Nenda kathibitisheHiyo maiti yenyewe iko wapi?
Na ferry imetoka wapi maana ilikuwa imeharibika?
Nenda kathibitisheHiyo maiti yenyewe iko wapi?
Na ferry imetoka wapi maana ilikuwa imeharibika?
Asante sana Jarateng kutupasha habari kwa ufasaha kabisa ya nini hasa kilichotokea.Wewe nu muongo na umetumia nguvu nyingi kuwadanganya watu! Ngoja tukueleze ukweli: Wakati msafara wa Lissu ulipofika Kisorya saa 3.00 asubuhi kivuko kilikuwa Ukerewe na DC Magembe alikizuia kuja Kisorya "Eti ni Kibovu" na ilipofika saa 5.20 asb wapenda UHURU wakajitolewa kuwavusha kwa Mtumbwi wa Injini. Apoanza kuendesha mkutano wake kivuko kikaendelea na shughuli zake tena. Watati akikaribia kuondoka kwenye mkutano, DC akaamuru kivuko kitoke haraka kiende upande wa Kisorya ili Lissu apate adha nyingine. Hivyo kivuko kilipofika kisorya kikiwa na mabasi hayo, wananchi wakaziba njia wakidai "Kivuko hakitaruhusiwa kuteremsha magari kama Tundu Lissu hayumo" Kwamba bila lissu haushushi gari hapa na hivyo walilazimika kurejea ng'ambo ya pili kumchukua Lissu. Nguvu ya Watu ilifanya kazi baada ya UJINGA wa DC kuwachosha.
Shukeni msukumeno kwa meno amkutumwa kupanda kivuko kibovuJana niliweka video humu ikionyesha Tundu Lissu kuzuia njia kwa magari yake ili kivuko kisiweze kushusha abiria na mizigo. Wapo waliosema kuwa nilikuwa nadanganya umma. Haya fuatilieni video hapo chini watu wanalalamika kuwa maiti zao zinachacha kwenye kivuko.
Kama popoHauleweki!!
Kivuko kikiwa kibovu unatakiwa utoe magari yako .Utazuiaje kivuko ambacho ni kibovu? Tundu Lissu aliacha magari yake na kuondoka na madereva baada ya kuambiwa kuwa kivuko ni kibovu na hakitafanya kazi siku hiyo. Inaelekea wote waliamini ndio maana wenye mamlaka na kituo walimruhusu aache magari pale. Ama sivyo wangesisitiza abaki angalau dereva mmoja ili ayasogeze kama itakiwa kufanya hivyo. Shida ni kuwa hawakujua Mungu ni wa maujiza na mara baada ya Lissu kuondoka kivuko kikapona.
Amandla....
Ukijua huu wenzio wanajua hiiKivuko kikiwa kibovu unatakiwa utoe magari yako .
Halafu aliondokaje na madereva badala ya wao kubaki na magari yao?
Kila mfanyalo linakurudieni mara 7,kivuko kibovu baada ya Lisu kukifata ukerewe kivuko kimepona kimemkimbia lisu ukerewe kirudi kupaki alipotoka Lisu kiendelee kuwa kibovu,aisee mtakufa kwa roho mbaya zenuKivuko kikiwa kibovu unatakiwa utoe magari yako .
Halafu aliondokaje na madereva badala ya wao kubaki na magari yao?
Masikin wakupindukia wewe pumbavu.Jana niliweka video humu ikionyesha Tundu Lissu kuzuia njia kwa magari yake ili kivuko kisiweze kushusha abiria na mizigo. Wapo waliosema kuwa nilikuwa nadanganya umma. Haya fuatilieni video hapo chini watu wanalalamika kuwa maiti zao zinachacha kwenye kivuko.
Jarateng wewe ni mwandishi unayeandika ukweli siku zote bila unafiki wala kujikomba.Wewe nu muongo na umetumia nguvu nyingi kuwadanganya watu! Ngoja tukueleze ukweli: Wakati msafara wa Lissu ulipofika Kisorya saa 3.00 asubuhi kivuko kilikuwa Ukerewe na DC Magembe alikizuia kuja Kisorya "Eti ni Kibovu" na ilipofika saa 5.20 asb wapenda UHURU wakajitolewa kuwavusha kwa Mtumbwi wa Injini. Apoanza kuendesha mkutano wake kivuko kikaendelea na shughuli zake tena. Watati akikaribia kuondoka kwenye mkutano, DC akaamuru kivuko kitoke haraka kiende upande wa Kisorya ili Lissu apate adha nyingine. Hivyo kivuko kilipofika kisorya kikiwa na mabasi hayo, wananchi wakaziba njia wakidai "Kivuko hakitaruhusiwa kuteremsha magari kama Tundu Lissu hayumo" Kwamba bila lissu haushushi gari hapa na hivyo walilazimika kurejea ng'ambo ya pili kumchukua Lissu. Nguvu ya Watu ilifanya kazi baada ya UJINGA wa DC kuwachosha.
Jana niliweka video humu ikionyesha Tundu Lissu kuzuia njia kwa magari yake ili kivuko kisiweze kushusha abiria na mizigo. Wapo waliosema kuwa nilikuwa nadanganya umma. Haya fuatilieni video hapo chini watu wanalalamika kuwa maiti zao zinachacha kwenye kivuko.
Delete ccm Oct 28Jana niliweka video humu ikionyesha Tundu Lissu kuzuia njia kwa magari yake ili kivuko kisiweze kushusha abiria na mizigo. Wapo waliosema kuwa nilikuwa nadanganya umma. Haya fuatilieni video hapo chini watu wanalalamika kuwa maiti zao zinachacha kwenye kivuko.
Umeandika kindezi sana.Jana niliweka video humu ikionyesha Tundu Lissu kuzuia njia kwa magari yake ili kivuko kisiweze kushusha abiria na mizigo. Wapo waliosema kuwa nilikuwa nadanganya umma. Haya fuatilieni video hapo chini watu wanalalamika kuwa maiti zao zinachacha kwenye kivuko.
Kivuko kikiwa kibovu unatakiwa utoe magari yako .
Halafu aliondokaje na madereva badala ya wao kubaki na magari yao?
hili shamba tu lina tumalizia mbMbona huyo Lissu hapo haonekani wala hajatajwa hata jina nahao wanaolalamika
Pia yupo askari hapo,kama ameona kiusalama zaidi ni vyema upande mmoja ukazuiwa ili upande mwingine uondoke likowapi tatizo?Na kama ameweza kuzuiya wasafiri wengine mbele ya polisi Vila ridhaa ya polisi sasa hapo nani alaumiwe.
Hivi wewe mleta mada hujawahi kuzuiwa barabarani zaidi ya lisaa ukisubiri msafara wa kiongozi upite?