Mwigamba: Baada ya Zitto ni Dr. Slaa

Mwigamba: Baada ya Zitto ni Dr. Slaa

mwigamba ni mwanasiasa mwamba ambaye anainyima raha na usingizi ameweka wazi kuwa dr slaa kwa sasa anafanya siasa za kupelekwa pelekwa tu.

Mpeni uenyekiti CCM then agombee urais 2015
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa chadema mkoa wa Arusha Samson Mwigamba amesema kuwa mpango unaofuata kwa sasa ni kumuondoa Dr slaa ndani ya chadema.
amesema baada ya zitto kuondolewa ndani ya chama mtu atayefuata katika kushughulikiwa ni Dr Slaa ambaye kwa sasa amekuwa amekuwa akifanya shughuli za chama kwa kupelekwa pelekwa bila yeye mwenyewe kujua.

Mwigamba amesema kuwa upo mkakati kabambe unaendeshwa na baadhi ya watu kwa kushirikiana na watu walio nje ya chama ili kukimaliza chama kabla ya kufika kwenye uchaguzi mkuu 2015.
Amesema kuwa Mwenyekiti wao Freeman Mbowe ambaye yupo karibu sana na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ndio vinara wa mkakati wa kukiangamiza chama, huku John mnyika na Tundu Lissu wakijiweka mbele bila kujua hatima yao.

View attachment 127642 View attachment 127643
source; Rai Jumatano.desemba 18,2013.

Acha kujisumbua!
 
Hizi ni kauli za mfa maji.Ngoja tusubiri kwani wakati ukuta.
Aliyekuwa mwenyekiti wa chadema mkoa wa Arusha Samson Mwigamba amesema kuwa mpango unaofuata kwa sasa ni kumuondoa Dr slaa ndani ya chadema.
amesema baada ya zitto kuondolewa ndani ya chama mtu atayefuata katika kushughulikiwa ni Dr Slaa ambaye kwa sasa amekuwa amekuwa akifanya shughuli za chama kwa kupelekwa pelekwa bila yeye mwenyewe kujua.

Mwigamba amesema kuwa upo mkakati kabambe unaendeshwa na baadhi ya watu kwa kushirikiana na watu walio nje ya chama ili kukimaliza chama kabla ya kufika kwenye uchaguzi mkuu 2015.
Amesema kuwa Mwenyekiti wao Freeman Mbowe ambaye yupo karibu sana na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ndio vinara wa mkakati wa kukiangamiza chama, huku John mnyika na Tundu Lissu wakijiweka mbele bila kujua hatima yao.

View attachment 127642 View attachment 127643
source; Rai Jumatano.desemba 18,2013.
 
Mwacheni aruke ruke kama maharage chunguni! kwisha habari yake huyo kalumekenge.
 
Huyu msaliti MM3 nimezikuta habari zake huko home MAGU,Alituma mil 1.6 kwa lengo la kuvuruga na kuandaa mazingira ya kuweka mtandao wao wa usaliti kwa kuwatumia ZENA ambaye ni diwani viti maalumu,BAHATI ambaye ni kiongozi wa BAVICHA,BUBESHI ambaye ni kada tu, CHACHA ambaye ndiye katibu wa CDM wilaya.Makamanda walishitukia hujuma hizo na kuzizima mara moja na ikumbukwe kuwa ndiko nyumbani kwao na huyo mamluki.waliokaribu naye wamtonye na kama si kweli basi ajitokeze akane!
 
Acha majungu subiri hukumu ya Mwisho dhidi yako.Wewe hukuwa na hadhi ya kuwa mwenyekiti wa mkoa Kama Arusha.ULiletwa letwa tu leo unapepeta.ULichaguliwa na nani Wewe kuwa m/kiti ishia Hugo huko.Unawivu na LEma Wewe.LEma alithubutu Wewe ukabaki na laptop kupiga ombea .HAkunaga chama Keene laptop chama ni kuwafikia watu Arusha ninCHadema Arusha ni LEma
 
Mpeni uenyekiti CCM then agombee urais 2015

Ni kweli nimekubali ukitaka kuiba sehemu kuna mbwa nenda na nyama! Hii desturi ya kila kitu ni kusingizia CCM hakika CDM itajizika,coz saiv hawana hoja zaidi ya mipasho!
 
Huyu msaliti MM3 nimezikuta habari zake huko home MAGU,Alituma mil 1.6 kwa lengo la kuvuruga na kuandaa mazingira ya kuweka mtandao wao wa usaliti kwa kuwatumia ZENA ambaye ni diwani viti maalumu,BAHATI ambaye ni kiongozi wa BAVICHA,BUBESHI ambaye ni kada tu, CHACHA ambaye ndiye katibu wa CDM wilaya.Makamanda walishitukia hujuma hizo na kuzizima mara moja na ikumbukwe kuwa ndiko nyumbani kwao na huyo mamluki.waliokaribu naye wamtonye na kama si kweli basi ajitokeze akane!

Kuna siku yaja ukweli wote utajulikana!
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa chadema mkoa wa Arusha Samson Mwigamba amesema kuwa mpango unaofuata kwa sasa ni kumuondoa Dr slaa ndani ya chadema.
amesema baada ya zitto kuondolewa ndani ya chama mtu atayefuata katika kushughulikiwa ni Dr Slaa ambaye kwa sasa amekuwa amekuwa akifanya shughuli za chama kwa kupelekwa pelekwa bila yeye mwenyewe kujua.

Mwigamba amesema kuwa upo mkakati kabambe unaendeshwa na baadhi ya watu kwa kushirikiana na watu walio nje ya chama ili kukimaliza chama kabla ya kufika kwenye uchaguzi mkuu 2015.
Amesema kuwa Mwenyekiti wao Freeman Mbowe ambaye yupo karibu sana na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ndio vinara wa mkakati wa kukiangamiza chama, huku John mnyika na Tundu Lissu wakijiweka mbele bila kujua hatima yao.

View attachment 127642 View attachment 127643
source; Rai Jumatano.desemba 18,2013.

Baada ya mwigamba nani.......? na baada ya Kitila mkumbo nani.....?
 
Back
Top Bottom