Mwigulu Nchemba amcharukia Zitto Kabwe

Mwigulu Nchemba amcharukia Zitto Kabwe

Ni upotoshaji wa makusudi tu mkuu.

Jiulize ni kwanini hajaongelea tweet ya Zitto kuhusu maSGR na Dreamliner ambazo ni sahihi kabisa na badala yake anakimbilia hoja ya ibara ya 37 (2) ya katiba ambayo kwa mazingira Zitto aliitoa akiwa na sababu tofauti kabisa tena kabla hata ajali haijatokea.
Madelu ni mshirikina tu kama walivyo wenzake
 
Mwigulu anataka kufa? Mwigulu anataka kuumizwa? Usichopenda kutendewa usimtendee mwenzio!! Ameua wangapi kwa maagizo yake? Ameumiza wangapi kwa maagizo yake? Hata kama tweet ya Zitto ina ukakasi, Mwigulu hana udhu wa kuongelea "Utu".
Yaleyale yakukukrupuka toka shimoni kama nungunungu,weka hadharani mauaji(ushahidi) yaliotekelezwa kwa maagizo ya Mwigulu pasi na kuacha shaka,acheni siasa za bei rahisi
 
Ebu jikite kwenye hoja, wewe kila siku huna hoja za maana zaidi ya ujinga ujinga tu wa kutetea serikali na kichaa wenu

Ha ha haaaaaa
Vipi maumivu yako aiseee.. naona unazidi kuhitaji matibabu.

Nyie wa humu niambieni lini mmeleta hoja kutoka vichwani mwenu.. tukaona hata viongozi wenu wanawasikiliza!!! Kila siku mnalia humu kuishia hata kuingia madeni ya DATA.. 🤣🤣🤣💉💉💉
 
Aanze kufuga ndevu ajiandae kuzunguka nchi nzima kufanya kampeni za mwaka 2020.
Uzuri wake yale mabango aliyo yasambaza nchi mzima kwamba yeye ndiye raisi bado yapo hivyo hatoingia ghalama
 
Ha ha haaaaaa
Vipi maumivu yako aiseee.. naona unazidi kuhitaji matibabu.

Nyie wa humu niambieni lini mmeleta hoja kutoka vichwani mwenu.. tukaona hata viongozi wenu wanawasikiliza!!! Kila siku mnalia humu kuishia hata kuingia madeni ya DATA.. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji382][emoji382][emoji382]
Wewe ni sehemu ya wengi msiotofautisha kati ya maslahi ya nchi na serikali, hivyo mtaendelea kuwa daraja la kuvushia viongozi wajinga ili kudumisha madaraka yao huku ninyi mkiendelea kuwa watawaliwa wa fikra
 
Sihungi mkono maneno ya Zitto kabisa,namwona kama kichaa ila niongee kuhusu huyu Mwigulu, yeye amezoea kutafta huruma kwa watu kama mwenzie Zitto,nachoona hapa Mwigulu alitaka kupigilia msumari maneno ya Zitto ila kwa stahili ya kujifanya anamponda,Mwigulu huna jipya tusha kufahamu na unafiki wako ulio tukuka.Kuvuliwa uwaziri na kuua ndoto zako za kuwa rais kuna kutesa sana,mlizoea vibaya kudekezwa dekezwa na kujifanya miungu watu kwenye tawala zilizo pita,pole wakati wa kutafta SIFA haupo tena,wakati wa deko deko haupo tena HAPA KAZI TU
 
Kingine,

Sisi hua tunapenda kumhukumu mtu bila ya kuelewa jambo wala kulichanganua vizuri. Na tunatabia ya kushangilia au kuponda mambo hovyo hovyo.

Neno "maradhi ya kichwani" lina husisha mambo mengi sana, ila watu wanakimbilia kuhukumu kua kamaanisha wehu au kichaa tu.

Maradhi ya kichwa, kisaikolojia lina cover mpaka;

1) Wendawazimu.
2) Stress. (Msongo wa mawazo)
3) Kutokulala.
4) Hasira.
5) Uvivu.
6) Kujiona mtu unaestahili special treatment (Majigambo).
7) Kutokusikiliza ushauri.

NB na mengine mengi sana tu.
Tumepata mganga wa jf bila malipo
 
Yaleyale yakukukrupuka toka shimoni kama nungunungu,weka hadharani mauaji(ushahidi) yaliotekelezwa kwa maagizo ya Mwigulu pasi na kuacha shaka,acheni siasa za bei rahisi
Wewe ndo Mwigulu? Kama siyo wewe muulize mwenyewe atakwambia.
 
Huyu gaidi apumzike tu zama zake zimeisha
Umenena vema hata Hamani alijenoga nyongeo kwa ajili ya Mordekai katika utawala wa Mfalme Ahasuero lakini mwisho wa siku alinyongwa yeye hili jamaa lina roho mbaya utafikiri mkaanga sumu naona anataka huruma za baba ubaya aliyempiga chini, sasa kwa bahati mbaya kakurupuka kama fungo pangoni na kudandia kwa mbele treni kwa kumpinga Zito hivi kichwa cha Zito atakifikia kweli
 
Mwigulu unapoteza mda bure , yeye mwenyewe alisema kwa midomo yake kuwa yeye ni kichaa
 
Atueleze kwanza mamilioni ya kuifadhili ile timu yake alikuwa anayapata wapi?leo hana kazi na timu ipo dhoofu hali
Umenena vema hata Hamani alijenoga nyongeo kwa ajili ya Mordekai katika utawala wa Mfalme Ahasuero lakini mwisho wa siku alinyongwa yeye hili jamaa lina roho mbaya utafikiri mkaanga sumu naona anataka huruma za baba ubaya aliyempiga chini, sasa kwa bahati mbaya kakurupuka kama fungo pangoni na kudandia kwa mbele treni kwa kumpinga Zito hivi kichwa cha Zito atakifikia kweli
 
Back
Top Bottom