Mwigulu Nchemba: CHADEMA itakufa 2015

Mwigulu Nchemba: CHADEMA itakufa 2015

Tukubari ukweli CCM wanakosoana lakini haitwi mtu msaliti,CDM ukiwakosoa tu Mapacha Wawili basi wewe ni msaliti,Mbowe na Slaa ni Malaika?kwa hali hii ya Ushabiki wa Chadema kila anayewakosoa ana onekana Mbaya,juzi hapa wamelishambulia RaiaMwema kwa mambo Binafsi ya Mbowe
 
Huyo Zitto alikerwa na mshahara wa waziri mkuu na rais (wa CCM)..!!
Hapo vipi..???
CCM ni chama cha kilaghai kabisa..!!
Tatizo lako huna akili hata maana ya ulaghai hujui sasa tukusaidiaje katika hilo.
 
Tukubari ukweli CCM wanakosoana lakini haitwi mtu msaliti,CDM ukiwakosoa tu Mapacha Wawili basi wewe ni msaliti,Mbowe na Slaa ni Malaika?kwa hali hii ya Ushabiki wa Chadema kila anayewakosoa ana onekana Mbaya,juzi hapa wamelishambulia RaiaMwema kwa mambo Binafsi ya Mbowe
Wale ndivyo walivyo hawakosei hata kidogo makosa yafanywe na wengine tu wao hapana ni ajabu na kweli.

mbowe na slaa hawafai kuwa watu,ulishaona wapi mtuambaye hataki mawazo ya mtu mwingine.
 
Inaelekea mwisho kivipi wakati ndo mapambano yanaanza upya, watu wanapenda kutumia statement fulan ili kualalisha uongo lkn wanakaza buti wala hawajafika mwisho labda mtu mmoja kafika mwisho anataka na chama chote kifike mwisho we ukiona mwisho wako kaa pemben achia chama kidumu
 
Chadema kufa mtasubiri sana. Chama chenye mwanasiasa bora zaidi hapa tanzania,zito kabwe kinakufaje?
 
Kwanza andikeni katiba inayotokana na wanachama, sio katiba ya kukidhi mahitaji ya Mtei.

Mtei alimuandaa binti yake Lilian kuwa Mwenyekiti wa Chadema baada ya Mbowe. Binti huyo alipokataa ikabidi Mtei aagize kipengele cha kuweka ukomo wa mihula ya uongozi kiondolewe ili Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti.

Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai.

haya mambo una andikiwa maana naona unarudiarudia kama mtoto aliye karirishwa a,e,i,o u
 
Tatizo lako huna akili hata maana ya ulaghai hujui sasa tukusaidiaje katika hilo.

Hapo kwenye blue,
Langai wa 'ukweli' ni mtoto wa mkulima aliyedanganya bunge.
Ushahidi uliletwa na mh. Lema ila 'bibi' yenu bungeni akaukalia mpaka leo.
Upo hapo...??

Ila vipi swala la Luhanjo, mbona 'umepotezea' mpaka leo...????
 
Kwa mtu yoyote anayeongelea chadema kufa sasahivi 2013/october,,,,,mi naona ni hoja za ovyo ovyo,,,,
 
Kwanza andikeni katiba inayotokana na wanachama, sio katiba ya kukidhi mahitaji ya Mtei.

Mtei alimuandaa binti yake Lilian kuwa Mwenyekiti wa Chadema baada ya Mbowe. Binti huyo alipokataa ikabidi Mtei aagize kipengele cha kuweka ukomo wa mihula ya uongozi kiondolewe ili Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti.

Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai.

Da! hii taka iko kila sehemu kwenye thread inayohusu CDM mpaka inaboa yani. Hivi mods mmelala? Awa mamluki wa CCM mnawachekea sana. Mngenipa mi iyo kazi siku moja tu wangenyooka.
 
Ukweli ndo huu,naiona Chadema inaelekea mwisho hata kama hawatakubali,naiona Chadema kupungua nguvu kutoka chama kikuu cha Upinzani Mpaka kuwa msindikizaji kama wengine,Chadema kimekuwa Chama chenye Nguvu ya watu wachache ambao hao ukiwakosoa basi utaonekena Msaliti,tofauti na CCM inaweza kumkosoa Mwenyekiti Taifa lakini usionekane Msaliti
Nitaendelea

Ndugu zangu Wanachadema. sasa chama chetu kinapitia katika wakati mgumu sana kuliko wakati mwingine wowote!
Kuna mapandikizi ambao wamo ndani ya chama ambao wana tafuta kila njia kukiua chama.Hawa wakina Mwigamba na wengine naomba tuachane nao kabisa, kama yeye anania nzuri na chama na kama bado hawezi kikihujumu chama kama anavyodai mwenyewe, kwa nini anaendelea kubwabwaja maneno kila mahali?Swala la uongozi wa chama kuwa kuna kutokuelewana kati ya Zito na viongozi wengine ndani ya chama hilo sio lake, kuna kamati na idara zinazohusika ndani ya chama kusaidia hilo!! Sasa kila kila Mwenyekiti wa chama mkoa akaamka na kuanza kujiona anatetea katiba na kuongelea mahusiano ya viongozi wa chama kweli itawezekana???
Chadema tuchunge sana tunapoelekea uchaguzi wa mitaa 2014 na ule mkuu 2015.Wapo watu wameshaanza kushirikiana na ccm kuhamasisha vurugu ndani ya CHADEMA kwa kisingizio eti uchaguzi uitishwe!!Kuna hatari hapa!!
Kuna mapamdikizi wamo ndani ya chama wanajidai ni wakereketwa wanaotaka kutumia mwanya huo, kuwaondoa viongozi wa juu kimapinduzi na hata kuwaweka viongozi wengine ambao huenda ni mamluki na hatimaye wakakifutilia mbali chama na hapo ndio ukawa mwisho wa CHADEMA na aliyosema Wasira kuwa CHADEMA kitasambaratika kabla ya 2013 yakatimia.
Wazo langu, tuendelee kupambana kukiimarisha chama ili mwaka kesho kichote viti vingi serekali za mitaa ili kukiimarisha kuchukua dola 2015 na sio vinginevyo.Wasaliti wanaoendelea kutimuliwa ndani ya chama tuendelee kuwapuuza wao na maneno yao.Tuwapuuze kama tulivyowapuuza wale madiwani waliofukuzwa na hatimaye walipokuja kugombea kwa mlango wa vyama vingine tukawaaibisha kwa kutowachagua.
CHADEMA tuwe macho sana wakati huu, kila kona wabaya wetu wamejipanga; Mwigamba ni nani? yeye ameondolewa aondoke tu na nawahakikishia kuwa ataaibika kama wale madiwani.Ukweli ni kwamba! Hata Dr.Slaa akikisaliti chama Au Mbowe bado kitabaki imara.Watanzania hatuburuzwi tena na watu wanao kimbiakimbia kuita waandishi wa habari kuchafua wenzao tunachokihitaji ni mabadiliko ya kweli na sio vinginevyo.
Watanzania wanahitaji maisha bora,hali bora,uwazi,uwajibikaji na sio propoganda za watu.Huyo aliyeondoka aondoke ili chama kisonge mbele.Aende chama kingine. Na akigundulika mwingine naye atimuliwe bila kujali yeye ni nani.
Yangu ndiyo hayo naomba CHADEMA tushikamane na tusiburuzwe.
 
Ni kweli inaelekea mwisho, ila ni mwisho wa matatizo yaliyoikumba sasa.
Ccm wamejitahidi kweli lkn ndipo wamekomea, yatapita tu
 
Ndugu zangu Wanachadema. sasa chama chetu kinapitia katika wakati mgumu sana kuliko wakati mwingine wowote!
Kuna mapandikizi ambao wamo ndani ya chama ambao wana tafuta kila njia kukiua chama.Hawa wakina Mwigamba na wengine naomba tuachane nao kabisa, kama yeye anania nzuri na chama na kama bado hawezi kikihujumu chama kama anavyodai mwenyewe, kwa nini anaendelea kubwabwaja maneno kila mahali?Swala la uongozi wa chama kuwa kuna kutokuelewana kati ya Zito na viongozi wengine ndani ya chama hilo sio lake, kuna kamati na idara zinazohusika ndani ya chama kusaidia hilo!! Sasa kila kila Mwenyekiti wa chama mkoa akaamka na kuanza kujiona anatetea katiba na kuongelea mahusiano ya viongozi wa chama kweli itawezekana???
Chadema tuchunge sana tunapoelekea uchaguzi wa mitaa 2014 na ule mkuu 2015.Wapo watu wameshaanza kushirikiana na ccm kuhamasisha vurugu ndani ya CHADEMA kwa kisingizio eti uchaguzi uitishwe!!Kuna hatari hapa!!
Kuna mapamdikizi wamo ndani ya chama wanajidai ni wakereketwa wanaotaka kutumia mwanya huo, kuwaondoa viongozi wa juu kimapinduzi na hata kuwaweka viongozi wengine ambao huenda ni mamluki na hatimaye wakakifutilia mbali chama na hapo ndio ukawa mwisho wa CHADEMA na aliyosema Wasira kuwa CHADEMA kitasambaratika kabla ya 2013 yakatimia.
Wazo langu, tuendelee kupambana kukiimarisha chama ili mwaka kesho kichote viti vingi serekali za mitaa ili kukiimarisha kuchukua dola 2015 na sio vinginevyo.Wasaliti wanaoendelea kutimuliwa ndani ya chama tuendelee kuwapuuza wao na maneno yao.Tuwapuuze kama tulivyowapuuza wale madiwani waliofukuzwa na hatimaye walipokuja kugombea kwa mlango wa vyama vingine tukawaaibisha kwa kutowachagua.
CHADEMA tuwe macho sana wakati huu, kila kona wabaya wetu wamejipanga; Mwigamba ni nani? yeye ameondolewa aondoke tu na nawahakikishia kuwa ataaibika kama wale madiwani.Ukweli ni kwamba! Hata Dr.Slaa akikisaliti chama Au Mbowe bado kitabaki imara.Watanzania hatuburuzwi tena na watu wanao kimbiakimbia kuita waandishi wa habari kuchafua wenzao tunachokihitaji ni mabadiliko ya kweli na sio vinginevyo.
Watanzania wanahitaji maisha bora,hali bora,uwazi,uwajibikaji na sio propoganda za watu.Huyo aliyeondoka aondoke ili chama kisonge mbele.Aende chama kingine. Na akigundulika mwingine naye atimuliwe bila kujali yeye ni nani.
Yangu ndiyo hayo naomba CHADEMA tushikamane na tusiburuzwe.

Viongozi wako ila same na wanachama wako imara
 
Mtu yeyote ambaye hata tatizo kwenye upeo wake lazima akerwe na siasa hizi chadema make ni siasa za kiulaghai kwa maslahi yao.

Mtu yeyote mwenye AKIRI timamu lazima ataipenda chadema.Kwa CCM mtu mwenye akiri timamu ni mmoja tu naye ni MWENYEKITI wenu tu basi.
 
Rais Dr.JK akiulizwa anaweza kujibu ni chama gani kinakaribia kufa kabla ya 2015 kikipenya tu basi 2020
 
Ukweli ndo huu,naiona CHADEMA inaelekea mwisho hata kama hawatakubali.Naiona CHADEMA kupungua nguvu kutoka chama kikuu cha Upinzani Mpaka kuwa msindikizaji kama wengine.

CHADEMA kimekuwa Chama chenye Nguvu ya watu wachache ambao hao ukiwakosoa basi utaonekena Msaliti,tofauti na CCM inaweza kumkosoa Mwenyekiti Taifa lakini usionekane Msaliti.

Nitaendelea.
mbona unazunguka mkuu? si ungesema tu moja kwa moja?? au unaogopa?? utaendelea lini?? kuna nini tena unachofahamu?? hizi kweli ni sababu za kukiua chama?? au we ndio unataka kukiua??? Funguka mkuu!!
 
hizo ni ndoto za mchana kitakufa chama chako na kuiacha CHADEMA ikipepea kwa nguvu zote
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo ndani ya chadema kuna mgawanyiko wa kutosha na tayari tuna team tatu ambazo zimejigawa kikanda., Hii ni moja ya dalili kuwa Chadema itasambaratika mapema kuliko wengi tulivyofikiri

Sababu kuu ya kusema haya ni hili suala la mahesabu na uchaguzi ndani ya Chadema

Tayari tunajua kuwa Chadema wameingia kambini kuchakachua mahesabu ili wayawakilishe kwenye kamati ya bunge ya mahesabu huku yule aliyewaitisha mahesabu haya akiwa tayari ana data zote za haya mahesabu hivyo hata wakichakachua vipi wataishia kuumbuka tu.

Suala la uchaguzi litaibuka upya soon kwani vijana tayari wameishaanza kuwashitukia viongozi waliopo kuwa ni matapeli.

Nawashauri makamanda wasikubali kufanywa misukule na kudanganywa kitoto bali wasimame na kudai uchaguzi ili wachague viongozi wanaowataka.

TUSUBIRI MHESHIMIWA JEMBE ARUDI KUTOKA SAFARI ......

JITAMBUE
Pole Mzee. Ufahamu wako utakapokuwa umerudi katika hali ya kawaida, tutawasiliana. Kwa sasa endelea kutupa miguu. Kumbuka kuwa hakuna umaskini unaozidi ule wa mawazo. Pole sana...
 
akili za kuku kijana unapoteza muda wako kuandika uchafu maccm ukoo wa panya wote wezi vp boss mwigulu sijamsikia au ameenda kununua mabomu china
 
mbona unazunguka mkuu? si ungesema tu moja kwa moja?? au unaogopa?? utaendelea lini?? kuna nini tena unachofahamu?? hizi kweli ni sababu za kukiua chama?? au we ndio unataka kukiua??? Funguka mkuu!!
Waliojaribu kukiua CHADEMA siyo mmoja wala wawili. Wale waliokuwa wameset deadline ya kuhakikisha CDm imekufa kabla ya 2013, wameona imeshindikana sasa wamesogeza mbele 2014. Japo katika kipindi hiki 2010 hadi sasa 2013 wamejaribu sana. Ukanda (ukashindwa) Udini (Ukashindwa) Ugaidi na tindikali (vikashindwa) Kuwanunua viongozi (Mbeya, Shonza, Sasa Arusha n.k - zimefeli zote). Kwa hiyo endelea kujaribu. Lakini jambo moja nikwambie Mungu wetu anaweza, hatakubali nchi hii iliyojaa maziwa na asali kila kitu kiendelee kumilikiwa na kutafunwa na watu wachache wakati watanzania wengi hata panadol hawawezi kupata. Inawezekana wewe kinachokufurahisha ni kuona watanzania wanateseka na hivyo furaha yako kuona Chadema inakufa ili CCM Daima iendelee maana waliisha sema CCM Daima.
 
Back
Top Bottom