawanyiko wa kutosha na tayari tuna team tatu ambazo zimejigawa kikanda., Hii ni moja ya dalili kuwa Chadema itasambaratika mapema kuliko wengi tulivyofikiri

Sababu kuu ya kusema haya ni hili suala la mahesabu na uchaguzi ndani ya Chadema

Tayari tunajua kuwa Chadema wameingia kambini kuchakachua mahesabu ili wayawakilishe kwenye kamati ya bunge ya mahesabu huku yule aliyewaitisha mahesabu haya akiwa tayari ana data zote za haya mahesabu hivyo hata wakichakachua vipi wataishia kuumbuka tu.

Suala la uchaguzi litaibuka upya soon kwani vijana tayari wameishaanza kuwashitukia viongozi waliopo kuwa ni matapeli.

Nawashauri makamanda wasikubali kufanywa misukule na kudanganywa kitoto bali wasimame na kudai uchaguzi ili wachague viongozi wanaowataka.

TUSUBIRI MHESHIMIWA JEMBE ARUDI KUTOKA SAFARI ......

JITAMBUE

Kichaa wangu Lemutuz kweli Chadema kinakutesa pamoja na ugonjwa wako lakini jina Chadema halisauliki kwenye akili yako. Mbona huwataji wanaokuua kwa kukupa madawa. Halafu usifikirie kuwa ww kuliwa mwizi Kama unavyowaibia Watu
kwenye kampuni ya Serengeti ukadhani wote ni wezi. Kweli Chadema imekukalia vibaya Kichaa anayekumbuka neno moja tu Chadema
 
Back
Top Bottom