Bwashee una utani wewe !Tundu Antipas Lisu
Kinara wa nini? Wote ni uozo mtupuKati ya Hawa ni yupi alivutia zaidi utendaji wake wa kazi kwa mwaka 2023.
View attachment 2864468
1. Mwigulu Nchemba
View attachment 2864469
2.Hussein Bashe
View attachment 2864470
3. Januari Makamba
View attachment 2864472
4. Makame Mbarawa
View attachment 2864473 5. Hamisi Kigwangala
View attachment 2864474
6.Luhaga Mpina
View attachment 2864475
7.Tundu Lisu
View attachment 2864477
8.Zitto Kabwe
View attachment 2864478
9.Freeman Mbowe
View attachment 2864479
10.Daniel Chongolo
Mchague unayemtaka na kueleza mwaka 2023 alikuvutia kwenye eneo gani kuhusu utendaji na uwajibikaji kwa jamii.
Umekurupuka. Hujaelewa chochote!!! Hiyo ni orodha tu na haipo for rankingKm huna akili si bora uombe hata ya kuazima? Huyo jamaa wa Mwandoya mwambie arudi kanisani. Mwigulu namba moja takwimu ziko wazi, binafsi simfahamu ila ht ningekutana naye ni bwanamgd wangu. Makamba namba 2, nashindwa kuelewa unashindashindaje visivyolingana. Mzee JK una kesi ya kujibu kuhusu mpasuko wa nchi hii.