Zack Abdul
JF-Expert Member
- Mar 9, 2026
- 725
- 653
Shekh Mwaipopo amemtabilia makubwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, akimpongeza kwa elimu na usomi alioupata katika ngazi ya chuo kikuu.
Amesema mafanikio ya Dkt. Mwigulu yamechangiwa pia na nidhamu, kujituma, uwezo wa kuwasikiliza wananchi na kufuatilia kero zao.
Kwa mujibu wa Mwaipopo, nidhamu, kujituma na kuwa karibu na wananchi ni miongoni mwa sifa zilizomsaidia Dkt. Mwigulu Nchemba kufikia nafasi hiyo ya juu katika uongozi wa Taifa.
Amesema mafanikio ya Dkt. Mwigulu yamechangiwa pia na nidhamu, kujituma, uwezo wa kuwasikiliza wananchi na kufuatilia kero zao.
Kwa mujibu wa Mwaipopo, nidhamu, kujituma na kuwa karibu na wananchi ni miongoni mwa sifa zilizomsaidia Dkt. Mwigulu Nchemba kufikia nafasi hiyo ya juu katika uongozi wa Taifa.