Mwigamba: Baada ya Zitto ni Dr. Slaa

Mwigamba: Baada ya Zitto ni Dr. Slaa

Wana jamii kitendo cha kumuweka pembeni Mheshimiwa Dr Slaa aliyekijenga chama na kupa wafuasi wengi na hatimae kumuweka pembeni asigombee Urais inaweza kulinganishwa na sawa na Dr SLAA KULEA MIMBA YA BABA MWINGINE, yaani sawa na Dr. Slaa Kulea mimba ya dada aliyepewa na LOWASA. ukweli inauma saana, POLE SANA DR SLAA,
 
DSC01105.jpg
 
Hizi ni Lugha za kuudhi yafaa ufungiwe mwaka usione jf kabisa.
 
msitaje jina la lowasa maana nakumbuka ule mkataba wa richmond unavyoitesa taifa??
 
Wana jamii kitendo cha kumuweka pembeni Mheshimiwa Dr Slaa aliyekijenga chama na kupa wafuasi wengi na hatimae kumuweka pembeni asigombee Urais inaweza kulinganishwa na sawa na Dr SLAA KULEA MIMBA YA BABA MWINGINE, yaani sawa na Dr. Slaa Kulea mimba ya dada aliyepewa na LOWASA. ukweli inauma saana, POLE SANA DR SLAA,

Wewe upo Nchi gani? Kwani haupo Tanzania? Yaani haujui kuwa Slaa na Lipumba wamenunuliwa na Membe kwa kutumia mapesa ya Marehemu Gadafi ili kumkomoa Lowasa ? Madalali wa hiyo kazi walikuwa Nape Makonda na mpambe wa Membe anayeitwa Jack Gotham, hawa ndiyo walitumika kumrubuni slaa mpaka kaamua kuchukua pesa na kujiweka pembeni mwenyewe.
 
msitaje jina la lowasa maana nakumbuka ule mkataba wa richmond unavyoitesa taifa??

Mkataba upi? Richmond ipi ya Lowasa? Kaa ukijua kuwa Richmond ni ya baba yako JK , lowasa hahusiki na Richmond keshasema Ukweli kuwa mwenye Richmond ni JK sasa ni jukumu lako kumuuliza huyo mmiliki wa Richmond mwenyewe acha kumhusisha Lowasa na miladi ya jk.
 
Mkataba upi? Richmond ipi ya Lowasa? Kaa ukijua kuwa Richmond ni ya baba yako JK , lowasa hahusiki na Richmond keshasema Ukweli kuwa mwenye Richmond ni JK sasa ni jukumu lako kumuuliza huyo mmiliki wa Richmond mwenyewe acha kumhusisha Lowasa na miladi ya jk.

siongei sana ... hapo vipi
 

Attachments

  • 1440151194191.jpg
    1440151194191.jpg
    49.4 KB · Views: 178
Wewe upo Nchi gani? Kwani haupo Tanzania? Yaani haujui kuwa Slaa na Lipumba wamenunuliwa na Membe kwa kutumia mapesa ya Marehemu Gadafi ili kumkomoa Lowasa ? Madalali wa hiyo kazi walikuwa Nape Makonda na mpambe wa Membe anayeitwa Jack Gotham, hawa ndiyo walitumika kumrubuni slaa mpaka kaamua kuchukua pesa na kujiweka pembeni mwenyewe.

mkuu hili jukwaa wanapita watu wazima lakini
 
Mbowe asipokuwa makini mwisho wa siku atabaki yeye na Joyce Mukya tu ndani ya CHADEMA

Waliobaki wote wamelishwa Yamini hawanunuliki tena, wewe makonda nenda Dubai ukapake Rangi kale kajumba ulikonunua huko ili ikimbilie pindi Ukawa wakiingia ikulu, hamchoki kumchuna Membe? Hamchoki kuichuna CCM? Hamchoki kuwachuna Wahindi? Serikali ya China si imewapa pesa Nyingi kwa Ajili ya Kampeni zimeenda wapi? au wewe Makonda na Nape mmezipiga tena kwa kisingizio cha kwenda kuibomoa Ukawa? Membe karibia atamaliza yale mapesa ya Marehemu Gadafi na laana ya Marehemu balozi wa libya imeanza kumwandama sana amekonda sana hapati Usingizi baada ya kugundua mmekula pesa zake na bado Lowasa yupo juu huku Ukawa ikiimarika zaidi.
 
mkuu hili jukwaa wanapita watu wazima lakini

Nani kakuambia watu wazima ndiyo wenye busara? Mbona Slaa na Lipumba ni wazee lakini wamerubuniwa na Makonda kijana Mdogo tu.
 
Wewe upo Nchi gani? Kwani haupo Tanzania? Yaani haujui kuwa Slaa na Lipumba wamenunuliwa na Membe kwa kutumia mapesa ya Marehemu Gadafi ili kumkomoa Lowasa ? Madalali wa hiyo kazi walikuwa Nape Makonda na mpambe wa Membe anayeitwa Jack Gotham, hawa ndiyo walitumika kumrubuni slaa mpaka kaamua kuchukua pesa na kujiweka pembeni mwenyewe.
mkuu tafadhari mtoe mzee wetu dr slaa kwenye huo upuuzi...huyo mwingine siwezi msemea
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa chadema mkoa wa Arusha Samson Mwigamba amesema kuwa mpango unaofuata kwa sasa ni kumuondoa Dr slaa ndani ya chadema.

amesema baada ya zitto kuondolewa ndani ya chama mtu atayefuata katika kushughulikiwa ni Dr Slaa ambaye kwa sasa amekuwa amekuwa akifanya shughuli za chama kwa kupelekwa pelekwa bila yeye mwenyewe kujua.

Mwigamba amesema kuwa upo mkakati kabambe unaendeshwa na baadhi ya watu kwa kushirikiana na watu walio nje ya chama ili kukimaliza chama kabla ya kufika kwenye uchaguzi mkuu 2015.

Amesema kuwa Mwenyekiti wao Freeman Mbowe ambaye yupo karibu sana na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ndio vinara wa mkakati wa kukiangamiza chama, huku John mnyika na Tundu Lissu wakijiweka mbele bila kujua hatima yao.

attachment.php
attachment.php

source; Rai Jumatano.desemba 18,2013.

Kweli UWONGO hupanda tarattibu na UKWELI hupanda kwa ngazi..........................Cc Mzee Mwanakijiji
 
Last edited by a moderator:
Mkataba upi? Richmond ipi ya Lowasa? Kaa ukijua kuwa Richmond ni ya baba yako JK , lowasa hahusiki na Richmond keshasema Ukweli kuwa mwenye Richmond ni JK sasa ni jukumu lako kumuuliza huyo mmiliki wa Richmond mwenyewe acha kumhusisha Lowasa na miladi ya jk.

Wewe nawe hajitambui kabisa. Mkamatwa na ngozi ndiye mwizi. So atawataja wezi zenzake ambayo alishirikiana nao.
Hapo naona ameanza. Na bado. Kuhusika kwa JK hakumfanyi yeye awe msafi na kutohusika na Richmond. Inaonyesha tu jinsi ambavyo hana maadili na hastahili kuaminiwa na Watanzania. Angekuwa Anajitambu angestep down on the spot Baadae ya JK kushinikiza mkataba wa Richmond. Wewe unOna ujinga unafanyika na wewe una suppot baada ya kuumbuka unasema eti mheshimiwa alilazimisha. Ulikuwa wapi kuyasema hayo zamani? Unasubiri mambo yanakuwa magumu ndo unasema eti sihusiki. Nyie wote wezi. Low._ass na Boss wako WA zamani
 
mkuu tafadhari mtoe mzee wetu dr slaa kwenye huo upuuzi...huyo mwingine siwezi msemea

Hata Kama umeamua kukataa Slaa hakurubuniwa basi ikubali hii sasa kule Chadema makao makuu slaa kaacha Deni anadaiwa million 1000 alijikopesha hizo pesa za ruzuku Kienyeji tu pia kuna pesa nyingi za chama kazipiga kijanja janja wanataka maelezo.
 
Back
Top Bottom