😂😂😂Huwa nashangaa sana tunaposema wayu wa mitandaoni siowakuwaamini, hivi hao wa mitandaoni wanaishi nje ya Tz au ndiyo haohao wa mitaani?
Tathimini ya ndoa unaweza ifanya ndani ya miezi 2 au mmoja? Hapa sijakuelewa ..lakini hongeraSeptember 28 ,2019 nikiwa nimekosa uelekeo wa maisha ya kimahusiano nilikuja hapa jukwaani ,Nikasema natafuta Mume ,kiukweli uhitaji nilikiwa nao lakini sikuwa naamini kama huku nitapata mtu,pili niliogopa ningeonekana kuhuni au kutoaminika so ilikuwa kama njia TU ya kujiondolea stress walikuja watu wengi sana Pm Kwa sababu sikuweka vigezo hivyo sikuweza kumjibu yeyote.Niliamuwa kupost tena na kuchanganua nini nataka ,wapo
Umesema ulikutana na mumeo 2019 lakini naona march 2020
Ulileta uzi ukiwa bado unatafuta mume....
Jibu hapo kuna mkanganyiko kidogo
Mrejesho: Mume wangu nimechoka kukusubiri
Habari za muda huu wana jf Miezi kadhaa iliyopita nilituma ujumbe hapa jukwaani kwa lengo la kutafuta mwenzio wa maisha, niseme tu nashukuru mana ujumbe ulipokelewa vema hakuna aliyenibeza kama wafanyiwavyo wengine lakini bahati nzuri au mbaya nilikuwa too general kitu ambacho kilipelekea kuwa...www.jamiiforums.com
Tunataka aweke mambo sawa....
Aisee! Nchi ngumu sana hii, na unaweza kuta ni dume anainjoy wanajf.
Huo ilikuwa mrejesho, soma post ya kwanzaUmesema ulikutana na mumeo 2019 lakini naona march 2020
Ulileta uzi ukiwa bado unatafuta mume....
Jibu hapo kuna mkanganyiko kidogo
Mrejesho: Mume wangu nimechoka kukusubiri
Habari za muda huu wana jf Miezi kadhaa iliyopita nilituma ujumbe hapa jukwaani kwa lengo la kutafuta mwenzio wa maisha, niseme tu nashukuru mana ujumbe ulipokelewa vema hakuna aliyenibeza kama wafanyiwavyo wengine lakini bahati nzuri au mbaya nilikuwa too general kitu ambacho kilipelekea kuwa...www.jamiiforums.com
Nimesoma ila sikuelewa..labda tusome kwa pamojaHuo ilikuwa mrejesho ,soma post ya kwanza
Yanaanzaga Mapenzi yanakuja mahusiano zinafuata vurugu😂
kila la heri wanajf
Na we ushaolewa nikuwowe...Hongera sana na ndoa yenu iwe ya kheri.