Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,933
- 34,912
Who is mwigamba by the way?
Angalia ni THREAD ya mwaka gani kwanza kabla hujatapika matusi.......................
Who is mwigamba by the way?
kumbe na wewe kiazi...cdm hatuna watu kama wewe...Hata Kama umeamua kukataa Slaa hakurubuniwa basi ikubali hii sasa kule Chadema makao makuu slaa kaacha Deni anadaiwa million 1000 alijikopesha hizo pesa za ruzuku Kienyeji tu pia kuna pesa nyingi za chama kazipiga kijanja janja wanataka maelezo.
Kamuulize JK atakuambia. Achana na Lowassamsitaje jina la lowasa maana nakumbuka ule mkataba wa richmond unavyoitesa taifa??
Wewe nawe hajitambui kabisa. Mkamatwa na ngozi ndiye mwizi. So atawataja wezi zenzake ambayo alishirikiana nao.
Hapo naona ameanza. Na bado. Kuhusika kwa JK hakumfanyi yeye awe msafi na kutohusika na Richmond. Inaonyesha tu jinsi ambavyo hana maadili na hastahili kuaminiwa na Watanzania. Angekuwa Anajitambu angestep down on the spot Baadae ya JK kushinikiza mkataba wa Richmond. Wewe unOna ujinga unafanyika na wewe una suppot baada ya kuumbuka unasema eti mheshimiwa alilazimisha. Ulikuwa wapi kuyasema hayo zamani? Unasubiri mambo yanakuwa magumu ndo unasema eti sihusiki. Nyie wote wezi. Low._ass na Boss wako WA zamani
Huu ujumbe unawahusu wote wanaodhani CDM ni ya baba yao.
kumbe na wewe kiazi...cdm hatuna watu kama wewe...
CDM ipi hiyo yako peke yako? Tambua CDM ni Taasisi usijifanye kuwa msemaji wake wewe baki na babu yako Slaa endeleeni kutafuna pesa haramu zitawatokea puani. CDM hawakutambui huwezi kumtetea Slaa kisha ujidai wewe ni Chadema.
Mkuu, hawa CDM nadhani bora wangeachana kabisa na siasa ili wawe kundi la waigizaji washindane na akina Masanja Mkandamizaj au akina Bambo
Wewe ndiye hujitambui kwani Lowasa ndiye kaiba pesa za Escrow? Pesa za vivuko feki? Zile billion 251 wizara ya Ujenzi, EPA, buzwagi, sukari, bomba la gesi, mabehewa feki, ATC, nyumba za serikali kuuzwa kisha Magufuli akajiuzia nyumba kibao Kienyeji tu, Kaa ukijua kuwa Richmond ilizaa Dowans na Dowans ikaizaa symbion ambayo baba yako JK alimleta Obama kuja kumwekea baraka ili Watanzania wamwamini, kubali ukatae Richmond si ya Lowasa ni ya baba yao wewe.
DR SLAA AMESEMA TUSIMPIGIE KURA LOWASA SASA ALITAKA TUMPIGIE NANI?
slaa kanunuliwa na ccm? au stress tu za kukosa urais?
MASALIA KWISHA HABARI YAO,DR.SLAA ni Rais mtarajiwa wa JMT upende usipende! tutawapumuzisha mizigo yenu hapo oct.2015 jiandaeni tu kisaikolojia.
Mkuu kuna makala moja niliwahi kusoma zamani kkdogo, ikisema Rais wa chadema 2015 atatoka CCM, alisema Mwenyekiti wa CHADEMA, Moshi mjini, leo hii mada imenikumbusha huko.Dah! Kumbe haya mambo yalipangwa! Dr Slaa ni mvumilivu sana