Mwibara: Baada ya Tundu Lissu kuzuia njia ili kivuko kisishushe magari na mizigo, azua tafrani baada ya maiti kukwama kwenda kuzikwa. Tazama video

Wewe nu muongo na umetumia nguvu nyingi kuwadanganya watu! Ngoja tukueleze ukweli: Wakati msafara wa Lissu ulipofika Kisorya saa 3.00 asubuhi kivuko kilikuwa Ukerewe na DC Magembe alikizuia kuja Kisorya "Eti ni Kibovu" na ilipofika saa 5.20 asb wapenda UHURU wakajitolewa kuwavusha kwa Mtumbwi wa Injini. Apoanza kuendesha mkutano wake kivuko kikaendelea na shughuli zake tena. Watati akikaribia kuondoka kwenye mkutano, DC akaamuru kivuko kitoke haraka kiende upande wa Kisorya ili Lissu apate adha nyingine. Hivyo kivuko kilipofika kisorya kikiwa na mabasi hayo, wananchi wakaziba njia wakidai "Kivuko hakitaruhusiwa kuteremsha magari kama Tundu Lissu hayumo" Kwamba bila lissu haushushi gari hapa na hivyo walilazimika kurejea ng'ambo ya pili kumchukua Lissu. Nguvu ya Watu ilifanya kazi baada ya UJINGA wa DC kuwachosha.
Asante sana Jarateng kutupasha habari kwa ufasaha kabisa ya nini hasa kilichotokea.
Huo ndio uzalendo unaotakiwa
 
Jana niliweka video humu ikionyesha Tundu Lissu kuzuia njia kwa magari yake ili kivuko kisiweze kushusha abiria na mizigo. Wapo waliosema kuwa nilikuwa nadanganya umma. Haya fuatilieni video hapo chini watu wanalalamika kuwa maiti zao zinachacha kwenye kivuko.

Shukeni msukumeno kwa meno amkutumwa kupanda kivuko kibovu
 
Pamoja na kuzuia pantoni still injili ya ukombozi imefika ukerewe, wakati wwe una mawazo ya miaka ya 70 wenzio Wana global vision
 
Utazuiaje kivuko ambacho ni kibovu? Tundu Lissu aliacha magari yake na kuondoka na madereva baada ya kuambiwa kuwa kivuko ni kibovu na hakitafanya kazi siku hiyo. Inaelekea wote waliamini ndio maana wenye mamlaka na kituo walimruhusu aache magari pale. Ama sivyo wangesisitiza abaki angalau dereva mmoja ili ayasogeze kama itakiwa kufanya hivyo. Shida ni kuwa hawakujua Mungu ni wa maujiza na mara baada ya Lissu kuondoka kivuko kikapona.

Amandla....
Kivuko kikiwa kibovu unatakiwa utoe magari yako .

Halafu aliondokaje na madereva badala ya wao kubaki na magari yao?
 
Wewe nu muongo na umetumia nguvu nyingi kuwadanganya watu! Ngoja tukueleze ukweli: Wakati msafara wa Lissu ulipofika Kisorya saa 3.00 asubuhi kivuko kilikuwa Ukerewe na DC Magembe alikizuia kuja Kisorya "Eti ni Kibovu" na ilipofika saa 5.20 asb wapenda UHURU wakajitolewa kuwavusha kwa Mtumbwi wa Injini. Apoanza kuendesha mkutano wake kivuko kikaendelea na shughuli zake tena. Watati akikaribia kuondoka kwenye mkutano, DC akaamuru kivuko kitoke haraka kiende upande wa Kisorya ili Lissu apate adha nyingine. Hivyo kivuko kilipofika kisorya kikiwa na mabasi hayo, wananchi wakaziba njia wakidai "Kivuko hakitaruhusiwa kuteremsha magari kama Tundu Lissu hayumo" Kwamba bila lissu haushushi gari hapa na hivyo walilazimika kurejea ng'ambo ya pili kumchukua Lissu. Nguvu ya Watu ilifanya kazi baada ya UJINGA wa DC kuwachosha.
Jarateng wewe ni mwandishi unayeandika ukweli siku zote bila unafiki wala kujikomba.
Sasa nimeshaona ni kwa nini UTPC walikuwa wanakupiga vita chini kwa chini ili usifike wakati walao ukawa mjumbe wa Bodi au Rais wa UTPC kupitia kile chama chenu cha mkoa huko Mara au Mwanza kama sikosei na kumuweka puppet wao mjanja mjanja.
Nilishiriki nawe mkutano mkuu mmoja niliona ulivyo kuwa na hoja imara na jinsi wadhaniao UTPC ni mali yao walivyokuwa wana haha na kuunda mbinu.
Anyway, hii ni mada tofauti lakini waandishi mkiwa wakweli mtasaidia sana kuondoa huu upotoshaji. Wahariri wengi hapa Dar wanabeba na kuchakata habari hata za uongo toka mikoani kumbe waandishi huko wako kwenye payroll za ofisi za RC au CCM huko huko mikoani.
Lissu ana habari nyingi sana za kuvutia lakini waandishi hawaziandiki tokea huko.
 
Jana niliweka video humu ikionyesha Tundu Lissu kuzuia njia kwa magari yake ili kivuko kisiweze kushusha abiria na mizigo. Wapo waliosema kuwa nilikuwa nadanganya umma. Haya fuatilieni video hapo chini watu wanalalamika kuwa maiti zao zinachacha kwenye kivuko.

Jana niliweka video humu ikionyesha Tundu Lissu kuzuia njia kwa magari yake ili kivuko kisiweze kushusha abiria na mizigo. Wapo waliosema kuwa nilikuwa nadanganya umma. Haya fuatilieni video hapo chini watu wanalalamika kuwa maiti zao zinachacha kwenye kivuko.

Delete ccm Oct 28
 
Kivuko kikiwa kibovu unatakiwa utoe magari yako .

Halafu aliondokaje na madereva badala ya wao kubaki na magari yao?

Magari yalikuwa yanachunga nafasi yao kwenye foleni ili kivuko kikipona kesho yake wasianzie nyuma. Madereva walienda kula na kupumzika wakingoja kivuko kitengemae. Ni kama wakati ule tulipokuwa kuna migao ya chakula na nguo, watu walikuwa wanaacha kajiwe au alama nyingine kwenye nafasi yake halafu wanaenda kufanya shughuli nyingine. Au ukienda stendi ukaambiwa basi ulilokatia tiketi ni bovu lakini wanategemea litatengemaa baada ya muda fulani. Ukisikia hivyo unakabidhi mizigo yako kwa wahusika halafu unaenda kufanya shughuli nyingine. Madereva waliacha magari yao chini ya ulinzi wa mamlaka ya kituo cha kivuko.

Amandla...
 
Mbona huyo Lissu hapo haonekani wala hajatajwa hata jina nahao wanaolalamika

Pia yupo askari hapo,kama ameona kiusalama zaidi ni vyema upande mmoja ukazuiwa ili upande mwingine uondoke likowapi tatizo?Na kama ameweza kuzuiya wasafiri wengine mbele ya polisi Vila ridhaa ya polisi sasa hapo nani alaumiwe.

Hivi wewe mleta mada hujawahi kuzuiwa barabarani zaidi ya lisaa ukisubiri msafara wa kiongozi upite?
hili shamba tu lina tumalizia mb
 
Back
Top Bottom