Mwigulu Akiendelea kuwa waziri Basi ndie Rais ajae tutake tusitake. Atakuwa na timu Bora na zaidi ya Tillion 2 kibindoni

Mt
Rais ajaye ni Either Mwinyi au Inocent Bashugwa baada ya Mtaka kuchafuka

Kila kitu kinaenda sawa kwenye vetting

Marais wenye asili ya dictator hawatakuja kuongoza tena hii nchi.

Save hii!!!
Mtaka amechafukaje tena?
Je, Kachafuliwa au amejichafua?
 
Rais ajaye ni Either Mwinyi au Inocent Bashugwa baada ya Mtaka kuchafuka

Kila kitu kinaenda sawa kwenye vetting

Marais wenye asili ya dictator hawatakuja kuongoza tena hii nchi.

Save hii!!!
Mtaka amechafukaje tena?
Je, Kachafuliwa au amejichafua?
 
Haya unaandika ukiwa sawa kichwani..yaani urais ni mambo ya kuchanga karata, mtu hajui hata kupanga maneno ya kusema anaropoka tu..unajua wakati mwingine vzr mtu ujipime kiwango cha akili ulizo nazo kabla ya kuandika lolote watu wasome..
Uo Ni mtazamo wako. Lkn Ccm wamemuweka kwenye Wizara muhimu kabisa na kumiliki timu ya Mpira. Na haguswi ujue
 
Na inaonesha wanamkubali Sana na kelele zidi yake Ni za chura
Wewe ni Mwigulu mwenyewe au mke wake? Acha kumpamba/kujipamba kwani hana umaarufu wowote kama unavyolazimisha watu waamini na hata vigogo ndani ya CC hawawezi kuacha 'vijana wao pendwa' wakamng'ang'ania mlugaluga ilhali wameshajifunza baada ya kuonja joto ya jiwe pale usukani unapokuwa mikononi mwa mlugaluga.
Kwa sasa hawawezi kuiacha nchi itoke nje ya 'mikono salama'.
 
Ni udhaifu tu wa mama lakini jamaa hana sifa kabisa za waziri wa fedha... Urais ndio hauwezi kabisa kwanza ni zaidi ya dikteta!
 
Wanaomchukulia Mwigulu kirahisi rahisi wanakosea Sana.
Siwezi zungumzia uadilifu wake lkn najua anavyojua kusaka pesa akiwa kwenye mamlaka.

Alipokuwa naibu tu Wizara ya fedha kwa miaka 2 tu aliunda pesa za kutosha. Mwaka 2015 Akaanza kampeni za uraisi kirahisi Sana. Akalipia matangazo ya redio na tv karibu zote kutangaza Nia.

Mabango, mawe, Barabara vijiwe vikajaa majina ya Mwigulu Raisi.

Alipeleza pesa kidogo tu.

Alichokosea kidogo alichelewa kuunda timu. Na wenzake hawakujua mfuko wake. Wangejipendekeza Sana tu.

Wakati akina kigwangala wakipambana na Mo awakopeshe pesa za kampeni za ubunge Jamaa alibaki na mzigo wa kutosha. Akatumia helkopta kuzunguka nchi mzima na msafara binafsi. Kupiga kampeni za Uraisi ili ajisibitishie Uwaziri.

Sasa akiweza kufanya urafiki wa kinafiki na wapinzani wake Kama akina mpina, timu Jpm ili kupunguza madongo Basi ndani ya miaka 2 atakuwa na mzigo wa kutosha.

Sijui Kama Ni mfanya biashara Ila chukueni hii. Hii singida big star imeibuka na usajili wa kutosha. Mapesa ya kutosha. Mfupa wa kuendesha timu uliomuumisha kichwa Mo na Manji jamaa kautafuna Kama stake.

Anajua kujenga mifumo inayofanya na kupendezwa nae.

Nazani hatujui nguvu ya Mwigulu lkn naamini 2025 anaweza akawa na zaidi ya Tillion 2 ambazo zitamfanya kuwa na timu yenye nguvu Sana.

Jamaa Anajua watu wa kuweka kwenye timu. Sio ajabu kelele kwa mama haziwezi sikika Sababu washauri wote wa mama Ni timu yake.

Mwigulu ndio Raisi ajae.


Akawe rais wa Burundi.
 
Mzeeeee Kwan kuua watu 10 uokoe watu million 60 Kuna makosa gaaaan the man was very right lkn cc nyumbu wa kitanzania uelewa wetu Ni mdogo saaana, we are not thinking beyond the reality. Ni hayo tu mkuu!!!!
Alafu watu wenyewe ni wale wa Kibiti...
Afu kapora wezi walio kuwa wanakwepa kodi.
Maskin tulii enjoy sanaa matajiri walikunya hovyo kwa yule mwamba makonyooo
 
Nitahama nchi kabisa. Simkubali hata kidogo huyu mwizi. Sijui alipewaje hata hiyo wizara nyeti hiyo. Ameingia tu na kuanza kuiba moja kwa moja. Bahati ni mshamba,anazuzuka na pesa moja kwa moja anaanza kujionyesha wazi.

Kwa nchi zilizopiga hatua anaweza kuchezea jera vizuri
Umesema kweli Sana! Hawa mapimbi ccm wala hawaoni! Huyu ni hovyo Sana!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Bashungwa ameandakuwa kuwa waziri mkuu na wala Siyo rais pia muda si mrefu baraza la mawaziri linavunjwa afu bashungwa atapelekwa jina bungeni na kuteuliwa then atatangazwa na kuapisha chunguza msafara wake una ulinzi mkubwa
 
Mwigulu siyo cc ya ccm. Ili kuwa rais lazima mtu awe chaguo la cc ya ccm.

Kuna watu muhimu ambao ndiyo wataamua mtu awe rais wa nchi hii;-
-Kinana
..Kikwete
-Chongolo
-Shaka
Kama hujui,Mkwere na Mwigulu ni one blood.

Shaka mtoe kabisa,hana hadhi hiyo!
 
Wewe ni Mwigulu mwenyewe au mke wake? Acha kumpamba/kujipamba kwani hana umaarufu wowote kama unavyolazimisha watu waamini na hata vigogo ndani ya CC hawawezi kuacha 'vijana wao pendwa' wakamng'ang'ania mlugaluga ilhali wameshajifunza baada ya kuonja joto ya jiwe pale usukani unapokuwa mikononi mwa mlugaluga.
Kwa sasa hawawezi kuiacha nchi itoke nje ya 'mikono salama'.
Sasa ndio kapewa Wizara muhimu. Anauwezo wa kukusanya au kusamehe Kodi. Kuunda kanuni na mifumo. Yani ndio mtafuta hela na mpangaji wa matumizi.

Subiri akiwa waziri kwa miaka miwili tu Basi ndio raisi Ajae
 
Back
Top Bottom