Mwigulu: Membe, Sitta Hawatapata Urais

Mwigulu: Membe, Sitta Hawatapata Urais

Status
Not open for further replies.
Baada kuulizwa maswali na vijana wa Iramba walioko Mwanza kuhusu nyendo za wana CCM kuanza kupigana vikumbo kuelekea 2015 hasa mtoto wa rais kuwa mstari wa mbele kumsaidia mgombea mmoja, Bw. Mwigulu alisema kwamba Wanairamba wasidanganyike. Huyo mtoto wa Rais anahaha kuikoa ngozi yake kutokana matendo yake ya kifisadi. Yeye siyo rais. Baba yake ndio Rais. Rais ni mmoja tu 2015. Na kama walivyoidhibit CHADEMA na kuisambaratisha CUF, hao-wengine, sijui, Membe, sijui, Sitta, wote tutawadhibiti. Rais ajaye kila mtu anamjua. Juzi mmemuona hapa mwanza. Anaitwa rais kabla haja apishwa.
Nadhani sasa safari ya Mwigulu kwenye siasa inaanza kuingia kwenye kiza kinene kwa kumponda prince.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Lowassa hawezi kuwa rais
huyu anahonga makanisani na misikitini hizo hela anazipata wapi kama sio zile alizoiba anarudisha kijanja janja?
CCM wakimpa Lowassa nafasi hiyo wajiulize anahonga ili aingie ikulu kutafuta nini huko?
akauze nchi arudishe fedha zake, thats all.
wana CCM mkidanganyika hapa ndio mjue chama chenu kitafutika katika siasa kama KANU.
 
Hii siasa ya kutafuta watu makanisani na misikitini ni mbaya Sana watu wataumbuka 2015 me yangu macho Mungu ibariki Tanzania wazibie wanafiki wote wanaofanya siasa kwa kujinufaisha wao
 
Ana hoja.
Baada kuulizwa maswali na vijana wa Iramba walioko Mwanza kuhusu nyendo za wana CCM kuanza kupigana vikumbo kuelekea 2015 hasa mtoto wa rais kuwa mstari wa mbele kumsaidia mgombea mmoja, Bw. Mwigulu alisema kwamba Wanairamba wasidanganyike. Huyo mtoto wa Rais anahaha kuikoa ngozi yake kutokana matendo yake ya kifisadi. Yeye siyo rais. Baba yake ndio Rais. Rais ni mmoja tu 2015. Na kama walivyoidhibit CHADEMA na kuisambaratisha CUF, hao-wengine, sijui, Membe, sijui, Sitta, wote tutawadhibiti. Rais ajaye kila mtu anamjua. Juzi mmemuona hapa mwanza. Anaitwa rais kabla haja apishwa.
 
siyo mwigulu na lowasa,nape na nani?!ni hivi lowasa anakubalika na wanaccm 98%,so kwa evaluation hyo utajua kuwa lowasa ndo mpango mzma!wito kwa kundi la M2015 tuungane pamoja kwa manufaa ya nchi na ccm kwa ujumla

Nape kama mkurugenzi alizunguka akisema Lowasa ni gamba. Leo Naibu KM anasema Lowasa ni rais mtarajiwa. Chama kimoja. Sasa tumwamini yupi ili tujipange kuona ushindi unapatikana ili chama kisiathirike?

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Haya ni majitaka toka kimywani mwa mleta uzi. Kule hakuna mtu wa kujihakikishia nafasi kwani kule kuna democrasia sio kama kwenu UCHAGANI

Uchagani kumekuwaje tena?

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Lowassa hawezi kuwa rais
huyu anahonga makanisani na misikitini hizo hela anazipata wapi kama sio zile alizoiba anarudisha kijanja janja?
CCM wakimpa Lowassa nafasi hiyo wajiulize anahonga ili aingie ikulu kutafuta nini huko?
akauze nchi arudishe fedha zake, thats all.
wana CCM mkidanganyika hapa ndio mjue chama chenu kitafutika katika siasa kama KANU.

Aliiba wapi? Kama una usahhidi wa wizi huo uweke hadharani. Kila mwanasiasa anatumia alichonacho kufanikisha malengo yake.
 
Kwa afya yake hiyo yenye mgogoro,atatoboa kweli? Hivi humuoni kuwa Sikh hizi anatembea upande upande kama Fiat 682(Lori La zamani,maarufu kama Mbaula)iliyokata Senta bolt!?
Mmmh! Mzee anatetemeka mikono utadhani kapigwa shoti ya umeme. Ngoja tusubirie tuone maana mud a back haujafika.tutasikia mengi sana mwaka kesho.Mungu atupe uzima.
(red)Unaweza kudhani unasubiri ili uone ukawa wewe ndo hufiki huko kuona...Wako waliosema JK hafiki 2010...wao ndio walishaondoka!! Chunga mdomo wako!
 
kwa akili yako ya kawaida unadhani huo utajiri kaupata wapi?
tumia akili yako kufkiria ndugu la sivo utabaki kuwa maskini wa mawazo siku zote.
hakuna asiejua ufisadi wake wala sihitaji kutoa ushahidi zaidi kawaulize Mwakyembe and sita company.
sina haja ya kumsifia,
Nyerere alishatuasa tuwe macho na watu wanaohonga ili kuingia ikulu
pale ni mahala patakatifu

Aliiba wapi? Kama una usahhidi wa wizi huo uweke hadharani. Kila mwanasiasa anatumia alichonacho kufanikisha malengo yake.
 
kwa akili yako ya kawaida unadhani huo utajiri kaupata wapi?
tumia akili yako kufkiria ndugu la sivo utabaki kuwa maskini wa mawazo siku zote.
hakuna asiejua ufisadi wake wala sihitaji kutoa ushahidi zaidi kawaulize Mwakyembe and sita company.
sina haja ya kumsifia,
Nyerere alishatuasa tuwe macho na watu wanaohonga ili kuingia ikulu
pale ni mahala patakatifu



Mimi nilitaka unipe ushahidi na mimi nijiridhishe ili nisiishei kumba wimbo nisioujua, watu wengi wamekua wakiongea kua EL ni fisadi lakini hawatoi ushahidi wowote wa kuthibisha sina uhakika kama na wewe ni miongoni mwa hao. Hao uliowataja wakija kuandika hapa nao ntawauliza kama nilivyokuuliza. Naomba kama una ushahidi wa tuhuma hizi uzilete hapa ili mimi na wengine tujiridhishe.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom