Tatizo ni huyo mnayemuona mtakatifu Slaa wa karatu
Hivi wewe kweli na akili zako unakenda kuchangia mafuta ya chopa wakati hata baiskeli huna?
Hawa jamaa wanawachuna bila huruma lakini kwa sababu mko kwenye msukule mode inakuwa ni vigumu sana kushtuka, lakini naamini iko siku mtajitambua tu
Ndugu zanguni,
Kama mjuavyo ndani ya chadema kuna mgawanyiko wa kutosha na tayari tuna team tatu ambazo zimejigawa kikanda., Hii ni moja ya dalili kuwa Chadema itasambaratika mapema kuliko wengi tulivyofikiri
Sababu kuu ya kusema haya ni hili suala la mahesabu na uchaguzi ndani ya Chadema
Tayari tunajua kuwa Chadema wameingia kambini kuchakachua mahesabu ili wayawakilishe kwenye kamati ya bunge ya mahesabu huku yule aliyewaitisha mahesabu haya akiwa tayari ana data zote za haya mahesabu hivyo hata wakichakachua vipi wataishia kuumbuka tu.
Suala la uchaguzi litaibuka upya soon kwani vijana tayari wameishaanza kuwashitukia viongozi waliopo kuwa ni matapeli.
Nawashauri makamanda wasikubali kufanywa misukule na kudanganywa kitoto bali wasimame na kudai uchaguzi ili wachague viongozi wanaowataka.
TUSUBIRI MHESHIMIWA JEMBE ARUDI KUTOKA SAFARI ......
JITAMBUE
Same as CCM... wakisha toa Majina ya waliolimbikiza MALI USWIS; Utaona jinsi gani watakavyoanza kugombana...
Na Pesa nyingi ni zile walizopewa na Mchina...
Mbona CUF haina Uchaguzi na Bado Inapendwa huko ILIKO? Ukiangalia VYAMA VINGI VYA KISIASA havina VIONGOZI wa kuchaguliwa kila baada ya miaka kadhaa... Ni hapa tu TANZANIA bado tuanafuata ile tabia ya KI-CUMMUNIST kama CHINA kubadilishana VIONGOZI kama MASHATI... kwani Rais KIKWETE alipita kwa kupendwa au kwa Mizengwe? Mkapa alipita kwa kupendwa au MIZENGWE??? all those are COMMUNIST IDEOLOGIES...
Nipe Chama Chochote Duniani kinachochagua Viongozi wake kwa Mihula kama CCM na CCCP ??? HAKUNA>>>
Mnajua ya kuwa CHADEMA wakichagua VIONGOZI hawatakuwa wa kubebwa kama wa CCM na wanaweza wakawa sio wenye NGUVU kama wa sasa hivyo RAHISI kukipindua...
Anatafuta umaarufu wa kuichafua chadema mtandaoni! Mwache apasuke msamba!
Si unajua anataka kugombea ubunge Iringa mjini 2015?! Sasa naona ndio anatafuta pointi za kujitetea kwenye kura za maoni, manake wao akili haiko kutatua matatizo bali kuichafua chadema!
Tatizo ni huyo mnayemuona mtakatifu Slaa wa karatu
Hivi wewe kweli na akili zako unakenda kuchangia mafuta ya chopa wakati hata baiskeli huna?
Hawa jamaa wanawachuna bila huruma lakini kwa sababu mko kwenye msukule mode inakuwa ni vigumu sana kushtuka, lakini naamini iko siku mtajitambua tu
Ndugu zanguni,
... na tayari tuna team tatu ambazo zimejigawa kikanda.
Huyu jamaa nngu007siamini kama ndiye huwa analeta post kwa niaba ya Serikali hapa jamvini na hasa post za taarifa za Wizara ya Mambo ya Ndani na hasa za Idara ya Uhamaji. Ni mtumishi wa Serikali lakini ni mamluki amejisahau. Vyombo vya Usalama vimmulike huyu hawa ndiyo wale wakati mwingine huwa wanatoa siri za Serikali nje.
hujajibu hoja ulizoulizwa
wewe,toa mifano ya vyama vinavyofanya uchaguzi wake kila baada ya
kipindi fulani na sio kubwabwaja bwabwaja hapa na maneno kibao yasiyo na
mantiki yoyote.
Ndugu zanguni,
Kama mjuavyo ndani ya chadema kuna mgawanyiko wa kutosha na tayari tuna team tatu ambazo zimejigawa kikanda., Hii ni moja ya dalili kuwa Chadema itasambaratika mapema kuliko wengi tulivyofikiri
Sababu kuu ya kusema haya ni hili suala la mahesabu na uchaguzi ndani ya Chadema
Tayari tunajua kuwa Chadema wameingia kambini kuchakachua mahesabu ili wayawakilishe kwenye kamati ya bunge ya mahesabu huku yule aliyewaitisha mahesabu haya akiwa tayari ana data zote za haya mahesabu hivyo hata wakichakachua vipi wataishia kuumbuka tu.
Suala la uchaguzi litaibuka upya soon kwani vijana tayari wameishaanza kuwashitukia viongozi waliopo kuwa ni matapeli.
Nawashauri makamanda wasikubali kufanywa misukule na kudanganywa kitoto bali wasimame na kudai uchaguzi ili wachague viongozi wanaowataka.
TUSUBIRI MHESHIMIWA JEMBE ARUDI KUTOKA SAFARI ......
JITAMBUE
Na alijuaje tunaochangia hatuna hata baiskeli, heshim sana chama kilichopo kwenye mioyo ya watu si kwenye card!
Tanzania itakuwa na amani, hakuna tena mabomu na maandamano yasiyo na maanaChris,
Nina maswali matatu, tafadhali.
1. Ungependa kuona CHADEMA inasambaratika?
2. Unaamini Tanzania au Watanzania watafadika kama CHADEMA itasambaratika?
3. Ungependa kuona vyama vya upinzani Tanzania vinakufa na kukiacha ccm?
Majibu yako yanaweza kusaidia sana mijadala hapa.
Ndugu zanguni,
Kama mjuavyo ndani ya chadema kuna mgawanyiko wa kutosha na tayari tuna team tatu ambazo zimejigawa kikanda., Hii ni moja ya dalili kuwa Chadema itasambaratika mapema kuliko wengi tulivyofikiri
Sababu kuu ya kusema haya ni hili suala la mahesabu na uchaguzi ndani ya Chadema
Tayari tunajua kuwa Chadema wameingia kambini kuchakachua mahesabu ili wayawakilishe kwenye kamati ya bunge ya mahesabu huku yule aliyewaitisha mahesabu haya akiwa tayari ana data zote za haya mahesabu hivyo hata wakichakachua vipi wataishia kuumbuka tu.
Suala la uchaguzi litaibuka upya soon kwani vijana tayari wameishaanza kuwashitukia viongozi waliopo kuwa ni matapeli.
Nawashauri makamanda wasikubali kufanywa misukule na kudanganywa kitoto bali wasimame na kudai uchaguzi ili wachague viongozi wanaowataka.
TUSUBIRI MHESHIMIWA JEMBE ARUDI KUTOKA SAFARI ......
JITAMBUE