Mwigamba: Baada ya Zitto ni Dr. Slaa

Mwigamba: Baada ya Zitto ni Dr. Slaa

Oook asaanteeeniiii!! Wahini Lumumba sasa mkachukue ujira wa siku, kazi nzuri sana vijana wangu
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa chadema mkoa wa Arusha Samson Mwigamba amesema kuwa mpango unaofuata kwa sasa ni kumuondoa Dr slaa ndani ya chadema.
amesema baada ya zitto kuondolewa ndani ya chama mtu atayefuata katika kushughulikiwa ni Dr Slaa ambaye kwa sasa amekuwa amekuwa akifanya shughuli za chama kwa kupelekwa pelekwa bila yeye mwenyewe kujua.

Mwigamba amesema kuwa upo mkakati kabambe unaendeshwa na baadhi ya watu kwa kushirikiana na watu walio nje ya chama ili kukimaliza chama kabla ya kufika kwenye uchaguzi mkuu 2015.
Amesema kuwa Mwenyekiti wao Freeman Mbowe ambaye yupo karibu sana na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ndio vinara wa mkakati wa kukiangamiza chama, huku John mnyika na Tundu Lissu wakijiweka mbele bila kujua hatima yao.

View attachment 127642 View attachment 127643
source; Rai Jumatano.desemba 18,2013.

Utasema yoke, nasikia hata kwenye mkakati wa MM23 Mwigamba amekatwa pesa
 
Hata chadema ikifa ccm haitakuwa salama watanzania sio kuwa tunaipenda chadema sana ila dhuluma ya ccm ndo inafanya tuangalia chama mbadala.
 
mwigamba ni mwanasiasa mwamba ambaye anainyima raha na usingizi ameweka wazi kuwa dr slaa kwa sasa anafanya siasa za kupelekwa pelekwa tu.

uliyoyaandika yanawiana (relevant) na upeo wako, wala hatuwezi kukushangaa au kuhoji lolote lakini huyo bro ndo kafuitika ivoo kwenye medani za siasa hapa.
 
Naona ameanza kuchanganyikiwa sasa, yeye ndo mwenye mpango wa kuimaliza CDM na hatafanikiwa.

100% Mwigamba kachanganyikiwa!

Hakujua kama mipango yao itagundulika mapema kabla hajalipwa maana ndani ya waraka kuna kipengele wakubwa zake akina Zitto wanasema wamtumie Milion 2 haraka kwani ana njaa sana!

Pole Mwigamba!CHADEMA ni zaidi ya mtu!CHADEMA ni taasisi
 
hawa wanafiki wanasubiri kutimuliwa hicho kirehere kitakwisha labda yeye na wenzake ndo wana mpango wa kumfukuza hawatafanikiwa kamwe hawana cheo chadema
 
Kabla hamjaanza kumshambulia Mwigamba jiulizeni hivi M2 ameshapatikana?Isijekuwa kuwa M2 anayezungumziwa na kina Tundu Lissu ndio Dr Slaa?...I am just connecting the dots here.Huenda hawataki kuitumia njia ile waliyoitumia kwa akina Zitto kwa kuhofia mipango yao kubuma,Nahisi njia watakayoitumia kwa Dr Slaa itafanana na ile iliyotumika kwa yule Rasta wa Mara.Afterall kitambo tu tumeshajua kuwa Billicanas Boy yupo katika pay-roll ya Mzee wa Monduli anayeusaka Urais kwa udi na uvumba.

mhhhh naanza ku-connect dots.
 
Mnafurahisha Hiki chama ni zaidi ya mtu ndo mlivyomdangaya MM kuwa yeye ni maarufu kuliko chama sio......Mwigamba anatimiza wajibu wake kwani fedha alizopewa zilikuwa kwa kazi gani.......mtahangaika sana chama kipo mioyoni mwa watanzania ninyi endeleeni kufarijiana huku mitandaoni
 
Kwa hiyo hii single ya Mwigamba sio kweli.. Inavyoelekea hukushirikishwa kwenye single hii wewe..

Ninamaana, Mbowe ni bomu zaidi Slaa, wote ni mabomu ila Mbowe kazidi, na Slaa naye anajisahau yuko bize anaimarisha chama cha familia ya wenyewe, ila wakimtimua tu, muziki una fade away! Haya tusubiri!
 
Mpasuko mkubwa unaokuja soon ni wa CCM,Ambao kama ingeleikuwa ni mvua basi tungesema wingu jeusi tayari na matone yashaanza kudondoka na walioanika nguo na unga wanakimbia kwenda kuanua.
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa chadema mkoa wa Arusha Samson Mwigamba amesema kuwa mpango unaofuata kwa sasa ni kumuondoa Dr slaa ndani ya chadema.
amesema baada ya zitto kuondolewa ndani ya chama mtu atayefuata katika kushughulikiwa ni Dr Slaa ambaye kwa sasa amekuwa amekuwa akifanya shughuli za chama kwa kupelekwa pelekwa bila yeye mwenyewe kujua.

Mwigamba amesema kuwa upo mkakati kabambe unaendeshwa na baadhi ya watu kwa kushirikiana na watu walio nje ya chama ili kukimaliza chama kabla ya kufika kwenye uchaguzi mkuu 2015.
Amesema kuwa Mwenyekiti wao Freeman Mbowe ambaye yupo karibu sana na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ndio vinara wa mkakati wa kukiangamiza chama, huku John mnyika na Tundu Lissu wakijiweka mbele bila kujua hatima yao.

View attachment 127642 View attachment 127643
source; Rai Jumatano.desemba 18,2013.
DR Slaa kama akishinda urais adui wake mkuu atakuwa Mhe. Mbowe, hii imetokea kwa Nyerere na Kambona, Mwinyi na Mrema, Mkapa na Jenerali Ulimwengu au kwa mfano wa hivi Karibuni Kikwete na Lowasa. Hivyo ili ku consolidate power Dr Slaa atapenda kuwa shadowed na Mbowe ambae ametumia nguvu yake kubwa kuiimarisha Chadema
 
Huyu kweli anazidi kurahisisha kazi ya Kamati Kuu, sijui vipi na ile kesi yake waliosema ya uchochezi aliyo ng'ang'aniwa na mapolisi inaendaje... na ukosefu wa ajira nadhani ni vitu vinavyozidi kumchanganya mdogo wangu huyu.
Kwa kweli ni wakati wa kutulia sana kwake aangalie anaenda wapi sasa!
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa chadema mkoa wa Arusha Samson Mwigamba amesema kuwa mpango unaofuata kwa sasa ni kumuondoa Dr slaa ndani ya chadema.
amesema baada ya zitto kuondolewa ndani ya chama mtu atayefuata katika kushughulikiwa ni Dr Slaa ambaye kwa sasa amekuwa amekuwa akifanya shughuli za chama kwa kupelekwa pelekwa bila yeye mwenyewe kujua.

Mwigamba amesema kuwa upo mkakati kabambe unaendeshwa na baadhi ya watu kwa kushirikiana na watu walio nje ya chama ili kukimaliza chama kabla ya kufika kwenye uchaguzi mkuu 2015.
Amesema kuwa Mwenyekiti wao Freeman Mbowe ambaye yupo karibu sana na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ndio vinara wa mkakati wa kukiangamiza chama, huku John mnyika na Tundu Lissu wakijiweka mbele bila kujua hatima yao.

View attachment 127642 View attachment 127643
source; Rai Jumatano.desemba 18,2013.
unasikitisha sana yaani unataka kugeuza mkakati wenu wa ma mm m1 m2 m3 kuwa ni mkakati wa cdm?nahisi umeanza kuchanganyikiwa waombe mm wenzako wakusaidie ile milioni mbili uendelee kuzungusha hadi mtakapoanzasha chama chenu.
 
Mwigamba naye amehamia rasmi Lumumba (LB7)? Kweli hali imekuwa mbaya sana. Kutoka uenyekiti wa Mkoa mpaka kulipwa buku saba kwa thread? Hii imekaa vibaya sana.
 
Mwigamba naye amehamia rasmi Lumumba (LB7)? Kweli hali imekuwa mbaya sana. Kutoka Uenyekiti wa mkoa mpaka kukumbizana na buku saba za Lumumba!!!
 
Back
Top Bottom