Susuviri
JF-Expert Member
- Oct 6, 2007
- 3,713
- 891
We Na akili Zako Zote Umeona Fisadi Ni Lowassa Tu? Si Tuntoa Mfumo Wa Kifisadi Ulioko CCM. Hatutishiki Na Maneno Kama Hayo
So mnajua ni fisadi na bado mnamshabikia?
We Na akili Zako Zote Umeona Fisadi Ni Lowassa Tu? Si Tuntoa Mfumo Wa Kifisadi Ulioko CCM. Hatutishiki Na Maneno Kama Hayo
Wana jamii kitendo cha kumuweka pembeni Mheshimiwa Dr Slaa aliyekijenga chama na kupa wafuasi wengi na hatimae kumuweka pembeni asigombee Urais inaweza kulinganishwa na sawa na Dr SLAA KULEA MIMBA YA BABA MWINGINE, yaani sawa na Dr. Slaa Kulea mimba ya dada aliyepewa na LOWASA. ukweli inauma saana, POLE SANA DR SLAA,
msitaje jina la lowasa maana nakumbuka ule mkataba wa richmond unavyoitesa taifa??
Mkataba upi? Richmond ipi ya Lowasa? Kaa ukijua kuwa Richmond ni ya baba yako JK , lowasa hahusiki na Richmond keshasema Ukweli kuwa mwenye Richmond ni JK sasa ni jukumu lako kumuuliza huyo mmiliki wa Richmond mwenyewe acha kumhusisha Lowasa na miladi ya jk.
Wewe upo Nchi gani? Kwani haupo Tanzania? Yaani haujui kuwa Slaa na Lipumba wamenunuliwa na Membe kwa kutumia mapesa ya Marehemu Gadafi ili kumkomoa Lowasa ? Madalali wa hiyo kazi walikuwa Nape Makonda na mpambe wa Membe anayeitwa Jack Gotham, hawa ndiyo walitumika kumrubuni slaa mpaka kaamua kuchukua pesa na kujiweka pembeni mwenyewe.
Mbowe asipokuwa makini mwisho wa siku atabaki yeye na Joyce Mukya tu ndani ya CHADEMA
mkuu hili jukwaa wanapita watu wazima lakini
Duh kumbe Mwigamba alikuwa sawa...kaazi kwelikweli
mkuu tafadhari mtoe mzee wetu dr slaa kwenye huo upuuzi...huyo mwingine siwezi msemeaWewe upo Nchi gani? Kwani haupo Tanzania? Yaani haujui kuwa Slaa na Lipumba wamenunuliwa na Membe kwa kutumia mapesa ya Marehemu Gadafi ili kumkomoa Lowasa ? Madalali wa hiyo kazi walikuwa Nape Makonda na mpambe wa Membe anayeitwa Jack Gotham, hawa ndiyo walitumika kumrubuni slaa mpaka kaamua kuchukua pesa na kujiweka pembeni mwenyewe.
Aliyekuwa mwenyekiti wa chadema mkoa wa Arusha Samson Mwigamba amesema kuwa mpango unaofuata kwa sasa ni kumuondoa Dr slaa ndani ya chadema.
amesema baada ya zitto kuondolewa ndani ya chama mtu atayefuata katika kushughulikiwa ni Dr Slaa ambaye kwa sasa amekuwa amekuwa akifanya shughuli za chama kwa kupelekwa pelekwa bila yeye mwenyewe kujua.
Mwigamba amesema kuwa upo mkakati kabambe unaendeshwa na baadhi ya watu kwa kushirikiana na watu walio nje ya chama ili kukimaliza chama kabla ya kufika kwenye uchaguzi mkuu 2015.
Amesema kuwa Mwenyekiti wao Freeman Mbowe ambaye yupo karibu sana na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ndio vinara wa mkakati wa kukiangamiza chama, huku John mnyika na Tundu Lissu wakijiweka mbele bila kujua hatima yao.
![]()
![]()
source; Rai Jumatano.desemba 18,2013.
Mkataba upi? Richmond ipi ya Lowasa? Kaa ukijua kuwa Richmond ni ya baba yako JK , lowasa hahusiki na Richmond keshasema Ukweli kuwa mwenye Richmond ni JK sasa ni jukumu lako kumuuliza huyo mmiliki wa Richmond mwenyewe acha kumhusisha Lowasa na miladi ya jk.
mkuu tafadhari mtoe mzee wetu dr slaa kwenye huo upuuzi...huyo mwingine siwezi msemea