Kwahiyo nyie mliomtukana nyerer na karume ndiyo mnaona mko sahihi sana au unasumbuliwa na ii kwenye kichwa chako.
Nyerere na Karume wametukanwa lini? Na tangu lini hii CCM ya 'kisanii' imeanza kuwaheshimu Nyerere na Karume?
Kwahiyo nyie mliomtukana nyerer na karume ndiyo mnaona mko sahihi sana au unasumbuliwa na ii kwenye kichwa chako.
ni kwa vile huna uwezo wa kuelewa hoja
Pengine wanadhani machafuko yatawasaidia flush uharo uliowaziba hawa jamaa....na hawan aakili mbadalaHawa CCM kila wakati wanafikiria machafuko kutokea. Hivi wananchi hatuwezi kufikiria kuhusu mustakabali wetu? CCM ndio wanahamasisha vita. Rejea kauli ya Rais/Mwenyekiti CCM: Jeshi litapindua nchi kwa serikali 3. Mwigulu na filamu ya ugaidi na ushahidi wa mbinguni,bomu la Arusha kwenye mkutano wa Chadema(kumbuka aliwaambia watu kutakuwa na mauaji kwenye mkutano wa chadema siku moja kabla ya tukio). CCM acheni ugoigoi/legelege, kauli ya Rais. Wapigeni tu,nasema wapigwe tu, kauli ya waziri mkuu. Ongezea kauli nyingine za uchochezi toka kwa CCM.
Sasa Mwigulu anachangia bajeti ya Makamu wa Rais Muungano. Anasema kuwa anachofanya Lissu ni jitihada zake za kuwafitinisha Wazanzibari baada ya kushindwa kuwachonganisha Watanzania Bara. Anasema kuwa wakati mwingina anaona aibu kujitambulisha kuwa anatoka Singida kutokana na matendo ya Tundu Lissu. Anasema kuwa Lissu ameongea mambo mengi ambayo hana takwimu wala hakika yake. Anawashangaa Wazanzibari kwa kufurahia hotuba ya Lissu huku wanajua kuwa anafanya jitihada za kuwagombanisha. Anasema kuwa mambo yakiharibika watakaoumia ni Wazanzibari huku Lissu akifurahia kwake Singida.
Dah! Hakika wewe ni zaidi ya msukule. Kwa hiyo unatufanya Watanzania kuwa hatujasikia matusi ya Lissu kwa waasisi wa muungano wetu?Nyerere na Karume wametukanwa lini? Na tangu lini hii CCM ya 'kisanii' imeanza kuwaheshimu Nyerere na Karume?
Binafsi nimesikia hoja za Lissu. Kinachomsumbua Lissu ni uelewa. Haya mambo ya hesabu hayajui kabisa. Waziri Sada Mkuya alijitahidi kumuelimisha ila maskini Lissu, namba hazipandi kabisaaaaa!Mbona jioni kwenye kuhitimisha wakati bunge limekaa kama kamati na Lissu kurudia kauli yake na data za jinsi mgao wa 4.5% usivyotekelezwa kupelekwa Zanzibar walinywea alipotaka kuzuia mshahara wa Waziri?
Lissu alipata nafasi ya kufafanua nini kasema na wakashindwa kujibu kwa hoja na huyo Mwigulu hakujitokeza. Kama sio busara za Zungu mwenyekiti wa Bunge serikali ilikwisha umbuka.
Katika hili Mwigulu alikuwa analeta porojo tuu, na kwa vile maccm yanapenda porojo basi wameona kaongea la maana, ila ni kwamba hamna kitu pale.
Sent from my iPad using JamiiForums
Hakuna hoja ambayo Waziri wa fedha kashindwa kujibu. Tatizo ni uelewa mdogo wa masuala ya fedha wa Tundu LissuMwigulu amekimbia bungeni kwa kuhofia maswali toka kwa lissu jioni angalia Waziri wa fedha ameshindwa kujibu hoja za msingi za lissu, mwigulu alistuka akaona asepe asije akaaibika lissu Noma
Sent from my iPhone using JamiiForums
Binafsi nimesikia hoja za Lissu. Kinachomsumbua Lissu ni uelewa. Haya mambo ya hesabu hayajui kabisa. Waziri Sada Mkuya alijitahidi kumuelimisha ila maskini Lissu, namba hazipandi kabisaaaaa!
Nimemsikia vizuri,kiukweli mwigulu ni mtupu sana maneno yake yoote ni vijembe na sio hoja. Yeye kama mchumi na waziri wa fedha angemjibu hoja za Lissu sio kumkejeli na kumtukana. jamaa mtupu mno.
Huwa hajui hata ana wadhifa gani. Hana tofauti na Komba au Lusinde. Huwa najiuliza huo wadhifa wa Unaibu waziri alipewa kwa vigezo gani huyu?
Sent from my iPad using JamiiForums
Sasa Mwigulu anachangia bajeti ya Makamu wa Rais Muungano. Anasema kuwa anachofanya Lissu ni jitihada zake za kuwafitinisha Wazanzibari baada ya kushindwa kuwachonganisha Watanzania Bara. Anasema kuwa wakati mwingina anaona aibu kujitambulisha kuwa anatoka Singida kutokana na matendo ya Tundu Lissu. Anasema kuwa Lissu ameongea mambo mengi ambayo hana takwimu wala hakika yake. Anawashangaa Wazanzibari kwa kufurahia hotuba ya Lissu huku wanajua kuwa anafanya jitihada za kuwagombanisha. Anasema kuwa mambo yakiharibika watakaoumia ni Wazanzibari huku Lissu akifurahia kwake Singida.
Lizaboni umelewa kangara?Mbona title yako haiendani kabisa na huko uliko kuita kuchana chana?Lissu kaonesha unafiki wa hali ya juu. Nashukuru mheshimiwa CHOMBO. Amesema kuwa mwasisi wa Mapinduzi Sheikh Karume aliuawa na wapinga mapinduzi na muungano kama alivyo Lissu
mkuu mwenye tatizo la uelewa ni wewe! Lissu amefafanua mambo mazito sana bungeni jinsi zanzibar inavyopunjwa na tanganyika! Ndo maana wazanzibar wanamwita christiano ronaldo.! Hoja za lissu ni ngumu kujibu, ndo maana kinachojibiwa mara nyingi ni porojo, kejeli na mipasho badala ya hoja!Binafsi nimesikia hoja za Lissu. Kinachomsumbua Lissu ni uelewa. Haya mambo ya hesabu hayajui kabisa. Waziri Sada Mkuya alijitahidi kumuelimisha ila maskini Lissu, namba hazipandi kabisaaaaa!
kigezo kilikuwa uwezo wake wa kutukana na kukejeli wapinzani majukwaani" jk anagawa vyeo vya uwaziri mpaka kwa magaidi na wala rushwa!Huwa hajui hata ana wadhifa gani. Hana tofauti na Komba au Lusinde. Huwa najiuliza huo wadhifa wa Unaibu waziri alipewa kwa vigezo gani huyu?
Sent from my iPad using JamiiForums