Mwigulu hana ulinzi kama aliokuwa nao Hayati Magufuli, wala Samia hawezi mpa ulinzi huo! Wahuni sio watu wazuri!

Mwigulu hana ulinzi kama aliokuwa nao Hayati Magufuli, wala Samia hawezi mpa ulinzi huo! Wahuni sio watu wazuri!

Sifi Leo

Platinum Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,937
Reaction score
10,815
In Polepole’s voice anasema wahuni sio watušŸ˜‚šŸ¤£ halafu anawataja Rostam Aziz, Kikwete, Karamagi, na wengine wengi.

In Polepole’s voice anadai Kuna Mzee wa tax hapo posta Muda mwingi yeye anabeba bahasha za sanduku la posta ila siku hiyo alipewa bahasha ikiwa na Kodi za kumuua Magufuli kwa kuwa dreva tax Hana uwezo wa kuingia IKULU kumweleza Rais ikabidi amweleze Polepole, fresh TU Polepole akamfikishia taarifa Magu bwanae utakuwašŸ˜‚šŸ¤£ MWAMba AKAJIBU stoishi MILELE, ila baadae MWAMba aliingiwa na woga

Akampigia Polepole bwanae ehehehe naomba ile taarifa wape vijana wangu wa TISS pasipokujua kuwa huenda hata TISS walikuwa kwenye genge ilo.

Polepole fresh akawaeleza weeeeeee! Wakashutuka mchongo umeshutukiwa wakati huo Mimi @SifiLeo nipo nje ya jengo la IKULU nabrashi viatu vya wateja.

Nisiende mbali alikuwa Sokoine, akauawa Magufuli akaenda, Mwigulu hata kama umechunga ng’ombe na kuikwepa Simba ila kuwa MAKINI wahuni wakikutaka wanakushenyentaaaaaaasa!
 
Mwigulu hata kama umechunga ng’ombe na kuikwepa Simba ila kuwa MAKINI wahuni wakikutaka wanakushenyentaaaaaaasa!
Japo sikukubali kabisa we jamaa kutokana na uongo uongo wako, na uzushi uzushi wako kuzushia watu vitu vyq uongo. Hata hivyo, licha ya wewe kuwa muongo na mzushi, lakini hata saa mbovu, wakati wote huwa inasema uongo, ila kuna wakati mmoja tuu, kwa nukta moja ya sekunde, saa mbovu huwa inasema kweli!, hivyo hili ulilosema hapa ni kweli, kuwa kama ni wale wahuni wameamua kumpotezea, then hatoboi!. Hili hata mimi nimesema hapa Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!

P
 
Japo sikukubali kabisa we jamaa kutokana na uongo na uzushi, lakini hata saa mbovu, wakati wote huwa inasema uongo, ila kuna wakati mmoja tuu, kwa nukta moja ya sekunde, saa mbovu huwa inasema kweli!, hivyo hili ulilosema hapa ni kweli, kuwa kama ni wale wahuni wameamua kumpotezea, then hatoboi!. Hili hata mimi nimesema hapa Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!

P
P hujakoma!
wahuni hawataki comments zako kwao!
 
Japo sikukubali kabisa we jamaa kutokana na uongo uongo wako, na uzushi uzushi wako kuzushia watu vitu vyq uongo. Hata hivyo, licha ya wewe kuwa muongo na mzushi, lakini hata saa mbovu, wakati wote huwa inasema uongo, ila kuna wakati mmoja tuu, kwa nukta moja ya sekunde, saa mbovu huwa inasema kweli!, hivyo hili ulilosema hapa ni kweli, kuwa kama ni wale wahuni wameamua kumpotezea, then hatoboi!. Hili hata mimi nimesema hapa Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!

P
Mkuu

Shikamoo
 
In Polepole’s voice anasema wahuni sio watušŸ˜‚šŸ¤£ halafu anawataja Rostam Aziz, Kikwete, Karamagi, na wengine wengi.

In Polepole’s voice anadai Kuna Mzee wa tax hapo posta Muda mwingi yeye anabeba bahasha za sanduku la posta ila siku hiyo alipewa bahasha ikiwa na Kodi za kumuua Magufuli kwa kuwa dreva tax Hana uwezo wa kuingia IKULU kumweleza Rais ikabidi amweleze Polepole, fresh TU Polepole akamfikishia taarifa Magu bwanae utakuwašŸ˜‚šŸ¤£ MWAMba AKAJIBU stoishi MILELE, ila baadae MWAMba aliingiwa na woga

Akampigia Polepole bwanae ehehehe naomba ile taarifa wape vijana wangu wa TISS pasipokujua kuwa huenda hata TISS walikuwa kwenye genge ilo.

Polepole fresh akawaeleza weeeeeee! Wakashutuka mchongo umeshutukiwa wakati huo Mimi @SifiLeo nipo nje ya jengo la IKULU nabrashi viatu vya wateja.

Nisiende mbali alikuwa Sokoine, akauawa Magufuli akaenda, Mwigulu hata kama umechunga ng’ombe na kuikwepa Simba ila kuwa MAKINI wahuni wakikutaka wanakushenyentaaaaaaasa!
Mwigulu yuko safe kwa sababu anapambana na watumishi wa umma tu ambao hawana la kumfanya. Mwigulu hagusi wanene
 
In Polepole’s voice anasema wahuni sio watušŸ˜‚šŸ¤£ halafu anawataja Rostam Aziz, Kikwete, Karamagi, na wengine wengi.

In Polepole’s voice anadai Kuna Mzee wa tax hapo posta Muda mwingi yeye anabeba bahasha za sanduku la posta ila siku hiyo alipewa bahasha ikiwa na Kodi za kumuua Magufuli kwa kuwa dreva tax Hana uwezo wa kuingia IKULU kumweleza Rais ikabidi amweleze Polepole, fresh TU Polepole akamfikishia taarifa Magu bwanae utakuwašŸ˜‚šŸ¤£ MWAMba AKAJIBU stoishi MILELE, ila baadae MWAMba aliingiwa na woga

Akampigia Polepole bwanae ehehehe naomba ile taarifa wape vijana wangu wa TISS pasipokujua kuwa huenda hata TISS walikuwa kwenye genge ilo.

Polepole fresh akawaeleza weeeeeee! Wakashutuka mchongo umeshutukiwa wakati huo Mimi @SifiLeo nipo nje ya jengo la IKULU nabrashi viatu vya wateja.

Nisiende mbali alikuwa Sokoine, akauawa Magufuli akaenda, Mwigulu hata kama umechunga ng’ombe na kuikwepa Simba ila kuwa MAKINI wahuni wakikutaka wanakushenyentaaaaaaasa!
Dereva tax ni nini? Hakuna dereva anayeweza kuendesha kodi, hiyo Tax isomeke TAXI ambayo ni gari ya kukodi.
 
Back
Top Bottom