Logo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2011
- 588
- 48
Imeniuma sana baada ya kupata maelezo ya mateso ya kijana kutoka Bukoba, nikajiaminisha kuwa Mwigulu Nchemba niye mhusika mkuu wa hili suala pale alipotamka anayo video ya viongozi wa CHADEMA wakipanga mauaji.
Mwigulu asikudanganye mtu, usiombe upate kisasi cha Mungu kwa haya unayoyafanya itakugharimu sana, wewe pia uliumbwa kwa pumzi ile ile ambayo hao uliowasababishia kesi wanateseka mahakamani.
Imeniuma sana, nadhani wewe unafurahia haya yanayotokea ila sikudanganyi UNAYOYAPANDA UTAYAVUNA HAPAHAPA DUNIANI.
Sasa ngoja tujipange turatibu kongamano la maombi ya kufunga na kuomba kitaifa ya siku 7 ya kumuomba Mungu akatilie mbali dhuluma na mateso ya waja wake, ikiwa ni pamoja na kuwaadhibu vikali wale wawatesao wana wa Mungu! Usidhani tutatangaza kama maandamano sisi ni kimya kimya yakianza kukupata mshukuru Mungu kwa kukujibu!
Nimelia machozi yangu leo, si bure. Hata kama unahitaji madaraka si bure wache watu waishi kwa amani!
http://poll.pollcode.com/sdqdu
tunaanza kwa maombi ya online fungua hii link kisha upige kura yako haya ni maombi maanisha.
Mwigulu asikudanganye mtu, usiombe upate kisasi cha Mungu kwa haya unayoyafanya itakugharimu sana, wewe pia uliumbwa kwa pumzi ile ile ambayo hao uliowasababishia kesi wanateseka mahakamani.
Imeniuma sana, nadhani wewe unafurahia haya yanayotokea ila sikudanganyi UNAYOYAPANDA UTAYAVUNA HAPAHAPA DUNIANI.
Sasa ngoja tujipange turatibu kongamano la maombi ya kufunga na kuomba kitaifa ya siku 7 ya kumuomba Mungu akatilie mbali dhuluma na mateso ya waja wake, ikiwa ni pamoja na kuwaadhibu vikali wale wawatesao wana wa Mungu! Usidhani tutatangaza kama maandamano sisi ni kimya kimya yakianza kukupata mshukuru Mungu kwa kukujibu!
Nimelia machozi yangu leo, si bure. Hata kama unahitaji madaraka si bure wache watu waishi kwa amani!
http://poll.pollcode.com/sdqdu
tunaanza kwa maombi ya online fungua hii link kisha upige kura yako haya ni maombi maanisha.